CAPO DELGADO
JF-Expert Member
- Aug 31, 2020
- 8,542
- 18,340
Umeishika Hiyo jersey na KUONA ubora wake??????
FICHA UJINGA MTANZANIA
ACHA uropofu.
FICHA UJINGA MTANZANIA
ACHA uropofu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mi nilidhani Quality ndo ubora!😳UBORA WA kitu haupimwi kwa Muonekano.
UBORA unapimwa kwa Quality.
Unatakiwa ushike jersey uangalie (texture) Uzito WA Uzi.
Otherwise labda kama unaangalia Design.
FICHA UJINGA WAKO MTANZANIA.
Vyura mna hoja za kishoga sanaJezi zimekosa ubunifu, ningekuwa na mamlaka ningemuweka ndani huyu sandaland. Bure kabisaaaa
Kolo limemaindVyura mna hoja za kishoga sana
Jezi za Yanga hazina Quality??????????? We jamaa umetafuna mirungi ya wapi?Jersey ya Simba upande wa quality kiasi wame jitahidi but kwenye design ndio poor unlike yanga design iko poa but quality ni mdebwedo
Sandaland Hana bayaSandaland mbinguni hawezi kutoboa 🤣🤣
mimi nalitaka lenye namba 6Matambara ya Mombasa yamefika.
Msemaji wa utopolo amesema ratiba wataitengeneza huko huko uwanjaniNa mpaka sasa hata hawajui kesho wanaanzia wapi bonanza lao.
MWENYE PICHA YA JEZI MPYA YA SIMBA IKIWA MOUNT KILIMANJARO ANITUMIE NAINUNUA KWA MILIONI MOJAView attachment 2695510
Kwa kiasi kikubwa urembo wa jezi huwa kwenye maeneo hayo uliyotaja na labda pia kwenye ubavu wa pembeni wa t-shirt au bukta na siyo kama Yanga walivyofanya kwa kuweka maurembo upinde wa chini wa t-shirt. Wanasema "simplicity is the ultimate sophistication"Ukiangalia jezi za mbumbumbu utagundua kuwa ni ileile ya mwaka jana kikubwa kilichobadilika n mistari meupe kwenye kola, kwenye upinde wa mikono na maandish makubwa ya M bet kuliko ya mwaka jana
Kweli mbumbumbu ni mbumbumbu
View attachment 2695498