Jezi ni nzuri sana kwa mwanasimba yeyote anayejielewa!
Ila kwa shabiki yeyote wa utopolo ambako wenye akili ni wawili tu ni ngumu sana kuzipenda.
Jezi ziko bomba hazina mambo mengi
Nb: Hizi siyo shela za harusi ni jezi za mpira wa miguu💪💪💪[emoji122][emoji122][emoji122][emoji122]