Xi Jinping
JF-Expert Member
- Jun 14, 2023
- 3,651
- 11,548
- Thread starter
-
- #21
Ninachopendea Mchina hakufukuzi
Wewe mwenyewe ukiona moto umekuwa mkali unafunga unasepa.
Umenikumbusha Samsung nao walifunga plant China baada ya kuona ushindani mkali kutoka Xiaomi, Vivo, Huawei, Oppo
Tulitegemea mambo kama haya yaitokee Urusi ambayo Ujerumani na washirika wenzake wameiwekea vikwazo vya kiuchumi.
Maneno soko huria siku hizi kwa Marekani na Ulaya siyo ya kweli hawaishi kwenye hayo manenoWenyewe utaratibu wa soko huria wakidhani wote tutalala.
Walilazimisha nchi zetu zinazoendelea kuingia katika soko huria wakijua kwamba hakuna wa wakuwazidi katika uzalishaji wa bidhaa za viwandani.Maneno soko huria siku hizi kwa Marekani na Ulaya siyo ya kweli hawaishi kwenye hayo maneno
Urusi wanatengeneza magari ganiVolkswagen inafikiria iwapo itafunga viwanda nchini Ujerumani kwa mara ya kwanza katika historia yake ya miaka 87 huku ikielekea kuongeza upunguzaji wa gharama huku kukiwa na ushindani unaoongezeka kutoka kwa watengenezaji magari ya umeme nchini China.
–London (CNN)
Mapema wiki hii CNN iliripoti taarifa hiyo kuhusu Volkswagen (VW) moja ya kampuni kubwa duniani ya kutengeneza magari ya nchini Ujerumani.
Tangu mwaka jana mwanzoni VW imekuwa ikipambana kupunguza gharama za uzalishaji bila mafanikio.
Wakati wakipambana na hilo imekutana tena na changamoto nyingine, inazidi kupoteza soko lake kubwa zaidi la magari la China kutokana na ushindani mkali kutoka kwa kampuni za kutengeneza magari za nchini China kama vile BYD.
Pia BYD imekuwa ikizipa ushindani mkali kampuni za Ulaya kutia ndani VW kwenye soko la dunia la magari ya umeme.
Changamoto haiko tu kwa VW bali pia sekta ya viwanda vya magari barani Ulaya kwa ujumla.
"Sekta ya utengenezaji magari barani Ulaya iko katika hali ngumu sana."
–Oliver Blume (Volkswagen C.E.O)
Kuna sababu gani za kudorora kwa sekta ya viwanda vya magari barani Ulaya?
"Mazingira ya kiuchumi yamekuwa magumu zaidi, na washindani wapya wanaingia kwenye soko la Ulaya. Ujerumani haswa kama eneo la utengenezaji iko nyuma zaidi katika suala la ushindani."
–Oliver Blume (Volkswagen C.E.O)
Mipango ya VW kupunguza gharama itakabiliwa na upinzani mkubwa kutoka kwa wawakilishi wa wafanyakazi na vyama vya wafanyakazi. Moja ya chama cha wafanyakazi chenye nguvu zaidi nchini Ujerumani kimeilaumu VW kwa usimamizi mbovu wa kampuni hiyo na kuapa kupigana kulinda kazi.
Tulitegemea mambo kama haya yaitokee Urusi ambayo Ujerumani na washirika wenzake wameiwekea vikwazo vya kiuchumi.
Sio lazima Kila mtu atengeneze magari. Yeye anaeuzwa mafuta, gas, military equipment, n.k. Russia anazo natural resources nyingi sana hasa madini mbalimbali including rear metalUrusi wanatengeneza magari gani
Urusi wanatengeneza magari gani
Walilazimisha nchi zetu zinazoendelea kuingia katika soko huria wakijua kwamba hakuna wa wakuwazidi katika uzalishaji wa bidhaa za viwandani.
Nakumbuka kwenye hotuba yake moja nyerere alifananisha na boxing kwa mtu ambaye hana utaalam akapambane na Mike iron
Uchumi wa China ukiyumba unaathiri uchumi wa dunia nzima.
Russia inauza gas na wateja wake ni nchi za Ulaya.Point haikuwa kulenga viwanda vya magari tu bali uchumi kwa ujumla. Ilitakiwa kwa sasa tuone -ve impacts za vikwazo ilivyowekewa Russia
Ila cha kusahangaza licha ya vikwazo ni kwamba uchumi wa Russia unakua kuliko mataifa yote ya Ulaya
Mara nyingi inasabab8shwa na kuwa na bidhaaa nyingi sokoni, kuliko kiwango cha watumiajiHiyo global financial crisis itasababishwa na nini?
Nilijua hili lingetokea tu muda si mrefu. Biashara ya viwanda vya Ujerumani iliweza kushindana sokoni kutokana na kupata nishati ya bei ya kishkaji kutoka Urusi, sasa leo kaingia kiboya kwenye vikwazo dhidi ya Urusi na Mchina anazalisha magari bora kwa gharama nafuu lazima Ujerumani alambe sakafu.
Kila chenye Mwanzo 😁😁Volkswagen inafikiria iwapo itafunga viwanda nchini Ujerumani kwa mara ya kwanza katika historia yake ya miaka 87 huku ikielekea kuongeza upunguzaji wa gharama huku kukiwa na ushindani unaoongezeka kutoka kwa watengenezaji magari ya umeme nchini China.
–London (CNN)
Mapema wiki hii CNN iliripoti taarifa hiyo kuhusu Volkswagen (VW) moja ya kampuni kubwa duniani ya kutengeneza magari ya nchini Ujerumani.
Tangu mwaka jana mwanzoni VW imekuwa ikipambana kupunguza gharama za uzalishaji bila mafanikio.
Wakati wakipambana na hilo imekutana tena na changamoto nyingine, inazidi kupoteza soko lake kubwa zaidi la magari la China kutokana na ushindani mkali kutoka kwa kampuni za kutengeneza magari za nchini China kama vile BYD.
Pia BYD imekuwa ikizipa ushindani mkali kampuni za Ulaya kutia ndani VW kwenye soko la dunia la magari ya umeme.
Changamoto haiko tu kwa VW bali pia sekta ya viwanda vya magari barani Ulaya kwa ujumla.
"Sekta ya utengenezaji magari barani Ulaya iko katika hali ngumu sana."
–Oliver Blume (Volkswagen C.E.O)
Kuna sababu gani za kudorora kwa sekta ya viwanda vya magari barani Ulaya?
"Mazingira ya kiuchumi yamekuwa magumu zaidi, na washindani wapya wanaingia kwenye soko la Ulaya. Ujerumani haswa kama eneo la utengenezaji iko nyuma zaidi katika suala la ushindani."
–Oliver Blume (Volkswagen C.E.O)
Mipango ya VW kupunguza gharama itakabiliwa na upinzani mkubwa kutoka kwa wawakilishi wa wafanyakazi na vyama vya wafanyakazi. Moja ya chama cha wafanyakazi chenye nguvu zaidi nchini Ujerumani kimeilaumu VW kwa usimamizi mbovu wa kampuni hiyo na kuapa kupigana kulinda kazi.
Tulitegemea mambo kama haya yaitokee Urusi ambayo Ujerumani na washirika wenzake wameiwekea vikwazo vya kiuchumi.
Russia inauza gas na wateja wake ni nchi za Ulaya.
Halafu vikwazo huwa haviathiri uchumi labda nchi iwekewe vikwazo na dunia nzima
Angalia nchi kama Iran, Noth Korea
Nadhani hata ile issue ya kuzuia watumishi kutumia iphone katika ofisi za umma inaweza kuwa mojawapo ya sababu.Sijajua sana kuhusu future ya iPhone nchini China ripoti ya karibuni inaonyesha imepigwa gap na kampuni za ndani
Kutoka kuwa ya kwanza kwenye soko la China mwaka jana mpaka kufikia kuwa ya 4 mwaka huu
Vivo, Huawei, Honor, iPhone, Xiaomi, Oppo