Your Majesty
JF-Expert Member
- Aug 29, 2018
- 3,242
- 5,345
Aisee ubingwa ni wetu wewe Shadeeya, kipigo tulichokipata jana kisikusahaulishe.Kabisaaa. [emoji23][emoji23][emoji23] Mkifungwa aaah mnajitoa ufahamu mpaka raha Mtani.
Kabisa haya ni ya mpito tu japo bila kuzidisha kiasi cha miamala na kubadilisha hizi IST gari za bei kubwa kidogo nionavyo tutahadhirika. [emoji41][emoji41][emoji41]
Duuhh!! Poleni sana.Wachezaji wa Simba, benchi la ufundi na viongozi wetu wanazingua sana. Wakati mwingine nikimuona msemaji wa Club Bwana Manara akizungumza kwa kujigamba najiuliza hivi kweli haoni kua ushindi wetu siju hizi unakua kama tunabahatisha?
πππ hii ndio kazi yetu sasa. πππ
Taimu wili teli mtani.Aisee ubingwa ni wetu wewe Shadeeya, kipigo tulichokipata jana kisikusahaulishe.
Simba nguvu moja
Sent using Jamii Forums mobile app
ππ
Yanga leo anacheza saa ngapi?Nisipofurahi si mpaka mwenyewe nitajishangaa Mtani. π
Leo tunampapasa sisi.
16:00HrsYanga leo anacheza saa ngapi?
πππ
Mimi nasema KISHINGO OUT .........KISHINGO hafai hata kuifundisha Arusha fc.Mtani wasemaa? πππ
Muamala ni baada ya kazi Mkuu.
Pole lakini Mtani. Nadhani kwa kilichotokea jana hapo ndio mtajua namna ya kuzuia msitanguliwe mana mlijisahau kwa kujiaminisha hata mkitanguliwa mtakamubaki tu. π€£π€£Mimi nasema KISHINGO OUT .........KISHINGO hafai hata kuifundisha Arusha fc.
Mtani......Mimi sasa hivi taarifa ninayoisubiri kwa sasa ni kujua tu KISHINGO anaondoka na Ndege ya saa ngapi?? Basi.Pole lakini Mtani. Nadhani kwa kilichotokea jana hapo ndio mtajua namna ya kuzuia msitanguliwe mana mlijisahau kwa kujiaminisha hata mkitanguliwa mtakamubaki tu. π€£π€£
Umekuwa Bi Hindu. πππMtani......Mimi sasa hivi taarifa ninayoisubiri kwa sasa ni kujua tu KISHINGO anaondoka na Ndege ya saa ngapi?? Basi.
Leo vipi mtatoboa?Hahahahaaaa. lol.
Walijua kila siku jumamosi eti. Γ Β½ΓΒ²Γ Β½ΓΒ²Γ Β½ΓΒ²
Yap tunawapapasa mapemaa.Leo vipi mtatoboa?
Kishingo??!! Ni Nani huyu?Mimi nasema KISHINGO OUT .........KISHINGO hafai hata kuifundisha Arusha fc.
Angalia mpapaso usiwe square, vijishughuli vya hapa na pale mtaniYap tunawapapasa mapemaa.
Pia umeadimika sana Mtani. Ndio shughuli mingi ee?
ππππOffside za jana 7,bila kelele za mashabiki na waziri nimagori matano hayoππππ Sasa wakikaza hivi tutapata wapi magoli sisi Kaka. π€π€π€
Hahaha naona kabisa una furaha mno!!Naomba niitunze hii kauli kwa matumizi ya huko Mbeleni Mtani. [emoji41][emoji41]