- Thread starter
- #81
Wacha weeeeee, kula kulala kwa shemeji yako huyo.
Kwamba wala na kulala kwa shemeji yako siyo?
Bure kabisa!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wacha weeeeee, kula kulala kwa shemeji yako huyo.
Usipotumia voda utumie nini?Kuna watu bado wanatumia mtandao wa voda
Na sisi siku ya changamoto hatukuweka bando lakin tumepewa unazungumziaje hapo.,,?? Hii mitandao sio wajinga..Kuna watu hawajamuelewa mtoa mada anamanisha mtandao umesumbua siku tatu ingetakiwa ata kama unapewa mb 250 upewe za siku tatu
🗑🗑 🗑 🗑 🗑 🗑Kwamba wala na kulala kwa shemeji yako siyo?
Bure kabisa!
Hawo ndo wanaume wa dasalamu mahi dihaYaani hivi mb ni kitu cha kulalamika hivi???