Vodacom wamefungia line yangu ikiwa na milioni 10 kwenye M-PESA

Vodacom wamefungia line yangu ikiwa na milioni 10 kwenye M-PESA

Wakuu kwema?

Line yangu ya Vodacom inasoma mtandao vizuri lakini haifai kupiga namba yoyote, iwe ya kawaida au Mpesa au kununua vifurushi

Nilipoenda kwenye Vodashop nikidhani kuwa nilifungiwa sababu sikuhakiki namba vizuri

Lakini Vodashop walipoicheki wakasema niliihakiki vizuri na imetokea error tu yaani imefungwa kwa bahati mbaya na nisubiri kwa saa 24 itakuwa imefunguliwa, hiyo ilikuwa ni wiki iliyopita

Saa 24 zilipopita bado ikawa imefungiwa, nikaenda Vodacom makao makuu kuwaelezea

Makao makuu wakaniambia mbona line yako inaonekana imeshafunguliwa? Nikawaonyesha kwa kupiga simu pale kuwa haifai kupiga

Ndipo wakaniambia watashughulikia ndani ya saa 24 itakuwa tayari

Nikasubiri saa 24 zikapita bado ikawa haifai, nikawapigia huduma kwa wateja kupitia namba nyingine, huduma kwa wateja wakasema namba inaonyesha imeshafunguliwa nikate simu niijaribu tena, tukabishana pale maana nilijua haitaweza kupiga

Nikarudi tena makao makuu, wakaniambia wameishughulikia na ndani ya masaa 3 itakuwa tayari, masaa 3 yakipita ikawa haifai kupiga vilevile

Kesho yake nikarudi tena makao makuu nikawaeleza kuwa line haikufaa kupiga na sasa ninachotaka ni kupata hela zangu kwenye M Pesa hata kwa njia nyingine maana sina imani na mifumo yao tena (kumbuka siwezi kuingia M Pesa wala kufanya chochote)

Makao Makuu wakasema haiwezekani kupata hizo hela kwa njia nyingine, ni kupitia menu ya M Pesa tu,
Ila wakaniambia waliofunga line sio wao ni TCRA ila wanaipigania sana na kesho yake (leo) itakuwa tayari, jamaa akanipa na namba yake binafsi nimpigie kama haiatakuwa tayari

Sasa leo line haijawa tayari, na jamaa hapokei Simu

Wakuu hapa nafanyaje, maana hela zimekwama na sina uhakika kama nitazipata lini au ndio zitapotea moja kwa moja

CC Vodacom Tanzania
kama uko dar wai mlini pale mawasiliano kama uko mbali panda basi fasita hiyo voda shopu hawaiwezi
 
Benki bado inabaki kuwa sehemu salama na rahisi kuweka na kutoa fedha
Endelea kuwasisitiza bila kuchoka
aende mawasiliano asiweke usiku ndio benki ni mahala salama lakini kuna sehemu nyingine lazima utie hela kwenye cm tu
 
Braza hii ni FURSA....
Fungua kesi ya kukucheleweshea madili ya biashara zako.

Unamkumbuka yule mzungu na Tigo?

#YNWA
 
Sheria za Benki Kuu ya Tanzania haziruhusu mtu kuwa na million 10 kwa wakati mmoja kwa siku kwenye line ya simu; maximum amount ni million 5 kwa siku. Wewe uliwezaje kuweka million 10 kwa wakati mmoja kwenye line ya simu, na wakati huo huo ukashindwa tena kuwa mwangalifu na laini yako hadi ikafungiwa ikiwa na kiasi kikubwa hicho cha fedha?
Ndiyo maana mimi kati ya kazi ambazo nilitamani sana kufanya nchi hii, ni u-Polisi, ila basi tu sikubahatika
Ili uwe tapeli?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
aende mawasiliano asiweke usiku ndio benki ni mahala salama lakini kuna sehemu nyingine lazima utie hela kwenye cm tu
Ni kweli lakini sio kwa kiasi kikubwa hivyo kwenye mitandao ya simu yenye zengwe namna hii!
 
Pesa hiyo unaweka kwa laini unategemea nini...
Bank azipo au..?
Mi pesa zangu sikuiz natunza kupitia lipa namba ya TIGO.

Kuweka pesa Bank ni risky mno.. nimewah zinguana sana na CRDB kipindi flani ilikua kila nikideposit hela baada ya muda nikicheki balance nakuta over 200k imekuwa deducted. Sitaki tena kuskia habari za Bank
 
Wakuu kwema?

Line yangu ya Vodacom inasoma mtandao vizuri lakini haifai kupiga namba yoyote, iwe ya kawaida au Mpesa au kununua vifurushi

Nilipoenda kwenye Vodashop nikidhani kuwa nilifungiwa sababu sikuhakiki namba vizuri

Lakini Vodashop walipoicheki wakasema niliihakiki vizuri na imetokea error tu yaani imefungwa kwa bahati mbaya na nisubiri kwa saa 24 itakuwa imefunguliwa, hiyo ilikuwa ni wiki iliyopita

Saa 24 zilipopita bado ikawa imefungiwa, nikaenda Vodacom makao makuu kuwaelezea

Makao makuu wakaniambia mbona line yako inaonekana imeshafunguliwa? Nikawaonyesha kwa kupiga simu pale kuwa haifai kupiga

Ndipo wakaniambia watashughulikia ndani ya saa 24 itakuwa tayari

Nikasubiri saa 24 zikapita bado ikawa haifai, nikawapigia huduma kwa wateja kupitia namba nyingine, huduma kwa wateja wakasema namba inaonyesha imeshafunguliwa nikate simu niijaribu tena, tukabishana pale maana nilijua haitaweza kupiga

Nikarudi tena makao makuu, wakaniambia wameishughulikia na ndani ya masaa 3 itakuwa tayari, masaa 3 yakipita ikawa haifai kupiga vilevile

Kesho yake nikarudi tena makao makuu nikawaeleza kuwa line haikufaa kupiga na sasa ninachotaka ni kupata hela zangu kwenye M Pesa hata kwa njia nyingine maana sina imani na mifumo yao tena (kumbuka siwezi kuingia M Pesa wala kufanya chochote)

Makao Makuu wakasema haiwezekani kupata hizo hela kwa njia nyingine, ni kupitia menu ya M Pesa tu,
Ila wakaniambia waliofunga line sio wao ni TCRA ila wanaipigania sana na kesho yake (leo) itakuwa tayari, jamaa akanipa na namba yake binafsi nimpigie kama haiatakuwa tayari

Sasa leo line haijawa tayari, na jamaa hapokei Simu

Wakuu hapa nafanyaje, maana hela zimekwama na sina uhakika kama nitazipata lini au ndio zitapotea moja kwa moja

CC Vodacom Tanzania
Fungua kesi ya madai, waambie kuna biashra ya milioni 100 faida umeshindwankuifanya sababu ya kufungwa line, washtaki wote, TCRA na Vodacom, wote wanahusika
 
Kwani yeye ana mkataba wa aina gani na TCRA? Wampe barua angalau apate nyaraka, ataenda TCRA aseme meneja wa voda kamtuma afunguliwe line yake? Atapigwa danadana mpaka.
TCRA wanapokea malalamiko yoyote yale yanayohusiana na mawasiliano ya simu.
 
Mi pesa zangu sikuiz natunza kupitia lipa namba ya TIGO.

Kuweka pesa Bank ni risky mno.. nimewah zinguana sana na CRDB kipindi flani ilikua kila nikideposit hela baada ya muda nikicheki balance nakuta over 200k imekuwa deducted. Sitaki tena kuskia habari za Bank
Yaaan 200k ina kua hakuna au...!!!??? Khaaa then wenyewe wanasemaje ukifatilia
 
Wakuu kwema?

Line yangu ya Vodacom inasoma mtandao vizuri lakini haifai kupiga namba yoyote, iwe ya kawaida au Mpesa au kununua vifurushi

Nilipoenda kwenye Vodashop nikidhani kuwa nilifungiwa sababu sikuhakiki namba vizuri

Lakini Vodashop walipoicheki wakasema niliihakiki vizuri na imetokea error tu yaani imefungwa kwa bahati mbaya na nisubiri kwa saa 24 itakuwa imefunguliwa, hiyo ilikuwa ni wiki iliyopita

Saa 24 zilipopita bado ikawa imefungiwa, nikaenda Vodacom makao makuu kuwaelezea

Makao makuu wakaniambia mbona line yako inaonekana imeshafunguliwa? Nikawaonyesha kwa kupiga simu pale kuwa haifai kupiga

Ndipo wakaniambia watashughulikia ndani ya saa 24 itakuwa tayari

Nikasubiri saa 24 zikapita bado ikawa haifai, nikawapigia huduma kwa wateja kupitia namba nyingine, huduma kwa wateja wakasema namba inaonyesha imeshafunguliwa nikate simu niijaribu tena, tukabishana pale maana nilijua haitaweza kupiga

Nikarudi tena makao makuu, wakaniambia wameishughulikia na ndani ya masaa 3 itakuwa tayari, masaa 3 yakipita ikawa haifai kupiga vilevile

Kesho yake nikarudi tena makao makuu nikawaeleza kuwa line haikufaa kupiga na sasa ninachotaka ni kupata hela zangu kwenye M Pesa hata kwa njia nyingine maana sina imani na mifumo yao tena (kumbuka siwezi kuingia M Pesa wala kufanya chochote)

Makao Makuu wakasema haiwezekani kupata hizo hela kwa njia nyingine, ni kupitia menu ya M Pesa tu,
Ila wakaniambia waliofunga line sio wao ni TCRA ila wanaipigania sana na kesho yake (leo) itakuwa tayari, jamaa akanipa na namba yake binafsi nimpigie kama haiatakuwa tayari

Sasa leo line haijawa tayari, na jamaa hapokei Simu

Wakuu hapa nafanyaje, maana hela zimekwama na sina uhakika kama nitazipata lini au ndio zitapotea moja kwa moja

CC Vodacom Tanzania
Yani hapo utakuta imebaki 7m
 
Sheria za Benki Kuu ya Tanzania haziruhusu mtu kuwa na million 10 kwa wakati mmoja kwa siku kwenye line ya simu; maximum amount ni million 5 kwa siku. Wewe uliwezaje kuweka million 10 kwa wakati mmoja kwenye line ya simu, na wakati huo huo ukashindwa tena kuwa mwangalifu na laini yako hadi ikafungiwa ikiwa na kiasi kikubwa hicho cha fedha?
Ndiyo maana mimi kati ya kazi ambazo nilitamani sana kufanya nchi hii, ni u-Polisi, ila basi tu sikubahatika
Ulitamani kazi ya laana Sana Bora hujapata tu
 
Back
Top Bottom