wa kupuliza
JF-Expert Member
- Jun 15, 2012
- 15,216
- 37,757
We ni Motorhead Chief.Big upHapa ndio umeongea mkuu
Hizo ndio gari zangu enzi nilikuwa bado nina meno ya juu [emoji23]
Nilikuwa napenda sana sport cars nikajiongeza ili niendeshe zote itabidi niwe nanunua na kuuza...
Nimemiliki MK6 GTI top speed ilikua 255km/h.
I love racing and I love doing well man.We ni Motorhead Chief.Big up
Na Mimi nakwambia hakuna golf gti stock ya kufika hio 320.Kama una ushahidi wowote ule uweke hapa boss.
Impossible.Naomba uniwekee source ya kuthibitisha hilo.VW Golf 7.5 2.0TDI inafika 320Km/h...
Dah enjoy man. Godzilla umeshai push?I love racing and I love doing well man
Huwa naenda Santa Pod na Silverstone kuangalia wababe huko yaani ni burudani tosha
😄😄 ngoja nisubiri anithibitishie mkuu.Nakazia hakunaaaaaa
Top speed ni 155 mph [emoji106][emoji106]
Dah enjoy man. Godzilla umeshai push?
Impossible.Naomba uniwekee source ya kuthibitisha hilo.
Hiyo VW niliyokutajia itafute. Ndio model ninayoifahamu ambayo ina 320kph.
Kuna moja walikuwa wanaiuza Beforward ina to speed ya 300kph. Nikiiona ntaipandisha hapa.
Nimetafuta kila sehemu kuthibitisha Hilo sijaona mzee.Hiyo VW niliyokutajia itafute. Ndio model ninayoifahamu ambayo ina 320kph.
Kuna moja walikuwa wanaiuza Beforward ina to speed ya 300kph. Nikiiona ntaipandisha hapa.
Na hio golf R haina maajabu Cc 2000,HP 320.Wenyewe wanakwambia Mjapan Mitsubishi Evil FQ hio hio cc 2000,HP 400
Hizo za Japan sijui, ila ninekuonesha stock inayokwenda zaidi ya 155mph ambayo ulisema hamna. FYI ipo Golf R ya 400hp. Naweka rekodi Sawa tu sitafuti mshindi.Na hio golf R haina maajabu Cc 2000,HP 320.Wenyewe wanakwambia Mjapan Mitsubishi Evil FQ hio hio cc 2000,HP 400
Uionje na Scoda kitu ya Czech RepublicView attachment 1511460Wakuu habari za jioni,
Volkswagen Polo Gti
Niko safarini kwenda Tunduma, niko na jamaa yangu kaniomba kampani tuongozane kwenye msiba wa mkwewe.
Wazee nimebadili mawazo yangu na leo nakubaliana kabisa na wale wanaosema Toyota ni Usafiri sio Gari ,huyu mnyama ana pepea speed 240 hahaha lakini hatujafika huko mwamba mwisho 140 kwake lakini kinachofanya niandike sio hiyo speed maana ni kawaida, bali jinsi ilivyo na nguvu na nyepesi wakati wa kusepa Huyu mnyama njiani hana anayembakisha na jamaa yangu anataka saa 1 asubuhi itukute Tunduma na hapa ndo kwanza tumeiacha Chalinze doh mniombe.
Nikiokota hela nitanunua mnyama wowote wa German si kwa hii raha yaani chuma kimetulia barabarani hakuna hata kudundadunda.
Nimemaliza nitakieni safari njema.
Mrejesho
Hivi Nilikua naongelea golf GTI au Golf R?Hizo za Japan sijui, ila ninekuonesha stock inayokwenda zaidi ya 155mph ambayo ulisema hamna. FYI ipo Golf R ya 400hp. Naweka rekodi Sawa tu sitafuti mshindi.
Case closed.Hivi Nilikua naongelea golf GTI au Golf R?
Skoda imekuwa gari ya maana baada ya kuchukuliwa na Vw. Kabla ya hapo it was a laughing stock!Uionje na Scoda kitu ya Czech Republic