VPL: Ihefu FC 1-2 Simba SC Sokoine, Mbeya

VPL: Ihefu FC 1-2 Simba SC Sokoine, Mbeya

Mechi ya kwanza mnabebwa hakuna offside..TFF nilishasema tusije kulaumiana wananchi hatukubali
Wasije kulaumiana kwamba utajinyonga au utajisaidia barabarani mchana jua kali?
 
Lia sana tunao
Mbumbumbu fc nikawaida Yao kubebwa, aliyefunga Goli kafanya juhudi kubwa, lakini pesa imefanya juhudi kubwa zaidi. Simba bila kubebwa hamna kitu.
Lia sana tuu tunaongoza gemu 1 hadi gemu 34
 
HT: Niliyoyabaini kwa Mnyama

- Neither organization nor community kwenye backline, they're accident waiting to happen
- HD na Mzamiru not fit to start the game
- Chama ni mzuri lakini ndiyo our weakest point kwenye kupoteza mipira
- Zimbwe Jr. anapanda na timu then anajisahau kurudi na kutusababishia unnecessary attacks

Hivyo:
- Mique
- Wawa
- Fraga
Wanahirajika before too late
Hao uliotaja hawapo hata sub
 
Mbumbumbu fc nikawaida Yao kubebwa, aliyefunga Goli kafanya juhudi kubwa, lakini pesa imefanya juhudi kubwa zaidi. Simba bila kubebwa hamna kitu.

After final whistle don't forget to drink your tears coz you are crying a lot kid.
 
Tumshukuru kibendera lile ni clear Goal Ihefu wamenyimwa...
Poor performance kwa Simba.
 
Babu Onyango katika kutaka kuokoa mpira ukampiga tobo mtu kaweka kambani refa kakataa , jamani mbumbumbu fc/shikamoo fc mkiambiwa wazeee msibishe.
Hakika Kocha Luc hakukosea kuwaita Manyani, Sokwe Mbwa FC maana siyo kwa mishadadio hiyo
 
HT: Niliyoyabaini kwa Mnyama

- Neither organization nor community kwenye backline, they're accident waiting to happen
- HD na Mzamiru not fit to start the game
- Chama ni mzuri lakini ndiyo our weakest point kwenye kupoteza mipira
- Zimbwe Jr. anapanda na timu then anajisahau kurudi na kutusababishia unnecessary attacks

Hivyo:
- Mique
- Wawa
- Fraga
Wanahirajika before too late
Huyu kocha ana matatizo ambayo sijawahi onna yamefanyiwa kazi. Unacheza na Ihefu na Mshambuliaji 1 je ukicheza na Township Rollers uchezeje? Poor approach kishingo wetu ni kama anabwebwa na vipaji vya wachezaji tu.
 
Back
Top Bottom