Vuguvugu la kurudisha kadi za CCM watatumbuliwa ma-DC wangapi?

Your browser is not able to display this video.
 

Walipuane tuuu
Tumechoka[emoji706]
 
Nakubaliana na Wewe kabisa maana kuna wakati Sisi kama chawa tunabanwa maswali mpaka unawaza sasa na hili nilijibuje maana kisheria Haliko sawa ila tu naogopa nisikosea adabu ma kuipinga itikadi yangu....
 
samia watu hawakutaki.Achia kiti urudi Paje ukalee wajukuu.
 
Watu wanakuambia ukiweka ccm na andazi watu watachagua andazi kwa mana hiyo watu ata chauma akishindana na ccm kwa uchaguzi huru saa nne mzee wa ubwabwa yupo ikulu
Ndo maana hakuna mbadala wa CCM kwasababu andazi haliwezi kuongoza kwa maana yake ukiitoa CCM yaliyobaki ni maandazi
 
Uzuri wake ujumbe unawekwa wazi wananchi wana kero na wanamhitaji Mkuu wa wilaya hataki kwenda kuwasikiliza tatizo la nani ni lake yeye abebe lawama
 
Sijui hali ya huyu mwana ccm aliyerudisha card maisha yake yatakuwaje baadae.

Mikutano ya cdm imezidi kuwa moto na mwiba mkali sana kwa mabwenyenye ccm.

Ebu tazameni hii clip ndiyo mtaelewa kilichoktokea kwenye mkutano wa cdm pale Lushoto.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…