Vodacom: Tutawafidia wateja wetu waliopata changamoto ya Mtandao wakiwa wamenunua huduma

Vodacom: Tutawafidia wateja wetu waliopata changamoto ya Mtandao wakiwa wamenunua huduma

Screenshot_20240516-085908_1.jpg
 
Hongera Kwa Kurejesha huduma ya Internet, japo bado haijaimarika sawasawa.

Nakiri kupokea kiasi cha 2GB mlizonitumia mapema Leo asubuhi
Screenshot_20240516-160857_1.jpg
 
Tukumbushane tatizo lilianza lini tuweke kumbukumbu sawa ya kurejeshewa vifurushi
 
Mnyonge mnyongeni ila haki yake mpeni. Kwa hili Vodacom wanastahili pongezi. Mb zangu nimefidiwa na sasa nasurf mtandaoni. Big up Vodacom.
 
Back
Top Bottom