kinje ketile
JF-Expert Member
- Dec 12, 2015
- 5,089
- 9,664
Wakati Simba "wamemuiba" Morrison kiukweli nilikua mmoja wa watu ambae nilishangaa sana na kuwaza kuwa kwani jamaa kuna kipi anaenda kuongeza pale ambacho Simba haina kwa wachezaji walio nao?Morison katoka kwenye kizazi cha mzee Yakobo kwenye yale mataifa 12.
Pole mkuu majuto ni mjukuuWakati Simba "wamemuiba" Morrison kiukweli nilikua mmoja wa watu ambae nilishangaa sana na kuwaza kuwa kwani jamaa kuna kipi anaenda kuongeza pale ambacho Simba haina kwa wachezaji walio nao?
Morrison has recently been proving how wrong i was.