Vodacom: Tutawafidia wateja wetu waliopata changamoto ya Mtandao wakiwa wamenunua huduma

Ukipigwa ban useme moderator madikteta
Haaa haaa haaa sasa wanipige ban kwani niko nao ninapotumia internet bure?

Hapa nilipo wamenitumia sms wameniambia watanifidia bando langu mtandao ukikaa sawa ila kwa sasa natumia bure tu sina kifurushi wala nini.

Screeshot hiyo kama unabisha bisha.
 
Nasubiri shuhuda kwa ambaye amesharejeshewa mb zake
 
KUNA PESA YANGU ILIGANDA HEWANI TOKA MAJUZI

SASA SIJAJUA KAMA INAHUSIANA NA HITILAFU YA MKONGA
 
Voda wameniwekea 3GB asubuh hii..:naangalia Tigo wameweka 5G zitumike ndani ya week
 
Huduma za mpesa kwa walio nje ya nchi bado hazifanyi kazi. Mnarejesha lini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…