Uchaguzi 2020 Vurugu zatawala ofisi za CCM Dodoma baada ya walioshinda kura za maoni Udiwani kukatwa

Uchaguzi 2020 Vurugu zatawala ofisi za CCM Dodoma baada ya walioshinda kura za maoni Udiwani kukatwa

Hawa hapa
 

Attachments

  • Vurugu zimeibuka katika ofisi za Chama cha Mapinduzi ( CCM) Wilaya ya Dodoma baa ( 750 X 750 ).mp4
    7.3 MB
.
IMG_20200819_140618.jpg
 
Kwa mamlaka nliopewa nafuta chaguzi zote mpaka 2025, mtaniwehua kwa sonona.

Hatulali kwa amani, vibarua vyetu ndio vinakaribia kuwaka moto, kila tunavyomuona yule "MFU KUTOKA UBELGIJI" anavyowakusanya mafuasi nchi nzima matumbo yanatuvuruga, halafu mwenyekiti wetu alijisahau alivyopata madaraka akalewa, akajitia ubabe na ujeuri, haambiliki wala hakushaurika, chama akakidharau, wanachama kaishawavuruga kwa kuthamini waliopindua karata toka upinzani. Mbobezi yupo kimya hatujui mikakati anayopanga. Yani ni zahama juu ya zahama.

Mbobezi alisema kuna kitu kinaweza kutokea hapa katikati usisahau kumbuka vizuri alipohojiwa na alionekana kukitegemea pia hicho kitakachotokea
 
Uzi wangu mshauunganishaaa [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
CCM watajipalia makaa kwa hii hoja ya rushwa....ni Mgonjwa wa akili pekee yake atakayeamini kuwa kila atakayekatwa kwamba alitoa rushwa na aliyepitishwa hakutoa.

Hapa ni bora aliyepita apite waangalia namna ya kubadili utaratibu huko mbele, maana hapa zitatumika sababu tofauti kabisa za kuwaonea wengine kwa kisingizio cha rushwa.
 
An iceberg in the ocean floats with one-seventh of its volume above the surface. A. What is the specific gravity of the iceberg relative to ocean water? (?ocean water = 64.0 lb/ft3) B. What portion of its volume (in%) would be above the surface if.
In the good old days, it used to be one tenth of its volume. I have no idea as to how it changed so much in the past fifty years.
 
CCM watajipalia makaa kwa hii hoja ya rushwa....ni Mgonjwa wa akili pekee yake atakayeamini kuwa kila atakayekatwa kwamba alitoa rushwa na aliyepitishwa hakutoa.

Hapa ni bora aliyepita apite waangalia namna ya kubadili utaratibu huko mbele, maana hapa zitatumika sababu tofauti kabisa za kuwaonea wengine kwa kisingizio cha rushwa.
Wakatwe wote wanaohisiwa kutoa rushwa tusije kuwa na viongozi mafisadi.
Kata kabisa na wapewe adhabu kutogombea kwa miaka 10.
Iwe findisho kwa wagombea watakaokuja.
 
Hivi kuna nini CCM wameambiwa wasiwe na tamaa ya uongozi, lakini wameshindwa uvumilivu wa mchakato wa kisiasa wa kuteua wagombea ngazi ya kwenda kugombea udiwani hadi wanashikana mashati

CCM BADO HAIJA TAKATA, NI CHAFU NDIYO MAANA MTU AKIAMBIWA WEWE USIGOMBEE HAUNA SIFA ANAKIMBILIA UPINZANI KWA SABABU ANA TAMAA YA KUONGOZA
 
Back
Top Bottom