Volkswagen Polo Gti huyu mnyama acha kabisa!

Volkswagen Polo Gti huyu mnyama acha kabisa!

Niliwahi kuwa naendesha mashine moja ya mjerumani, nipo speed 160-170 mph, kuna mzungu alikuwa na pikipiki Bmw alinipita kama nimesimama
 
BMW nayo ni German machine.
Niliwahi kuwa naendesha mashine moja ya mjerumani, nipo speed 160-170 mph, kuna mzungu alikuwa na pikipiki Bmw alinipita kama nimesimama
 
Nilipita kahama nikapita chato nikapita muleba labda ndiyo sababu nilikuwa ninafuata googlemap wakati naenda same wakati narudi. Wakati naenda nilipofika tinde googlemap ikanipoteza nikajikuta niko tabora mjini ikabidi nilale tabora asubuhi nikarudi mpaka tinde ndiyo nikaunga tena
Mimi niliwawahi ondoka bukoba saa kumi na mbili na nusu asubuhi saa sita usiku niko dar nilitembea almost 1700kms na sikuwa na benz wala sports car nilikuwa na toyota allion. Na niliweka kituo kahama na dodoma gari ilikuwa kuna muda inasumbua ila ilikuwa ikichanganya imechanganya balaa kumbe ilikuwa imeharibika oxygen sensor sema ilisababisha ikawa inakula wese kama v8 yani nilitumia mafuta kama ya lak tano kasoro mpaka nafika dar wakati kwenda nilitumia mafta kama ya lak 2 hivi.
Nafaka wewe kiboko na hiyo gari yako Toyota Allion, ni gari nzuri na inakula mafuta kidogo, assume 1 litre 10km na kila litre 2000@ ukatumia laki 5 kasoro (1700 :- 10 x 2000/ = 340,000/) ikawa gharama kubwa lkn kwenda ukapitia Tabora
leo mbavu zangu Mkuu,
1607686915404.png
nimecheka sana
siku ingine ukipita Dodoma pitia hapa Kizota Garage tucheck Oxygen Sensor na hiyo Google map tutarekebisha hiyo Toyota pole sana
 
Nafaka wewe kiboko na hiyo gari yako Toyota Allion, ni gari nzuri na inakula mafuta kidogo, assume 1 litre 10km na kila litre 2000@ ukatumia laki 5 kasoro (1700 :- 10 x 2000/ = 340,000/) ikawa gharama kubwa lkn kwenda ukapitia Tabora
leo mbavu zangu Mkuu, View attachment 1647194nimecheka sana
siku ingine ukipita Dodoma pitia hapa Kizota Garage tucheck Oxygen Sensor na hiyo Google map tutarekebisha hiyo Toyota pole sana
Nshaliuza toka mwaka 2017 nina mnyama mwingine mkuu
 
Kwa maana hiyo Unataka kusema Mitsubishi Evo, Toyota Supra, Nissan GT-R na Kuna Subaru flani hivi nimesahau jina lake....hizi siyo gari za maana...?

Kwenye hayo magari hapo mpeni mjapani heshima yake...
Subaru WRX (STi) mnyama
 
Mkuu Porsche Cayman ni matoleo ya kisasa zaidi. Mimi nilimaanisha Porsche 911 yale matoleo ya nyuma ikiwa stock ukishindanisha na Supra yenye 1jz-Gte stock.
Watu wanashindwa kuelewa tu, unaanzaje ku compare gari ya 2014 na gari ya 1988?
 


Kuna chuma za Japani zipo vizuri sana....hapa ni Nissan skyline GTR hapo Kenya..Jamaa wa subaru kapata aibu mbele ya demu wake.

Huyo jamaa alikuwa mpuuzi, yani subaru kwa GT-R ni sawasawa umshindanishe mbio mlevi na hussain bolt.😂😂😂!
Yani hata subaru akitangulia kwa 200 metres atachapwa like a joke. GT-R is the best nissan ever produced!
 
Naona watu wanazungumzia kuhusu supra umu.

Kwanza kabisa, Supra yenye 2jzge ina 220hp tu na yenye 2jzgte ina 276hp in stock form, haiwezi kupambana na gari kama lambo, ferrari, porsche.

Ila sasa, hizo engine tajwa hapo juu, they have a very high potential power output and are built for power. 2jz, 1jz na rb26 ni engine ambazo zimetengezwa kipindi cha makubaliano baina ya kampuni za kijapan kutengeza engine with limited HP.

Hizi engine hazikutendewa haki na makampuni yao. Sasa ukija kwenye mikono ya watu walioamua kuzipa haki zao, 2jz engines na rb26 ni hatari sana hao akina lambo na wenzake ni cha mtoto sana.
Umenena mkuu na kwa sasa Supra anavalishwa 3uz ili wamtambue
 
Back
Top Bottom