VPL: Tar. 22\04\2015: Simba vs Mgambo JKT



Ndio tabu ya kuchukua ubingwa wa mezani
 
Kudadeki,simba wameanza ligi sasa

Shuka wakati kumekucha. Mikia size yao kupigania nafasi na Kagera, Mtibwa, Mbeya City nk. VPL sasa ni kama La Primera Liga Kule Spain - Ni Barcelona au Real Madrid kupokezana kijiti. VPL sasa ni Yanga na Azam kupokezana kijiti. Mikia wakijitahidi sana ni nafasi ya tatu.
 
Dakika 45 za kipindi cha pili hizo.
 
Hahaha leo watajuta hawa Mgambo, nani kamwaga chakula changu?
 
Ushawahi kula pweza kwenye giza?? basi ndio leo Mnyama anavyofanya hapa Taifa
 
Kweli simba wameanza ligi kama ulivyosema yahoo.
SIMBA 4 0 MGAMBO JKT
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…