Makanyaga
JF-Expert Member
- Sep 28, 2007
- 11,129
- 7,321
Vile vile kushindwa kuelewa potential ya post kutokana na speculations zako binafsi, ni kukosa hekimaKutamani kuwa polisi Ni kukosa hekima...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vile vile kushindwa kuelewa potential ya post kutokana na speculations zako binafsi, ni kukosa hekimaKutamani kuwa polisi Ni kukosa hekima...
Ndio voda ni kampuni kubwa inapaswa huduma zake ziwe za uhakika na hao vodacom wanajua kabisa watz wengi hawajui haki zao na hawajui sheria ndo maana wanafanya ayo mambo ya ajabu kila kukicha wanajua they can get away with it hawawez fanya ayo mambo kwa majiran kenya maana kenya wapo vizuri kwenye kujua haki zao siku nyingi iyo kampuni ingeshakuwa mahakamani na fidia wangelipa watu wanatafuta izo opportunity wapige mkwanja wangelipa zaidi ya iyo mil 10Kupanga ni kuchagua mkuu, kuweka mil 10 mpesa haimaanishi jamaa hayuko serious na uchumi wake. Yamkini ana akaunti nyingine mbalimbali na hiyo 10M kwake ni 'petty amount of money' kwa ajili ya matumizi madogomadogo ya dharura.
Sasa aende TCRA kwa minajili ipi? Yeye anatakiwa apambane na Vodacom Tanzania. Ukimwambia aende TCRA hiyo ni sawa na kupata changamoto kwenye akaunti yako ya NMB halafu uende ukalalamike BOT! Ni kweli kwamba BOT ni 'guarantor' wa NMB, kama ilivyo TCRA kwa Vodacom, lakini 'guarantor' ana mipaka yake kimamlaka, hawezi kufanya kila kitu. Yeye asumbuane na Vodacom, kama Vodacom wanasema TCRA ndiyo wenye shida basi haohao Vodacom ndiyo wawasiliane na TCRA and not the other way round.
Ushauri wangu; njoo kwetu Wanasheria tukuandikie NOTISI/BARUA YA MADAI NA KUSUDIO LA KUSHTAKI (DEMAND NOTICE AND AN INTENTION TO SUE), tuwape siku 3 wawe wamekulipa fedha zako za kwenye mpesa sambamba na kukulipa fidia ya usumbufu, vinginevyo tutawapeleka Mahakamani.
Yani hapo kuna hela mkuu, tena wakishaipata tu hiyo barua kutoka kwa Mwanasheria (Wakili) utambembelezwa wewe mpake ushangae! Naziona dalili za kuipoteza hiyo fedha ukiishia kulialia tu huku mitandaoni for what is rightful yours. Nchi ngumu sana hii [emoji1]..
Pambana mkuu. Ohooo!
Ni kweli! Yeye aende TCRA akajur sababu hawawezi kumuibia hela zake.Mleta mada kuwa muwazi upate usaidizi. Vodacom au TCRA hawawezi kuamka asubuhi wakakufungia line bila sababu ya msingi. Ni either kuna hela imeingia toka number ambayo inafanya utapeli kuja kwako(Na sio mara moja) au namba yako imeripotiwa kufanya utapeli.
Njia mojawapo ya kumkamata tapeli ambaye ulikuwa unawasiliana naye kwa simu hata kama ameizima ni kwenda polisi, au TCRA ambako wataangalia number hiyo inawasiliana na nani mara nyingi, na mtu huyo anadakwa aseme mwenye namba hii ni nani.
Kwa kesi yako, wanajua wakiifungia line yako(assumption) kwa vile ina hela ni lazima utajipeleka tu, na nikuhakikishie tu kama unahusika na zile issue za tuma kwenye number hii, utaenda kudakwa mchana kweupe.
Tatzo bank makato mengi sana. Ukiweka milion moja leo,, baada ya miezi sita unaweza kuta imebaki laki7.Utawekaje pesa nyingi kiasi hiko M-Pesa?? Binafsi mm siamini sana kuweka pesa zaidi ya M1 ktk line hizi za simu. Binafsi nana Bank tu ndio sehemu salama za kuweka pesa nyingi, huku kwengine ni kujitafutia matatizo tu!! Katka hii mitandao tunaweka pesa za kufanya miamala midogo midogo kama kununua vocha, kununua bidhaa mtandaoni n.k. Anza kuweka pesa Bank
Sio kila mtu anaishi maeneo yenye bank/ mawakala wa bank. Kwa hyo mtu analazimika kuweka hela kwny simu kwa sababu mawakala wa simu ni wengi. Mfano mtu analima mpunga huko mwanza kijiji cha nsumbugu ,,anataka kuwalipa vibarua je achome mafuta mpaka misungwi kufata hela bank??Hao ni wezi hakuna sababu ya msingi hapo ila unawezaje kuweka kiasi hicho cha fedha kwenye line ya simu? Bank zipo na gharama zake nafuu na hutaifata pesa yako kama hivyo unavyofanya kwa hao wahuni..wangekua wanajali ilibidi wao ndio wawe wanakutafuta sio wewe ndio uwatafute kwa kosa lao..
Nipo kwenye pilika za porini na mjini kutunza hela Bank ni salama sana kuliko sehemu ingine gharama ya sim banking imepungua sasa hivi Mkuu...Sio kila mtu anaishi maeneo yenye bank/ mawakala wa bank. Kwa hyo mtu analazimika kuweka hela kwny simu kwa sababu mawakala wa simu ni wengi. Mfano mtu analima mpunga huko mwanza kijiji cha nsumbugu ,,anataka kuwalipa vibarua je achome mafuta mpaka misungwi kufata hela bank??
Utamwambia atumie simbanking,,,, hv unayajua makato ya simbanking 🙃????