Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukisema mnyero tunamaanisha ....ukisema Utopolo unamaanisha Yanga aFlika
Nyie mlishindwa, mlidhani Azam atafanya nini?mechi ya Azam lakini Simba fans tumeinunua. tutashangilia mpaka mlie
ulitazama mechi?nani alikuwa anaomba mpira uishe
Alikuwa anaomba kwa nani?ulitazama mechi?nani alikuwa anaomba mpira uishe
Daima mbele nyuma mwikooo...
Kila la kheri wananchii
Kila la kherii plateau utdView attachment 1634589
Subirini kukalia huko Nigeria.HT Azam 0-0 Yanga
Azam you let me down jikazeni tupate hata draw tu
Eti "nasikia" umesikia kwa nani?!! Badilika usiwe kama shoga!! Uwezi kuleta habari za "eti nasikia" kwa wanaume wenzako!! Hizo ni tabia za magay na watoto wa kike!! Au una chembe chembe?!!!Nasikia Mikia imeanza kugawa pesa huko Nigeria ikitaka ipate ushindi wa bei chee. Hahahaha.
Matani mbona povuEti "nasikia" umesikia kwa nani?!! Badilika usiwe kama shoga!! Uwezi kuleta habari za "eti nasikia" kwa wanaume wenzako!! Hizo ni tabia za magay na watoto wa kike!! Au una chembe chembe?!!!
Ghazwat kwa Live Updates namkubali sana utadhani niJesse John anatangaza kumbe iko kimaandishi.Unapoweka uzi wa Live Updates, tuna assume kwamba umechukua mamlaka ya kutoa taarifa za moja kwa moja za mechi hiyo, unavaa viatu vya watangazaji. Na kwa muda huo, unaweka unazi pembeni.
Kuna mdau anaitwa Ghazwat, huyu ni mshabiki mzuri sana wa Simba, akianzisha uzi kama Yanga inacheza anautendea haki.
Pia kuna Joseverest, ni Yanga lialia, ila akianzisha uzi wa Live Updates hata kama ni Simba inacheza anakuwa fair kwenye kutoa updates.
Si vibaya ukajifunza kutoka kwa wengine.
Ghazwat kwa Live Updates namkubali sana utadhani niJesse John anatangaza kumbe iko kimaandishi.
Ikawaje sasa????mechi ya Azam lakini Simba fans tumeinunua. tutashangilia mpaka mlie
Kweli Yanga Aflikaukisema Utopolo unamaanisha Yanga aFlika
Eti "nasikia" umesikia kwa nani?!! Badilika usiwe kama shoga!! Uwezi kuleta habari za "eti nasikia" kwa wanaume wenzako!! Hizo ni tabia za magay na watoto wa kike!! Au una chembe chembe?!!!
Salama tu mzee mwenzangu habari za Majukumu!!!??Mzee mwenzangu salama za siku tele?
Tunamshukuru mwenyezimungu tunachechemea lakini salama saliminiSalama tu mzee mwenzangu habari za Majukumu!!!??