Volkswagen yafikiria kufunga viwanda vyake nchini Ujerumani, moja ya sababu ni ushindani kutoka China

Volkswagen yafikiria kufunga viwanda vyake nchini Ujerumani, moja ya sababu ni ushindani kutoka China

China ina FDI kwa Mexico, kampuni za China zinaweka uwekezaji Mexico na kuzalisha bidhaa za Meixo. Kampuni ya India ikifungua plant Tanzania kuzalisha vipuri, ikaajiri Watanzania bado utasema zile ni bidhaa za India? Sasa unamaanisha China inafanya magendo kupitia Mexico na Marekani haijui
Kwenye ulimwengu wa biashara kuna concept tunaiita repatriation, when a taxpaying entity transfers money earned overseas back to the country where it is based
 
China hana FDI kubwa Marekani, lengo la Trump ni Marekani iwe na FDI kubwa hasa payback kwa ambao pia Marekani imewekeza. Japan unawaona, South Korea unawaona, Canada, UK, Taiwan wote hao wana FDI nzuri Marekani.

China imewekeza $28 billion pekee kwa miaka 20, Marekani imewekeza $127 billion kwa China muda huohuo.
Wakati FDI yote kwa pamoja ndani ya Marekani ni $5.9 trillion. FDI ya Marekani kwenda nchi nyingine ni $6.68 trillion
FDI sio mchezo wa kulipizana kwamba kwa kuwa wewe umekuja kuwekeza kwangu na mimi nije kuwekeza kwako

Mwekezaji anaangalia faida atakazopata atakapoenda kuwekeza nchi nyingine mambo kama production cost, market, skilled personnel n.k yanazingatiwa

Kama Marekani anakimbilia kuwekeza China ina maana ameona China kuna manufaa zaidi akiwekeza kunamlipa

Ya nini China akimbilie kuwekeza Marekani ambapo hata Mmarekani mwenyewe anatoka anaenda China
?​
 
Wewe uwezo wako katika kuchambua masuala ya kiuchumi ni mdogo sana

Marekani imeruka jivu imekanyaga moto

Bidhaa nyingi wanazonunua Mexico ni za makampuni ya Kichina yaliyowekeza Mexico

Soma hizi article ambazo ni za Marekani uelewe, New York Times na Bloomberg


View attachment 3088291
Ila we jamaa ni mbishi.
Huoni China bado analazimisha kufanya biashara na US kwa ku force, ina maana hana namna ndio maana anapita njia za mikato na ujanja ujanja ili tu bidhaa zake ziingie US.

Unafikiri kwa intelligence waliyonayo US hawafahamu China inachokifanya.

China ndio inadhihirisha bado wanalihitaji soko la US.

Muwe mnakubali vitu vya ukweli na kuacha ushabiki.

Halafu kingine unachopaswa kufahamu China hana tech yeyote ambayo wengine hawawezi kufanya. Mnaiona China kama Mungu.

Nimeshangaa sana kuona mnavyoibeza Mexico na kuichukulia poa.
 
Sasa msiwe kama wajinga. Siongei na vilaza humu kwamba ni lazima nifafanue kila kitu. Wenye akili wanachukua concepts tu Pale iliposema DJI, ambao hawatoi military drones nikasema hiyo segment ya civilian drones Marekani hajaikazania ila tukienda kwenye military drones ndio ana msisitizo. Sasa mimi kutoa mfano wa DJI Mavic series tiyari mnataka kuwa wakufunzi wa drones. Logic hamjui, ligi tu mnataka
Hawa jamaa niliwaambia drones za jeshi, mtu anakuja kusema DJI ya China.

Hozo drones za kuzima moto na video shoot hat watoto wa chuo wanafanya kama projects.

Kampuni ya Mexico ya Hydra walitengeneza drone ya kijeshi ambayo haiwezekaniki ku hack.

China sio kwamba ni wakali kwenye tech kuliko wengine, wale ni population na cheap labor kitu ambacho India, Mexico, Vietnam, Hungary n.k wanaweza chukua hizo nafasi.

Hizo Magkev train zenyewe wagunduzi wa mwanzo ni US na Germany.

Ugunduzi mwingi na R&D za maana na EU na US.
 
FDI sio mchezo wa kulipizana kwamba kwa kuwa wewe umekuja kuwekeza kwangu na mimi nije kuwekeza kwako

Mwekezaji anaangalia faida atakazopata atakapoenda kuwekeza nchi nyingine mambo kama production cost, market, skilled personnel n.k yanazingatiwa
Wakati mwekezaji anaangalia faida, bado na taifa linaangalia faida. Hivyo kila mtu aone faida ya mwenzake. Marekani au China sio kama Tanzania ambapo wanakuja kuchimba madini na kuacha mashimo huku wanachukua faida kubwa.

Marekani kama haioni tena faida ni haki yake kukataa, sio suala la wewe kulazimisha wakubali jambo lisilohitajika.

Kama Marekani anakimbilia kuwekeza China ina maana ameona China kuna manufaa zaidi akiwekeza kunamlipa
Marekani ni ya kwanza kiuchumi duniani. Imewekeza sehemu nyingi sana wala China haifiki hata 5% ya investments za Marekani. Mbona unafanya kama vile China ndio dunia?
Unasemaje anakimbilia kuwekeza China ilhali kawekeza kila kona?

Ya nini China akimbilie kuwekeza Marekani ambapo hata Mmarekani mwenyewe anatoka anaenda China?​
China awekeze nini Marekani ambacho hakipo?
 
Wakati mwekezaji anaangalia faida, bado na taifa linaangalia faida. Hivyo kila mtu aone faida ya mwenzake. Marekani au China sio kama Tanzania ambapo wanakuja kuchimba madini na kuacha mashimo huku wanachukua faida kubwa.

Marekani kama haioni tena faida ni haki yake kukataa, sio suala la wewe kulazimisha wakubali jambo lisilohitajika.
Wawekezaji wa China hawaoni faida ya kuwekeza Marekani ndio maana huwezi kuona wana FDI kubwa Marekani ukicompare na Marekani kuwekeza China
 
China sio kwamba ni wakali kwenye tech kuliko wengine, wale ni population na cheap labor kitu ambacho India, Mexico, Vietnam, Hungary n.k wanaweza chukua hizo nafasi


Ni lini India, Mexico, Vietnam na Hungary watafikia hizi level za China?
 
Hizo Magkev train zenyewe wagunduzi wa mwanzo ni US na Germany.
Marekani hajawahi kuhusika kwenye Maglev tech

China hawategemei Maglev, kwanza Maglev iko Shanghai tu tena ni kakipande chenye 30km, na wakati network ya China HSRs kwa ujumla ni 45,000km.

Ukiacha hilo China ana HSR tech kama Fuxing, Hexie n.k ambazo zimekuwa developed na Wachina wenyewe na ndio sehemu kubwa ya hiyo network ya 45,000km
 
FDI sio mchezo wa kulipizana kwamba kwa kuwa wewe umekuja kuwekeza kwangu na mimi nije kuwekeza kwako

Mwekezaji anaangalia faida atakazopata atakapoenda kuwekeza nchi nyingine mambo kama production cost, market, skilled personnel n.k yanazingatiwa

Kama Marekani anakimbilia kuwekeza China ina maana ameona China kuna manufaa zaidi akiwekeza kunamlipa

Ya nini China akimbilie kuwekeza Marekani ambapo hata Mmarekani mwenyewe anatoka anaenda China
?​
Kwa marekani hapo alipofika amna kampuni itakayokeza hapo ikapata faida labda wapewa ruzuku ya usd 1b kila mwaka .hata boing atakimbia mda si mrefu
 
Hawa jamaa niliwaambia drones za jeshi, mtu anakuja kusema DJI ya China.
DJI ndio kampuni kubwa duniani ya kutengeneza high quality drones for consumer na commercial use ambazo ndizo zina demand kubwa na matumizi makubwa worldwide

Huwezi kuzungumzia manufacturers wa drones duniani bila kuizungumzia DJI
 
Marekani ni ya kwanza kiuchumi duniani. Imewekeza sehemu nyingi sana wala China haifiki hata 5% ya investments za Marekani. Mbona unafanya kama vile China ndio dunia?
Unasemaje anakimbilia kuwekeza China ilhali kawekeza kila kona?
China nayo ni manufacturing superpower huwezi kuikimbia katika dunia ya sasa hata Marekani mwenyewe anajua hilo
 
Itafikia hatua dunia nzima tutaitegemea China kwa kila kitu. Uchumi wa China ukiyumba unaathiri uchumi wa dunia nzima.
Sio itafika ni sasa
Mfano CHINA ndo angeingia VITA na TAIWAN Kisha akapigwa VIKWAZO km mrusi
TANZANIA ingekuwa HOI bin TABA

halafu ujui CHINA ikiyumba kiuchumi na Marekani kwa kiasi kikubwa inayumba KIUCHUMI pia

yaan CHINA na MAREKANI naifananisha kama TANZANIA na KENYA maneno mengi MTANDAONI kutupiana
Ila ukija Back door wanapiga BUSINESS kama hawana AKILI vizuri na wanahitajiana sana
 
Back
Top Bottom