Mtani wa Taifa
JF-Expert Member
- Aug 2, 2023
- 953
- 3,318
Haaa haaa haaa sasa wanipige ban kwani niko nao ninapotumia internet bure?Ukipigwa ban useme moderator madikteta
Iyo ni offer tu sio refund.View attachment 2990860
Naona mmeshanilipa MB500 ila nilikuwa na GB 8 kwenye simu.
Nimeshindwa kuzitumia toka juzi na muda wake unaisha. Mmeniibia bado.
Sijaridhika
ndugu mteja acha tamaa vya bure vinaua!..😂Mimi nilitaka kujiunga kifurushi bila mafanikio nasisi tumepotezewa muda tupate ofa. Vodacom sikivu
ushanikata stimu...🤣MB mia mbili mia mbili zinawatosha
15 mei 2024 naionaVodacom jamani hili tangazo kaandika nan???Uongozi wa Vodacom???
Seriously mnasema kukatika kwa nyaya hivi majuzi ....mtu akisoma hilo tangazo week ijayo itendelea kuwa majuzi???kwanini msiandike tarehe?
Hiyo si tarehe ya leo ya tangazo kutoka soma uelewe acha kukurupuka15 mei 2024 naiona
Nasubiri shuhuda kwa ambaye amesharejeshewa mb zake
Dar es Salaam, 15 Mei 2024: Vodacom Tanzania inafuraha kutangaza kuwa huduma ya intaneti imerejea kikamilifu baada ya upungufu wa ubora wa huduma za intaneti nchi nzima. Tulipata changamoto ya kukatika kwa nyaya chini ya bahari hivi majuzi.
Tunaelewa kuwa tukio hili limeleta usumbufu na tunaomba radhi kwa hilo. Kwa sababu hii, wateja wote walioshindwa kutumia huduma ya intaneti watarejeshewa vifurushi vyao.
Tunaendelea kufuatilia kwa karibu na kuhakikisha unapata huduma bora na kasi ya juu kabisa.
Tunakushukuru kwa uelewa na uvumilivu wako.
Imetolewa na:
Uongozi
Vodacom Tanzania PLC
utasubiri sana...🤣Nasubiri shuhida kwa ambaye amesharejeshewa mb zake
Mimi nimesoma nikaelewa kwamba majuzi inabidi nitoe siku koyoka tarehe ya tangazo mkuuHiyo si tarehe ya leo ya tangazo kutoka soma uelewe acha kukurupuka
Kweli isee wameniwekea gb 3 asubh.Ukisoma between lines utagundua hakuna chochote kitakachofanyika
Huduma za mpesa kwa walio nje ya nchi bado hazifanyi kazi. Mnarejesha lini?
Dar es Salaam, 15 Mei 2024: Vodacom Tanzania inafuraha kutangaza kuwa huduma ya intaneti imerejea kikamilifu baada ya upungufu wa ubora wa huduma za intaneti nchi nzima. Tulipata changamoto ya kukatika kwa nyaya chini ya bahari hivi majuzi.
Tunaelewa kuwa tukio hili limeleta usumbufu na tunaomba radhi kwa hilo. Kwa sababu hii, wateja wote walioshindwa kutumia huduma ya intaneti watarejeshewa vifurushi vyao.
Tunaendelea kufuatilia kwa karibu na kuhakikisha unapata huduma bora na kasi ya juu kabisa.
Tunakushukuru kwa uelewa na uvumilivu wako.
Imetolewa na:
Uongozi
Vodacom Tanzania PLC
unaandika hivi kwa kuwa hukununua kifurushi siku internet inakatikaNilijua mnatupa ELA/PESA/ MSHIKO kumbe vifurushi mana nimekuja fasrer kuchukua mshiko