Vodacom: Tutawafidia wateja wetu waliopata changamoto ya Mtandao wakiwa wamenunua huduma

Vodacom: Tutawafidia wateja wetu waliopata changamoto ya Mtandao wakiwa wamenunua huduma

Hii ni aibu halotel yaan mna nipa mb 500 kwa 24 hrs mmenionaje labda hebu chukueni mb zenu hizo za ngama sizihitaji.limtandao lenyewe lipo slow halafu down bora hata voda fasta...

"Intaneti imerudi! Umepokea MB500 za kutumia ndani ya masaa 24. Halotel, Pamoja kwa Ubora!"
 
Hii ni aibu halotel yaan mna nipa mb 500 kwa 24 hrs mmenionaje labda hebu chukueni mb zenu hizo za ngama sizihitaji.limtandao lenyewe lipo slow halafu down bora hata voda fasta...

"Intaneti imerudi! Umepokea MB500 za kutumia ndani ya masaa 24. Halotel, Pamoja kwa Ubora!"
Si afadhali hata hao Halotel, kuna kitu kinaitwa Airtel.....hata hawajitikisi
 
Vodacom intaneti imerejea. Tunaomba radhi kwa usumbufu uliojitokeza. Umerejeshewa MB 500 za kutumia ndani ya saa24. Kwa salio piga *149*60#.
 
Screenshot_2024-05-17-08-32-11-28_0ce57feeccaa51fb7deed04b4dbda235.jpg
 
Back
Top Bottom