kitandilikunja
JF-Expert Member
- Mar 29, 2015
- 229
- 37
Dakika chache zimebakia ili kuku wa shehere ya kuwa bingwa mara 25 atazamishwe kibra,
R.i.p polisi morogoro, sisi tuliwapenda sana lakin ligi daraja la kwanza limewapenda zaidi.
Kuna kifaa toka Platnum kinaitwa Donald Mango, kimeshakubali kusaini mkataba, sijui tutamwondoa nani pale, ila huyo kavumbagu aende zake mikia fc au abaki na hao lambalambahuyu naye!! eti nimesikia yanga wanamuhitaji tena, wanini huyu jamaa??? mi naona hana kiwango cha Tambwe na Sherman, yanga waachane naye tu
cc Makoye Matale, mkolaj
tupeni link tuangalie mpira khaaaa!!!!!!Dak. 8: Yanga 0-0 Polisi Moro.
dakika ya 10
YANGA 0 0 POLISI MORO
Hivi vipolisi vinachewelesha ubingwa wa watu, ndiyo vimekomaa mpaka dk hizi
Dak. 11: Yanga 0-0 Polisi Moro.
Tupo mbioni kumsaini Donald Ngoma kiungo mshambuliaji wa fc platinum ya zimbabwe huyo kavumbagu wa nini!!huyu naye!! eti nimesikia yanga wanamuhitaji tena, wanini huyu jamaa??? mi naona hana kiwango cha Tambwe na Sherman, yanga waachane naye tu
cc Makoye Matale, mkolaj
Hivi vipolisi vinachewelesha ubingwa wa watu, ndiyo vimekomaa mpaka dk hizi
Leo ngumu kumeza.
Tupo mbioni kumsaini Donald Ngoma kiungo mshambuliaji wa fc platinum ya zimbabwe huyo kavumbagu wa nini!!
Ana option mbili za kufanya aidha kubaki huko huko lambalamba fc au atimukie mchangani fc.