Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
aawee laini yenyewe yamchongo.nimekomba zoteaah nikajua bado umeacha helaaa
Hiyo mbinu inaitwa gusa unase.😅Wee
Em tujuze, ni vipi hivyo? Wazee wa agree tuko wengi
kama uko dar wai mlini pale mawasiliano kama uko mbali panda basi fasita hiyo voda shopu hawaiweziWakuu kwema?
Line yangu ya Vodacom inasoma mtandao vizuri lakini haifai kupiga namba yoyote, iwe ya kawaida au Mpesa au kununua vifurushi
Nilipoenda kwenye Vodashop nikidhani kuwa nilifungiwa sababu sikuhakiki namba vizuri
Lakini Vodashop walipoicheki wakasema niliihakiki vizuri na imetokea error tu yaani imefungwa kwa bahati mbaya na nisubiri kwa saa 24 itakuwa imefunguliwa, hiyo ilikuwa ni wiki iliyopita
Saa 24 zilipopita bado ikawa imefungiwa, nikaenda Vodacom makao makuu kuwaelezea
Makao makuu wakaniambia mbona line yako inaonekana imeshafunguliwa? Nikawaonyesha kwa kupiga simu pale kuwa haifai kupiga
Ndipo wakaniambia watashughulikia ndani ya saa 24 itakuwa tayari
Nikasubiri saa 24 zikapita bado ikawa haifai, nikawapigia huduma kwa wateja kupitia namba nyingine, huduma kwa wateja wakasema namba inaonyesha imeshafunguliwa nikate simu niijaribu tena, tukabishana pale maana nilijua haitaweza kupiga
Nikarudi tena makao makuu, wakaniambia wameishughulikia na ndani ya masaa 3 itakuwa tayari, masaa 3 yakipita ikawa haifai kupiga vilevile
Kesho yake nikarudi tena makao makuu nikawaeleza kuwa line haikufaa kupiga na sasa ninachotaka ni kupata hela zangu kwenye M Pesa hata kwa njia nyingine maana sina imani na mifumo yao tena (kumbuka siwezi kuingia M Pesa wala kufanya chochote)
Makao Makuu wakasema haiwezekani kupata hizo hela kwa njia nyingine, ni kupitia menu ya M Pesa tu,
Ila wakaniambia waliofunga line sio wao ni TCRA ila wanaipigania sana na kesho yake (leo) itakuwa tayari, jamaa akanipa na namba yake binafsi nimpigie kama haiatakuwa tayari
Sasa leo line haijawa tayari, na jamaa hapokei Simu
Wakuu hapa nafanyaje, maana hela zimekwama na sina uhakika kama nitazipata lini au ndio zitapotea moja kwa moja
CC Vodacom Tanzania
aende mawasiliano asiweke usiku ndio benki ni mahala salama lakini kuna sehemu nyingine lazima utie hela kwenye cm tuBenki bado inabaki kuwa sehemu salama na rahisi kuweka na kutoa fedha
Endelea kuwasisitiza bila kuchoka
m 10 kwa fanya biashara mbona kidogo tu kuitia kwenye cmDuh! 10ml unahifadhi m-pesa! Haupo serious na uchumi wako. Anyway nenda TCRA.
Ikishindikana nenda kwa waziri wa habari na mawasiliano.
Nirushie alfu tatu nile mama D sijakula leo
Ili uwe tapeli?Sheria za Benki Kuu ya Tanzania haziruhusu mtu kuwa na million 10 kwa wakati mmoja kwa siku kwenye line ya simu; maximum amount ni million 5 kwa siku. Wewe uliwezaje kuweka million 10 kwa wakati mmoja kwenye line ya simu, na wakati huo huo ukashindwa tena kuwa mwangalifu na laini yako hadi ikafungiwa ikiwa na kiasi kikubwa hicho cha fedha?
Ndiyo maana mimi kati ya kazi ambazo nilitamani sana kufanya nchi hii, ni u-Polisi, ila basi tu sikubahatika
Duh pole....huenda wameona umehifadhi mzigo mkubwaWanadai uki renew tatizo halitaondoka maana waliofunga sio wao
Ni kweli lakini sio kwa kiasi kikubwa hivyo kwenye mitandao ya simu yenye zengwe namna hii!aende mawasiliano asiweke usiku ndio benki ni mahala salama lakini kuna sehemu nyingine lazima utie hela kwenye cm tu
Mi pesa zangu sikuiz natunza kupitia lipa namba ya TIGO.Pesa hiyo unaweka kwa laini unategemea nini...
Bank azipo au..?
We jali ya kwako mkuu,hizo hua ni tambo,waambie hao wengine watajuana wenyewe,wanasema hivyo ili urudi nyumaHela bado zipo mkuu, wanadai hili tatizo limetokea wengine pia
Kuzitoa ndio ishu
Fungua kesi ya madai, waambie kuna biashra ya milioni 100 faida umeshindwankuifanya sababu ya kufungwa line, washtaki wote, TCRA na Vodacom, wote wanahusikaWakuu kwema?
Line yangu ya Vodacom inasoma mtandao vizuri lakini haifai kupiga namba yoyote, iwe ya kawaida au Mpesa au kununua vifurushi
Nilipoenda kwenye Vodashop nikidhani kuwa nilifungiwa sababu sikuhakiki namba vizuri
Lakini Vodashop walipoicheki wakasema niliihakiki vizuri na imetokea error tu yaani imefungwa kwa bahati mbaya na nisubiri kwa saa 24 itakuwa imefunguliwa, hiyo ilikuwa ni wiki iliyopita
Saa 24 zilipopita bado ikawa imefungiwa, nikaenda Vodacom makao makuu kuwaelezea
Makao makuu wakaniambia mbona line yako inaonekana imeshafunguliwa? Nikawaonyesha kwa kupiga simu pale kuwa haifai kupiga
Ndipo wakaniambia watashughulikia ndani ya saa 24 itakuwa tayari
Nikasubiri saa 24 zikapita bado ikawa haifai, nikawapigia huduma kwa wateja kupitia namba nyingine, huduma kwa wateja wakasema namba inaonyesha imeshafunguliwa nikate simu niijaribu tena, tukabishana pale maana nilijua haitaweza kupiga
Nikarudi tena makao makuu, wakaniambia wameishughulikia na ndani ya masaa 3 itakuwa tayari, masaa 3 yakipita ikawa haifai kupiga vilevile
Kesho yake nikarudi tena makao makuu nikawaeleza kuwa line haikufaa kupiga na sasa ninachotaka ni kupata hela zangu kwenye M Pesa hata kwa njia nyingine maana sina imani na mifumo yao tena (kumbuka siwezi kuingia M Pesa wala kufanya chochote)
Makao Makuu wakasema haiwezekani kupata hizo hela kwa njia nyingine, ni kupitia menu ya M Pesa tu,
Ila wakaniambia waliofunga line sio wao ni TCRA ila wanaipigania sana na kesho yake (leo) itakuwa tayari, jamaa akanipa na namba yake binafsi nimpigie kama haiatakuwa tayari
Sasa leo line haijawa tayari, na jamaa hapokei Simu
Wakuu hapa nafanyaje, maana hela zimekwama na sina uhakika kama nitazipata lini au ndio zitapotea moja kwa moja
CC Vodacom Tanzania
TCRA wanapokea malalamiko yoyote yale yanayohusiana na mawasiliano ya simu.Kwani yeye ana mkataba wa aina gani na TCRA? Wampe barua angalau apate nyaraka, ataenda TCRA aseme meneja wa voda kamtuma afunguliwe line yake? Atapigwa danadana mpaka.
Yaaan 200k ina kua hakuna au...!!!??? Khaaa then wenyewe wanasemaje ukifatiliaMi pesa zangu sikuiz natunza kupitia lipa namba ya TIGO.
Kuweka pesa Bank ni risky mno.. nimewah zinguana sana na CRDB kipindi flani ilikua kila nikideposit hela baada ya muda nikicheki balance nakuta over 200k imekuwa deducted. Sitaki tena kuskia habari za Bank
Yani hapo utakuta imebaki 7mWakuu kwema?
Line yangu ya Vodacom inasoma mtandao vizuri lakini haifai kupiga namba yoyote, iwe ya kawaida au Mpesa au kununua vifurushi
Nilipoenda kwenye Vodashop nikidhani kuwa nilifungiwa sababu sikuhakiki namba vizuri
Lakini Vodashop walipoicheki wakasema niliihakiki vizuri na imetokea error tu yaani imefungwa kwa bahati mbaya na nisubiri kwa saa 24 itakuwa imefunguliwa, hiyo ilikuwa ni wiki iliyopita
Saa 24 zilipopita bado ikawa imefungiwa, nikaenda Vodacom makao makuu kuwaelezea
Makao makuu wakaniambia mbona line yako inaonekana imeshafunguliwa? Nikawaonyesha kwa kupiga simu pale kuwa haifai kupiga
Ndipo wakaniambia watashughulikia ndani ya saa 24 itakuwa tayari
Nikasubiri saa 24 zikapita bado ikawa haifai, nikawapigia huduma kwa wateja kupitia namba nyingine, huduma kwa wateja wakasema namba inaonyesha imeshafunguliwa nikate simu niijaribu tena, tukabishana pale maana nilijua haitaweza kupiga
Nikarudi tena makao makuu, wakaniambia wameishughulikia na ndani ya masaa 3 itakuwa tayari, masaa 3 yakipita ikawa haifai kupiga vilevile
Kesho yake nikarudi tena makao makuu nikawaeleza kuwa line haikufaa kupiga na sasa ninachotaka ni kupata hela zangu kwenye M Pesa hata kwa njia nyingine maana sina imani na mifumo yao tena (kumbuka siwezi kuingia M Pesa wala kufanya chochote)
Makao Makuu wakasema haiwezekani kupata hizo hela kwa njia nyingine, ni kupitia menu ya M Pesa tu,
Ila wakaniambia waliofunga line sio wao ni TCRA ila wanaipigania sana na kesho yake (leo) itakuwa tayari, jamaa akanipa na namba yake binafsi nimpigie kama haiatakuwa tayari
Sasa leo line haijawa tayari, na jamaa hapokei Simu
Wakuu hapa nafanyaje, maana hela zimekwama na sina uhakika kama nitazipata lini au ndio zitapotea moja kwa moja
CC Vodacom Tanzania
😀 kwanini?Mpesa usiweke zaidi ya 100,000
Ulitamani kazi ya laana Sana Bora hujapata tuSheria za Benki Kuu ya Tanzania haziruhusu mtu kuwa na million 10 kwa wakati mmoja kwa siku kwenye line ya simu; maximum amount ni million 5 kwa siku. Wewe uliwezaje kuweka million 10 kwa wakati mmoja kwenye line ya simu, na wakati huo huo ukashindwa tena kuwa mwangalifu na laini yako hadi ikafungiwa ikiwa na kiasi kikubwa hicho cha fedha?
Ndiyo maana mimi kati ya kazi ambazo nilitamani sana kufanya nchi hii, ni u-Polisi, ila basi tu sikubahatika