Vodacom, compensation hii ya bando ni kwa kutuona je?

Vodacom, compensation hii ya bando ni kwa kutuona je?

Nimepewa GB 3 kwa siku saba..,.Na Tigo wamenipa GB 5 kwa siku saba...lakin sio kesi kama hujarizishwa amia Airtel au halotel...na yenyewe ni mitandao
 
Kwenye maelezo yako usingeweka neno mtandao kusumbua ungeeleweka kirahisi, bando kuchacha ni hoja ya zamani tulishazika labda kama we mgeni Tanzania.

1. Kwamba ulizika ukimaanisha wewe nani?

2. Kama majibu unayo, ninakazia, weka muziki:

"Kuna uhalali gani bando lisilotumika kuchacha?"
 
Nimepewa GB 3 kwa siku saba..,.Na Tigo wamenipa GB 5 kwa siku saba...lakin sio kesi kama hujarizishwa amia Airtel au halotel...na yenyewe ni mitandao

1. Amia ?!

2. No wonder! 🤣
 
Acha kuwachafua Vodacom .huu ni mtandao mzuri sana na unaowajali sana wateja wake. Ninapendekezwa sana na huduma zao na namna unavyosaidiwa pale unapopata tatizo.

Suala la hitilafu ya mtandao halikusababishwa na wao. Tuwe na shukurani na moyo wa kuwatia moyo watu.msifikiri biashara ni lelemama.
 
Acha kuwachafua Vodacom .huu ni mtandao mzuri sana na unaowajali sana wateja wake. Ninapendekezwa sana na huduma zao na namna unavyosaidiwa pale unapopata tatizo.

Suala la hitilafu ya mtandao halikusababishwa na wao. Tuwe na shukurani na moyo wa kuwatia moyo watu.msifikiri biashara ni lelemama.

Yasemekana ulionekana selo. Kwani ulikuwa umewachafua nani ndugu?
 
Ukapuku wako peleka huko huko unakuja kusumbua watu na shida zako...yaani kwa nini haujatafakari wenzio wapewe 1GB, 2GB,3GB nk...ww wakupe 500MB na bado una nguvu ya kukaza fuvu..

F6kGqZLXMAATAgq.jpeg


Ni hayo tu ndugu kapuku!
 
Mwendo wa kukopa jero jero tu, ndio maana silalamiki. Kauli yako ya kuniita tajiri ikawe dua kwangu niwe tajiri kweli In Shaa Allah.

1. Ila uliielewa mada ndugu?

"Kuna uhalali gani bando lisilotumika kuchacha?"

2. Nje ya mada hata Simba, Yanga, makabichi, nyanya, chai, maharage nk navyo vimo!
 
1. Kwamba ulizika ukimaanisha wewe nani?

2. Kama majibu unayo, ninakazia, weka muziki:

"Kuna uhalali gani bando lisilotumika kuchacha?"
Acha kupiga kelele we weka namba yako ya mpesa tukuchangie hela ya bando kabla ya hizo mb 500 hazijakuishia
 
Tigo wamenipa 2Gb..ndani saa 24, muda mwingi nakuwa katika harakati za kutafuta ugali, muda mchache nashika simu, kwahiyo muda wa bando utaisha nitakuwa sijalitumia bando lao.
 
Kwa ujumla hamna mtandao mgumu kutoa ofa kama halotel[emoji3][emoji3][emoji3] ila jana wakatoa arifu ya mb 500 nimeshangaa
Nimekuwa mteja mwaminifu wa Halotel kwa zaidi ya miaka 7 lakini sijawahi kupokea ofa hata moja ndani ya miaka yote hiyo! Hawa jamaa si wa kawaida.
 
Back
Top Bottom