Vunjabei alikuwa na nafuu ila huyu Sandaland ni hovyo

Vunjabei alikuwa na nafuu ila huyu Sandaland ni hovyo

IMG_9475.jpg


UTO SASA ITAKUAJE TUMEIALIKA TIMU AFU HAITUJUI[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196]
KIBEGI CHA SIMBA[emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
 
Jezi ni nzuri sana kwa mwanasimba yeyote anayejielewa!
Ila kwa shabiki yeyote wa utopolo ambako wenye akili ni wawili tu ni ngumu sana kuzipenda.
Jezi ziko bomba hazina mambo mengi
Nb: Hizi siyo shela za harusi ni jezi za mpira wa miguu💪💪💪[emoji122][emoji122][emoji122][emoji122]
 
Kweli wanetu mna jezi kali sana, cheki hizo nyuzi nyuzi shingoni, daah hatari sana
F1ksFlQWAAAs0fa.jpeg
 
Nilisema kabisa. Yule sandaland mkinga anataka kuleta ukkoo kwenye nguo za simba. Na hili ni kosa toka kumkaribisha fred .. Sandaland kachukua mchongo kiujuaji. Ila hawezi kitu mjomba wangu huyu.
 
Back
Top Bottom