Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bwashee jamaa wanapita kimyakimya
Bia yetu siku hizi kaufyata [emoji23]
Hatari sanaMungu wakati wote yupo kazini awa chape viboko
Bashiru tena kwa sauti ndogo.😁😁😁hiiiiihiiii bagosha.Kwa jirani hiiiiiiii bhaghosha! Huyo wa hilo jabali sasa! CCM kumeanza kunoga. Lazima tutoe movie mwaka huu.
Huyu kiongozi aligoma kumpa barua ya uteuzi mgombea wa udiwani mmoja aliyepitishwa na CCM mkoa kwa madai kuwa amepokea maagizo kutoka kwa Bashiru Ali kubatilisha uteuzi wa mgombea huyo! Ndipo ikabidi kinuke. Na aliyebeba jabali ndiye mgombea mwenyewe ambaye uteuzi wake ulibatilishwa na Bashiru Ali ambaye ni katibu mkuu wa CCM taifa kwa mujibu wa maelezo ya huyo mama.
View attachment 1541833
Unataka kuchochea moto??Mwenye kuni Jirani naomba aniazime
Huyo mama Pesa alizokula zitamtoka puani.Hapo pesa ishalika
Chama Cha kihuni hikiKwa jirani hiiiiiiii bhaghosha! Huyo wa hilo jabali sasa! CCM kumeanza kunoga. Lazima tutoe movie mwaka huu.
Huyu kiongozi aligoma kumpa barua ya uteuzi mgombea wa udiwani mmoja aliyepitishwa na CCM mkoa kwa madai kuwa amepokea maagizo kutoka kwa Bashiru Ali kubatilisha uteuzi wa mgombea huyo! Ndipo ikabidi kinuke. Na aliyebeba jabali ndiye mgombea mwenyewe ambaye uteuzi wake ulibatilishwa na Bashiru Ali ambaye ni katibu mkuu wa CCM taifa kwa mujibu wa maelezo ya huyo mama.
View attachment 1541833
Takukuru iliona wote wametoa Rushwa sasa ikiwadaka wote chadema itapita bila kupingwa nchi nzima. Vyombo vya dola muone wenyewe ni aina gani ya chama kinatuongoza.Uwezi kumkata mtu kwa sababu ya rushwa, wakiwa wote wametoa, tofauti ni kiwango tu cha rushwa kati yao, ndio maana takukuru baada ya kujiridhisha uenda wote wato rushwa wameamua kuwaachia chama, kiukweli hamna hatakae kubali kukatwa!
Kweli?Bia yetu siku hizi kaufyata [emoji23]
Naona. Maana siwasikii kabisa. ama wanakusanya nguvu za kuja kujibu mashambulizi?Bwashee jamaa wanapita kimyakimya