Vodacom Tanzania: Support thread (Maswali, malalamiko na Ushauri)

Vodacom Tanzania: Support thread (Maswali, malalamiko na Ushauri)

Kijana wako akumbuke mmoja kati ya rafiki zake au mtu wake wa karibu sana ndie muhusika...kwani hiyo namba imesajiliwa kwa jina jingine?
 
Kwanin mnaendelea na mitandao ya kitapeli
hamieni zantel mbona hatujawahi kuona post za kulalamikiwa kwa utapeli humu?
 
Ni upuuzi wa hali ya juu
kuona kampuni kama hii inafanya kitu cha ajabu namna hii..! kijana wangu
amenunua line ya voda kwa zaidi ya miaka mitano anaitumia, ameisajili
kwa jina lake. Ghafla tunaona ile ile namba inaanza kutumiwa na mtu
mwingine. Mbaya zaidi ameweza kuaccess m pesa account na kachukua hela
zote na bado anaitumia na kapewa na line na vodacom.

Mpaka mahakama kuu na ya rufaa ntafika jiandaeni, meet you in
court...!!

mikwara ya kipumbavu hata huko mahakamani utaficha jina lako?
 
mikwara ya kipumbavu hata huko mahakamani utaficha jina lako?

...ndo staff wa voda mlivyo dadeki,fanyeni masiala tukutane mahakamani mtayajua majina yote nchini na hamna rangi mtaacha kuiona,tumeshacheka sana na nyani....
 
voda wanaboa na inaendeshwa kihuni utazani wamewaajiri mataira!! yan wanatia hasira mpaka unatamani upasuke. peleka kwa pilato hao, tupo nyuma yako kiongoz
 
Hawana uwezo wa kutengeneza chip nying wnabana matumizi!...so ukiwa haupo hewan kwa mda flan wanampa mtu mwingne bongo kila kona kuna matatizo ya aina yake
 
Ni upuuzi wa hali ya juu kuona kampuni kama hii inafanya kitu cha ajabu namna hii..! kijana wangu amenunua line ya voda kwa zaidi ya miaka mitano anaitumia, ameisajili kwa jina lake. Ghafla tunaona ile ile namba inaanza kutumiwa na mtu mwingine. Mbaya zaidi ameweza kuaccess m pesa account na kachukua hela zote na bado anaitumia na kapewa na line na vodacom.

Mpaka mahakama kuu na ya rufaa ntafika jiandaeni, meet you in court...!!
Mkuu tuko tayari kwa mapambano elekeza usaidiwe vipi ,nimenuna mbaya wameshatapeli wife hhao kima!
 
Hawaa jamaa ni wezi sana mkuu mimi mwenyewe washanipiga sana
Nitachangia gharama za mawakili mkuu

Mkuuu kwa michango yote nione PM eeeee


Sent from my iPhone using JamiiForums.🔩🔨uuuu
 
Ni upuuzi wa hali ya juu kuona kampuni kama hii inafanya kitu cha ajabu namna hii..! kijana wangu amenunua line ya voda kwa zaidi ya miaka mitano anaitumia, ameisajili kwa jina lake. Ghafla tunaona ile ile namba inaanza kutumiwa na mtu mwingine. Mbaya zaidi ameweza kuaccess m pesa account na kachukua hela zote na bado anaitumia na kapewa na line na vodacom.

Mpaka mahakama kuu na ya rufaa ntafika jiandaeni, meet you in court...!!

kitu chochote ambacho kina idadi kubwa ya watz ujue hamna k2. anza na chama cha siasa, kampuni ya cm n.k. tafakari
 
Hata mimi niliporwa namba kizembe hivyohivyo na inaniuma sana.
Ilianza kusumbua sumbua network hadi nisimame makaburini, nikataka kurenew jamaa wakasema hawana uwezo labda niende Njombe.
Baada ya siku kadhaa najaribu kupiga anaitika mdada wa Iringa, kwa hasira nikamtongoza na akakubali na mpaka sasa ni mchepuko wangu.
Voda hawa! Wameniletea mchepuko.

hahaaaa nimejikuta nacheka lol...
 
Hata mimi niliporwa namba kizembe hivyohivyo na inaniuma sana.
Ilianza kusumbua sumbua network hadi nisimame makaburini, nikataka kurenew jamaa wakasema hawana uwezo labda niende Njombe.
Baada ya siku kadhaa najaribu kupiga anaitika mdada wa Iringa, kwa hasira nikamtongoza na akakubali na mpaka sasa ni mchepuko wangu.
Voda hawa! Wameniletea mchepuko.

baki njia kuu!!
 
jamaa yangu ilishamtokea,nikampigia simu na kumtuhumu yule mtumiaji mpya wa ile namba kuwa kaiba simu na kashindwa kubadilisha line,jamaa akaenda vodashop nikapigiwa simu na kuambiwa nisimsumbue yule ni mteja halali kwamba line isipitomika ni nan atailipia kodi,ndo mana wanampa mteja mwingine
 
Nadhani mnajua kuwa huu ni mtandao wenye watu wengi tanzania kwa hiyo wanajua advantage yao sokoni. Kila mtu anaelewa ukisema uwingi kwa watz inaimply kwn v2 vikuu vitatu. 1. ignorance 2. non educated 3. njaa. Popote penye watz kwa wingi ujue v2 hivyo vipo

ha ha ha ha... analysis yako imeenda shule sana hii. nimeipenda sana Mkuu MZAWA. Hapa JF Tupo wengi lakini. Au hii ndo exception....ha ha ha ha
 
kweli vodacom tanzania kazi ni kwako...

pamoja na malalamiko hayayote bado mmewakaushia tu wateja?? aaaa kweli mmetuchoka asee Vodacom Tanzania
 
Last edited by a moderator:
haya nilikuwa nje ya mtandao. nimerudi, nimesoma maelezo, na nimekuelewa. Kwa nini msibadili mtindo kuleta thamani ya fedha ya watumiaji wa mtandao wenu? huoni kama huo mtego wa kusema dakika 60 unadangaya watu kwa kuwa hakuna kipengele cha kusema LAZIMA UANZIE MWANZONI MWA HIYO SAA?

Kwanini msiweke hiko kipengele kuokoa watu wanaojiamulia kununua hiyo happy hour bila kuangalia kama wamenunu dakika ngapi ndani ya muda?

Wewe Vodacom tanzania hapo bado haujakwepa lawama ya udanganyifu hata kidogo.... Hiyo katika marketing inaitwa Deceptive Advertising, na ni jinai ya kibiashara hivyo. Badilikeni!

WEZI tu...
 
Back
Top Bottom