Hammaz
JF-Expert Member
- May 16, 2018
- 6,607
- 14,076
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mchina anajua sana.Mitsubishi alishafunga plant nchini China na kusepa mazima
Nissan nao mwaka huu wamekusanya virago
Toyota naye anapambana kibishi anapumulia mipira acha tuone
Moto wanaopelekewa na China-based brands sio poa
Hizo nchi zote ulizotaja hazina highly skilled labour kama China.Mexico, India na Vietnam zinaweza chukua nafasi ya China kama EU na Marekani wataamua. Kwa kiasi fulani itapunguza wao kuitegemea sana China
uchumi upi wa Urusi unakua ?Point haikuwa kulenga viwanda vya magari tu bali uchumi kwa ujumla. Ilitakiwa kwa sasa tuone -ve impacts za vikwazo ilivyowekewa Russia
Ila cha kushangaza licha ya vikwazo ni kwamba uchumi wa Russia unakua kuliko mataifa yote ya Ulaya
kuna mtu alifikir USA itakuja dorora kiuchumi na china kuwa juu ? usihisu kesho itakuwa sawa na leoThe next China is China msijidanganye
Mchina anajua sana.
Bidhaa za mchina zimefika sehemu nyingi sana duniani, hawa jamaa soko wanalijua linahitaji nini na wanatekeleza hilo vyema kabisa.Uko sahihi sikupingi
Umesema vyemaBidhaa za mchina zimefika sehemu nyingi sana duniani, hawa jamaa soko wanalijua linahitaji nini na wanatekeleza hilo vyema kabisa.
Bongo ipiKwanini magari ya China hayauzwi Bongo?!
Mnapeenda kurahisisha rahisisha mambo jamaa kwani unadhani hawapendi iwe Mexico nk naisiwe uchinaMexico, India na Vietnam zinaweza chukua nafasi ya China kama EU na Marekani wataamua. Kwa kiasi fulani itapunguza wao kuitegemea sana China
Umesema vyemaMnapeenda kurahisisha rahisisha mambo jamaa kwani unadhani hawapendi iwe Mexico nk naisiwe uchina
Hahahah jamaa unapenda comment za kukufurahishaUmesema vyema
Hahahah jamaa unapenda comment za kukufurahisha
Ndio maana saivi US anamnyanyua IndiaEU na US wakiamua kumpa nafasi ya China apewe Mexico mtashangaa wote hapa jinsi China itanyooka.
Mexico wapo vizuri pia tena sana halafu mshahara wao kwa wastani ni mdogo mara 3 ya China.
Ndio maana saivi US anamnyanyua India