Volkswagen Polo Gti huyu mnyama acha kabisa!

Volkswagen Polo Gti huyu mnyama acha kabisa!

Impossible.Naomba uniwekee source ya kuthibitisha hilo.

Hiyo VW niliyokutajia itafute. Ndio model ninayoifahamu ambayo ina 320kph.

Kuna moja walikuwa wanaiuza Beforward ina to speed ya 300kph. Nikiiona ntaipandisha hapa.
 

Sikiliza vizuri, stock golf r na angeweza kwenda zaidi ya 300kph
 
Hiyo VW niliyokutajia itafute. Ndio model ninayoifahamu ambayo ina 320kph.

Kuna moja walikuwa wanaiuza Beforward ina to speed ya 300kph. Nikiiona ntaipandisha hapa.
Nimetafuta kila sehemu kuthibitisha Hilo sijaona mzee.
 
View attachment 1511460
Volkswagen Polo Gti
Wakuu habari za jioni,

Niko safarini kwenda Tunduma, niko na jamaa yangu kaniomba kampani tuongozane kwenye msiba wa mkwewe.

Wazee nimebadili mawazo yangu na leo nakubaliana kabisa na wale wanaosema Toyota ni Usafiri sio Gari ,huyu mnyama ana pepea speed 240 hahaha lakini hatujafika huko mwamba mwisho 140 kwake lakini kinachofanya niandike sio hiyo speed maana ni kawaida, bali jinsi ilivyo na nguvu na nyepesi wakati wa kusepa Huyu mnyama njiani hana anayembakisha na jamaa yangu anataka saa 1 asubuhi itukute Tunduma na hapa ndo kwanza tumeiacha Chalinze doh mniombe.

Nikiokota hela nitanunua mnyama wowote wa German si kwa hii raha yaani chuma kimetulia barabarani hakuna hata kudundadunda.

Nimemaliza nitakieni safari njema.

Mrejesho
Uionje na Scoda kitu ya Czech Republic
 
Hizo za Japan sijui, ila ninekuonesha stock inayokwenda zaidi ya 155mph ambayo ulisema hamna. FYI ipo Golf R ya 400hp. Naweka rekodi Sawa tu sitafuti mshindi.
Hivi Nilikua naongelea golf GTI au Golf R?
 
naomba ushauri nilikua nataka ninunue vw golf ni gari imara ukitengeneza unasahau(reliability) au route za garage nyingi inabidi uwe umejipanga kufanya maintainance au tubaki tu kwenye toyota zetu
 
Back
Top Bottom