Vurugu Umbwe-Lyamungo: Miaka 12 baadae

Kimata kinatuka ilikua O level na A level. 2008 ilikua ya viongozi na wanafunzi (Mussa Mdee unamkumbuka?). Ya shabani ndo ilifanya tukatembea mpaka kwa mkuu wa mkoa
Wewe unachanganya mafile. Dogo shabani alifariki 2006 na ile vita iliewa jina la stone war 3. Vita iliyowaondoa form 3 na form 4 ilikuwa ni KIMATA-KIMATUKA WAR 1 hi ilikuwa mwezi wa 2 hivi na sababu kubwa ilikuwa ni ugomvi kati ya viranja na raiya
 
Nyama zililala zikaliwa kesho yake, balaa lilianzia hapo. watu wakaendesha mbaya kabisa.
Alikuwa Golikipa huyu dogo, namkumbuka hadi Leo, alikufa juu ya fomu nje ya ofisi ya waalimu, walikataa kumpa ruhusa. Then wakafoji foji na kusema kafa na malaria.
 
Uhuni tu wa MOB PSYCHOLOGY....

Maisha ni zaidi ya upumbavu wa kimakundi.....
 
Kimata kinatuka ilikua O level na A level. 2008 ilikua ya viongozi na wanafunzi (Mussa Mdee unamkumbuka?). Ya shabani ndo ilifanya tukatembea mpaka kwa mkuu wa mkoa
Daa huyu Mussa Mdee sitakaa nisahau kipindi hicho niko form one 2007. Alikua anatuamsha saa 11 tudeki baraza alafu unalinda mtu asipite mpaka saa 1. Hapo utoke ndo ukajiandae kuingia class. Ni zaidi ya jeshi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa sahivi shule za girls sio kicheko, ni ku "daggy" yaan kushake miguu, ila nyege mbaya sana daaah. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Funza alikuja Nsumba
 
Nakumbuka wengine walikuja Mazengo Dom
 
Mzee nipe historia fupi yamtu mmoja anaitwa MAN PEACE, huyu jamaa aliondoka baada ya hiyo vita akahamia shule ya nyerere nako alianzisha mgomo, lakin sijajua huyo jamaa katika hiyo vita alikuwa ni nani

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuhusu mwanafunzi wa lyamungo kufa mlilishwa matango pori,ni mwanafunzi wa umbwe tu aliyeshambuliwa kwa mawe na matofali.
 
Kuna vijana wa Lyamungo walihamia hostel zetu(Majengo Sec.) kwa mawiki kadhaa kwasababu ya hizo vurugu
 
Nakumbuka mnyukano kati ya Azaboy vs Benjamini.
Akikatiza mwanafunzi wa kibasila na jezi zake kama hana kitambulisho anajumuishwa kwenye vita na wao wakikamata na mwanafunzi wa veta wanamshuhulikia.
Azaboy tukaletewa wanawake formfive 2001 lakini walipomqaliza form 6 hawakuletwa wengine tena
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…