Hiyo ndo picha yenyewe.Ukionesha hiyo picha ya milioni 1 uliyonayo, hiyo picha iwe karatasi yenye sign ya ID yako na mimi nakulipa kwa kuonesha milioni 1 halafu tuendelee na mambo ya jezi ikiwa kileleni. Usiwe unatupigia kelele hapa kumbe hata laki huna
Leo kila kitu chao kimebumaHahaaha nasikia wanagawa ticket za bure
Nimekukumbusha tu michezo yako vipi unataka nikuzagamue tena?Ndo wanavyokufanyaga kumbe
🖕Nimekukumbusha tu michezo yako vipi unataka nikuzagamue tena?
Leta kibuyu hicho nikazagumue mpaka akili ikukae sawa uache kutukana strangers faken
Picha zipo za kutosha. Lakini habari za picha tuiache kwanza. Onesha hiyo milioni 1 na mimi NIKUONESHE milioni 1Hiyo ndo picha yenyewe.
Subhanallah!Kidole kimemlenga mtu hicho.Hajaumia?
Mpaka tupige makelele na kuweka dau ndio picha zionekane kweli.Picha zipo za kutosha. Lakini habari za picha tuiache kwanza. Onesha hiyo milioni 1 na mimi NIKUONESHE milioni 1
Atakuwa anakatikia ila sijui km kitamtoshaSubhanallah!Kidole kimemlenga mtu hicho.Hajaumia?
Akiitwa Rama atoe ushahidi itapendeza sana.🙏🤪Atakuwa anakatikia ila sijui km kitamtosha
Endelea kusikitika ukimaliza utasemaNimesikitishwa nilidhani nitanunua mwaka huu jezi ya maana lakini ni imekuja tofauti sana.
Hivi wabunifu wenu huwa mnawatoa wapi?
Kwa nini msiende uturuki ambako najua huwa hawakosei kubuni mavazi?
Halafu maandishi ya m- bet makuubwa sana kwa ajiki ya nini?
Mbona hata yakiwa madogo yanaonekana tu?
Sio leo..wiki yote hiii..mpaka wiki ijayo..baada ya hapo sasa tunaanza promo ya Simba day...hatariiiLeo kila kitu chao kimebuma
Bosi Amewaganda kwenye makalio yao [emoji1787]Jezi zimekosa ubunifu, ningekuwa na mamlaka ningemuweka ndani huyu sandaland. Bure kabisaaaa