Ferruccio Lamborghini
JF-Expert Member
- Apr 15, 2020
- 1,667
- 2,595
Kudadeki zaoMkuu ukitaka huo ujumbe usiwe unatumwa hakikisha kwenye simu yako bando halikati
😃😃kwani lazima?Nunua bando acha gubu
Ndiyo😃😃kwani lazima?
Umeona eehWanafiki sana , wanahifanya wanajali wateja wao kumbe ni unafik na kuhipendekeza tu
Hakuna sheria inayolazimisha mtu kununua bando mamaaa ujue😅 na hizi sms huwa wanatutumia tuliozuia matumizi bila bando yaani kifurushi kikikata hakuna kupita na salio la kawaida. Ni kama huwa wanatukomesha au kulipizia kwa kutuma txt za kukera kama hivyo.Nunua bando acha gubu
Hawana vifurushi vya kunishawishiWana umewatupa aisee weka bando
Yaap .....kidogo tu , kifurushi chako cha wiki kimeisha mda wake ..Umeona eeh
😈😈😈😈lazima?Hama mtandao kama unakerwa
wapigie waambie wakae Kwa kutuliaHawana vifurushi vya kunishawishi
Mbona TIGO hawatutumiagi ujumbe kama huuYaap .....kidogo tu , kifurushi chako cha wiki kimeisha mda wake ..
So pain so sad
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]ndio tukuulize[emoji48][emoji48][emoji48][emoji48]lazima?
Viazi kweli waleWana mambo ya kiwaki sana hao maduanzi.