New Nytemare
JF-Expert Member
- Dec 15, 2011
- 3,333
- 2,484
Team toyota tunajuanaHujawahi kuniangusha mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Team toyota tunajuanaHujawahi kuniangusha mkuu
2jz gte ya ALTEZZA ej25 ya subaru ikasomeView attachment 1546320
Team toyota tunajuana
Hizo watu tunaendesha na tunafika 240kph vizuri kabisa kutegemea na barabara
BMW nayo ni German machine.
Wakuu apo kachapwa na gari gani naizoom gari ya mbele inapotea ila jamaa analia tu tesa acha iitwe pesa sijui Tesla msaada tutani p/se2jz gte ya ALTEZZA ej25 ya subaru ikasomeView attachment 1546320
Nilipita kahama nikapita chato nikapita muleba labda ndiyo sababu nilikuwa ninafuata googlemap wakati naenda same wakati narudi. Wakati naenda nilipofika tinde googlemap ikanipoteza nikajikuta niko tabora mjini ikabidi nilale tabora asubuhi nikarudi mpaka tinde ndiyo nikaunga tena
Nafaka wewe kiboko na hiyo gari yako Toyota Allion, ni gari nzuri na inakula mafuta kidogo, assume 1 litre 10km na kila litre 2000@ ukatumia laki 5 kasoro (1700 :- 10 x 2000/ = 340,000/) ikawa gharama kubwa lkn kwenda ukapitia TaboraMimi niliwawahi ondoka bukoba saa kumi na mbili na nusu asubuhi saa sita usiku niko dar nilitembea almost 1700kms na sikuwa na benz wala sports car nilikuwa na toyota allion. Na niliweka kituo kahama na dodoma gari ilikuwa kuna muda inasumbua ila ilikuwa ikichanganya imechanganya balaa kumbe ilikuwa imeharibika oxygen sensor sema ilisababisha ikawa inakula wese kama v8 yani nilitumia mafuta kama ya lak tano kasoro mpaka nafika dar wakati kwenda nilitumia mafta kama ya lak 2 hivi.
Nshaliuza toka mwaka 2017 nina mnyama mwingine mkuuNafaka wewe kiboko na hiyo gari yako Toyota Allion, ni gari nzuri na inakula mafuta kidogo, assume 1 litre 10km na kila litre 2000@ ukatumia laki 5 kasoro (1700 :- 10 x 2000/ = 340,000/) ikawa gharama kubwa lkn kwenda ukapitia Tabora
leo mbavu zangu Mkuu, View attachment 1647194nimecheka sana
siku ingine ukipita Dodoma pitia hapa Kizota Garage tucheck Oxygen Sensor na hiyo Google map tutarekebisha hiyo Toyota pole sana
Subaru WRX (STi) mnyamaKwa maana hiyo Unataka kusema Mitsubishi Evo, Toyota Supra, Nissan GT-R na Kuna Subaru flani hivi nimesahau jina lake....hizi siyo gari za maana...?
Kwenye hayo magari hapo mpeni mjapani heshima yake...
2JZ-GTE ni 3.0L tena Sport Package unategemea nini mzee! Lazma itoroke mbaya kabisa.2jz gte ya ALTEZZA ej25 ya subaru ikasomeView attachment 1546320
Watu wanashindwa kuelewa tu, unaanzaje ku compare gari ya 2014 na gari ya 1988?Mkuu Porsche Cayman ni matoleo ya kisasa zaidi. Mimi nilimaanisha Porsche 911 yale matoleo ya nyuma ikiwa stock ukishindanisha na Supra yenye 1jz-Gte stock.
Kuna chuma za Japani zipo vizuri sana....hapa ni Nissan skyline GTR hapo Kenya..Jamaa wa subaru kapata aibu mbele ya demu wake.
Umenena mkuu na kwa sasa Supra anavalishwa 3uz ili wamtambueNaona watu wanazungumzia kuhusu supra umu.
Kwanza kabisa, Supra yenye 2jzge ina 220hp tu na yenye 2jzgte ina 276hp in stock form, haiwezi kupambana na gari kama lambo, ferrari, porsche.
Ila sasa, hizo engine tajwa hapo juu, they have a very high potential power output and are built for power. 2jz, 1jz na rb26 ni engine ambazo zimetengezwa kipindi cha makubaliano baina ya kampuni za kijapan kutengeza engine with limited HP.
Hizi engine hazikutendewa haki na makampuni yao. Sasa ukija kwenye mikono ya watu walioamua kuzipa haki zao, 2jz engines na rb26 ni hatari sana hao akina lambo na wenzake ni cha mtoto sana.
Au crown majesta ya 3uz petrol...Mzee baba kuna Toyota zinatembea huyo Vw Golf mchumba tu, uje ujaribu mziki wa Toyota Celica yenye 3s-gte.
Au Toyota yeyote yenye 1Jz-Gte iwe ni Toyota Supra,Mark 2,Cresta au Tourer V. Achana na hizo 1jz-ge au 1jz-fse zilizo kwenye Brevis.