Volkswagen Polo Gti huyu mnyama acha kabisa!

Volkswagen Polo Gti huyu mnyama acha kabisa!

Naona watu wanazungumzia kuhusu supra umu.

Kwanza kabisa, Supra yenye 2jzge ina 220hp tu na yenye 2jzgte ina 276hp in stock form, haiwezi kupambana na gari kama lambo, ferrari, porsche.

Ila sasa, hizo engine tajwa hapo juu, they have a very high potential power output and are built for power. 2jz, 1jz na rb26 ni engine ambazo zimetengezwa kipindi cha makubaliano baina ya kampuni za kijapan kutengeza engine with limited HP.

Hizi engine hazikutendewa haki na makampuni yao. Sasa ukija kwenye mikono ya watu walioamua kuzipa haki zao, 2jz engines na rb26 ni hatari sana hao akina lambo na wenzake ni cha mtoto sana.
 
Kwa akili ako inafika 240🤔🤔

Ndo yale yale unakuta toyo ya cc150 imewekwa speedo za 180km/h unaaza jisifu na kuisifu piki piki kwamba ina speed sana ila jamaa kaishia 100 tu😁😁 na kuizarau honda xl kisa speedo yake labda mwsho ni 160 au 140😁...
Kama kawaida Jf na ma engineer vijiwe. Yaani mjerumani gari yake speedo ionyeshe 240 wakati ki uhalisia haifiki? So kuanzia leo tusiamini speed ya chochote iwe pikipiki, gari, treni, ndege au kombora! We unatumia criteria zipi kujua kwamba speedo iliyoandikwa kwenye chombo flan kweli kinaweza kui achieve ama lah
 
Mzee, hio vitz new model matata sana. Yaris na vitz ndio hao hao, toyota wahuni tu 😀

Watakaomiliki hio hapa bongo watajidai sana. Tezza na subaru hazifui dafu apo na zitapata aibu kubwa sana. 268HP kwenye baby walker si mchezo kabisa. Halafu cylinder tatu tu.
Hiyo imesimama balaa. Sema bei yake imesimama pia. Wameamua kupambana na Wajerumani kwa Vitz hehehee
 
Mkuu Eminentia kwa nini VW waongope kuwa hizo Golf zina speedmeter za 280, 300 kama madai yako ni kweli je taasisi zinazodeal na issue za viwango especially calibration za speedometer zimelala usingizi mpaka wanunuzi waibiwe mchana kweupee? je mitsubishi lancer evo x yenye speedometer ya 300 nao wamedanganya? au kwa kuwa hawa ni wajapani basi wao huwa siyo waongo? yaani mjerumani anashindwa kutengeneza gari zenye kasi ya zaidi ya 180, mfano gari zenye uwezo wa 280, 300?

Kwan ukiekewa speedometer ya namba flan manake ni gari linaenda speed hiyo

Ushawah ona amplifier moja labda au zile spika zimeandikwa watts sijui 18000w zipogo double unachomeka kwa umeme kabisa zina kila kitu ndan??...watts elf 18 unazijua🤔🤔 je ule ni uongo ...zile ni technique tu wapo manufacturer wanatangaza peak power ..some wanatangaza continuous power...

Turudi vyombo vya moto bajaj ina speedometer ya ngapi?? Ni 80

Unaeza vuta sehemu tambarare bajaj ikafika hapo? Je vyombo vya ukaguzi hawaoni ...actually huwezi lalamika kwamba umedanganywa kwani muuzaji alikwambia inafika?? Kuna article moja inaongelea speedometer ntakupa usome utaelewa

Kuhusu kufika hapo zipo nyingi tu zinafika ila sometime tumia akili ya kawaida wewe una gari ina 170hp ina speedometer ya 300 😁 kweli ufike 300 na nguvu hiyo labda hiyo gari ina kilo 200

Umeona piki piki za kilo 200 zenye engine 4cyl ya 180bhp zinavopata shida above 280kph kuvuka hapo hadi 320kph zinateseka sasa wewe gari ina ton moja unafikaje hapo kwa hp hizo

Au unakuta una 170hp speedometer 300 mi nina 200hp speedo inasoma 180 then uje ujisifu na kusema gari inakimbia zile baadhi ya gari ni namba tu

Sometime mnaachiwa heardroom may be someday unaeza liboost likazidi hapo
 
Kama kawaida Jf na ma engineer vijiwe. Yaani mjerumani gari yake speedo ionyeshe 240 wakati ki uhalisia haifiki? So kuanzia leo tusiamini speed ya chochote iwe pikipiki, gari, treni, ndege au kombora! We unatumia criteria zipi kujua kwamba speedo iliyoandikwa kwenye chombo flan kweli kinaweza kui achieve ama lah
hapo sasa yaani mjapani katengeneza vitz 180 km hiyo inafika 180 katengeneza corolla za 240 hizo nazo zinafika 240 ila mjerumani kutengeneza vw polo za 280, 300 imekuwa nongwa anaitwa muongo
 
pamoja sana mkuu kuna corolla altis nazo zina 240 k/h na unakanyaga vizuri kabisa na kufika 240 kutegemea na ujasiri wa driver na hali ya road hivyo kama toyota wanazo sedan za 240 k/h au pengine zaidi na hiyo speed inafikika why kampuni mnyamaa VW adanganye golf kuwa na 280 km/hr 300km/hr

Kuna article inaongelea speedometer ntakupa usome

Iko hivi kufupi....hiyo golf na umbo lake kama imefika ton moja na kitu na nguvu yake niliona ni around 170 something HP basi piga ua huwezi toboa 300 hata 280 huion wala kusogea

Iko hivi manufacture wa magari wananunua vitu vingi sana nje

Eg speedo meter

Chukulia mfano honda watoe piki piki mwaka huu kibao za cc 100, 125, 150, zenye model kibao ..sasa ukisema utoe oda ya kila model ije na speedometer yake ni gharama

Mfano unakuta model zote zinatoka mwaka mmoja ..wanaamua oda speedometer ya aina moja tuseme reading mwisho 140 where itaekwa kwa zile model za cc 100 na kuendelea

Sasa unakuta reading ninsawa na kama ile ya cc150 top speed inaeza kuwa labda 130 au 135 haiendelei sasa ile yenye cc 100 itafikaje🤔 ndo hapo unamwambia mtu anakwambia inamaana honda ni waongo kwan mamlaka hamna ndo jinsi inavokuwa

Mfano Audi A4 kuanzia zile za diesel za cc1900 80hp to cc za kutosha v6 na kitu kama 250hp zina speedo sawa,,,

Sasa ndo mtu anakuta 240kph kwa gari ya diesel yenye 80hp ..unamwambia haifiki anaanza kwambia inamaana audi waongo🤔

Sasa jiulize gari ya nguvu hiyo mshale 240 inafikaje kama series hiyo hiyo model hiyo hiyo but with bigger engine inateseka sana je wewe mwenye 80hp 🤔

Haya kuna range rover 2.7L ina 190hp body ni kama ton mbili uzito speedo yake ni 240 ..hiyo gari mshale unapanda taratibu sana ukifika 180 unaanza sita sita

Je ushawah ona that model na engine hiyo imefuta sahani ya 240kph neva haijawahi ....ila ukimwambia mtu atakwambia inamaana rangerover ni waongo..hapana huwa tunaangalia size ya engine uzito wa body muundo wake kama ni mzoefu ni rahisi kukadiria kuwa litafika or not hata hiyo 240 rangerover wanaweza kirahisi ila kwa bigger engine like ile 4.4L diesel v8 yenye 339hp rahisi sana ila sio kwa ile model yenye 2.7L engine
 
Kuna Mazda Rx 7 au Rx 8 hii ni gari ya mjapani.Ukiwa nyuma yake usithubutu kuifata utakuja kuwatukana hao wajerumani kila tusi.

Hapo Tunduma upande wa Nakonde kuna mzambia kawagaragaza sana wakina Audi Rs,BMW M3/M5.
Punguza kelele kijana, Mjapan hana gari yoyote ya maana..

Angalia WRC au ERC huko gari zinazotamba kwenye mashindano ni mashine za kijerumani.. Hapa Africa Skoda inakimbiza sana Subaru na Mitsubishi wake.. Yule Mkenya anayemiliki skoda anazichapa sana hizo takataka za Mjapan
 
2020 BMW M2 Competition review test drive 58


Here we go again! Yet another comparison between the BMW M2 Competition and the Toyota Supra GR. We’ve been seeing these ever since the Supra was launched and it is a rather fair comparison. Even though it may not seem like it at first. Some people believe the Supra should go up against the Z4. But in the end, the M2 Competition is also a Coupe and also uses a 3-liter straight six.
CONTINUE READING BELOW

The similarities go even further. Both cars are automatic (the M2 is offered in manual guise too) and both send all of their power to the rear axle. What is different though is the claimed power output. BMW says the S55 engine under the hood of the M2 Competition makes about 410 HP and 550 Nm (406 lb-ft) of torque. Those are decent numbers, no matter how you look at it, especially for a car this small.



2020 Toyota Supra 28 830x467
Then there’s the Supra. As you may very well know, it uses a B58 engine from BMW to get around. According to both BMW and Toyota, that engine is supposed to make 340 HP and 500 Nm (369 lb-ft) of torque.
 
Punguza kelele kijana, Mjapan hana gari yoyote ya maana..

Angalia WRC au ERC huko gari zinazotamba kwenye mashindano ni mashine za kijerumani.. Hapa Africa Skoda inakimbiza sana Subaru na Mitsubishi wake.. Yule Mkenya anayemiliki skoda anazichapa sana hizo takataka za Mjapan
Mkuu Skoda kwanza haijawahi kushinda WRC. Kwenye ERC wacha ziwe nyingi sababu zipo nyumbani kwao ulaya.

Ukweli ni Japanese wapo vizuri Toyota Celica GT,Subaru,Evo wamewahi kubeba WRC.

Hao wazungu unaowakubali wenyewe wanamheshimu mjapani.Ndio maana Ford Fiesta na Proto wao huko Ulaya saizi wanatengeneza Body Shell za Rally Car na injini wanaweka ya mjapani Mitsubishi Evolution 10.
 
Punguza kelele kijana, Mjapan hana gari yoyote ya maana..

Angalia WRC au ERC huko gari zinazotamba kwenye mashindano ni mashine za kijerumani.. Hapa Africa Skoda inakimbiza sana Subaru na Mitsubishi wake.. Yule Mkenya anayemiliki skoda anazichapa sana hizo takataka za Mjapan
Mkenya unayemuongelea ni Manvir Brayan anatumia Skoda ya mjerumani, alisumbua sana mwanzo ila baaadae wakenya nao Team Kabras na Carl Tundo wakaleta Ford Fiesta wakawa wanakula nae sahani moja.

Alivyokuja Tanzania alishinda kirahisi na pia Zambia.
Bahati mbaya gari yake ilipata ajali ila alitoka salama mwaka Jana.
 
Mkuu Skoda kwanza haijawahi kushinda WRC. Kwenye ERC wacha ziwe nyingi sababu zipo nyumbani kwao ulaya.

Ukweli ni Japanese wapo vizuri Toyota Celica GT,Subaru,Evo wamewahi kubeba WRC.

Hao wazungu unaowakubali wenyewe wanamheshimu mjapani.Ndio maana Ford Fiesta na Proto wao huko Ulaya saizi wanatengeneza Body Shell za Rally Car na injini wanaweka ya mjapani Mitsubishi Evolution 10.
ARC Skoda anawafanyaje Wajapan?? Alafu WRC Audi ana mpinzani??
 
Mkenya unayemuongelea ni Manvir Brayan anatumia Skoda ya mjerumani, alisumbua sana mwanzo ila baaadae wakenya nao Team Kabras na Carl Tundo wakaleta Ford Fiesta wakawa wanakula nae sahani moja.

Alivyokuja Tanzania alishinda kirahisi na pia Zambia.
Bahati mbaya gari yake ilipata ajali ila alitoka salama mwaka Jana.
Kabras ana Skoda nae sio Ford.. Ila Manveer alibeba ARC miaka miwili mfululizo..
 
Kabras ana Skoda nae sio Ford.. Ila Manveer alibeba ARC miaka miwili mfululizo..
Kabras Team wana collection ya gari nyingi za rally wana Evo 10,Skoda,Volkswagen,Ford Fiesta na Porsche 911.

Corona imefanya WRC Kenya ifutwe tungefaidi sana, mwezi wa 9 ratiba inaendelea huko kwa wenzetu Uturuki.
 
ARC Skoda anawafanyaje Wajapan?? Alafu WRC Audi ana mpinzani??
European Rally Championship (ERC) Skoda anafanya vizuri ila anapata upinzani mkubwa kwa Hyundai i20,Honda Civic, Ford Fiesta zenye Evo 10 mjapani na wakina Citroen.

Umeona moto aliuwasha Toyota Yaris GR kwenye testing Norway. Kwenye Rally zijazo mjapani ataendelea kusumbua hao wakina Skoda.
 
European Rally Championship (ERC) Skoda anafanya vizuri ila anapata upinzani mkubwa kwa Hyundai i20,Honda Civic, Ford Fiesta zenye Evo 10 mjapani na wakina Citroen.

Umeona moto aliuwasha Toyota Yaris GR kwenye testing Norway. Kwenye Rally zijazo mjapani ataendelea kusumbua hao wakina Skoda.
Sijaiona, ngoja nitaitafuta niipitie..
 
Nchi hii ni ngumu sana, nahisi UGALI umeharibu sana akili za wengi
Hahahahaha
Huyo jamaa amevamia uzi wa Kijerumani akaishia kukoment utopolo mtupu bila kusoma vizuri na kuuelewa.
 
Punguza kelele kijana, Mjapan hana gari yoyote ya maana..

Angalia WRC au ERC huko gari zinazotamba kwenye mashindano ni mashine za kijerumani.. Hapa Africa Skoda inakimbiza sana Subaru na Mitsubishi wake.. Yule Mkenya anayemiliki skoda anazichapa sana hizo takataka za Mjapan
Kwa maana hiyo Unataka kusema Mitsubishi Evo, Toyota Supra, Nissan GT-R na Kuna Subaru flani hivi nimesahau jina lake....hizi siyo gari za maana...?

Kwenye hayo magari hapo mpeni mjapani heshima yake...
 
Mzee baba kuna Toyota zinatembea huyo Vw Golf mchumba tu, uje ujaribu mziki wa Toyota Celica yenye 3s-gte.

Au Toyota yeyote yenye 1Jz-Gte iwe ni Toyota Supra,Mark 2,Cresta au Tourer V. Achana na hizo 1jz-ge au 1jz-fse zilizo kwenye Brevis.
Mzee umesharudi tanga?
 
Back
Top Bottom