Vurugu zisizoisha kitongoji ninachoishi Afrika Kusini

Nikuhakikishie siku hizi wengi wauza madawa hawataki hata kuyasikia hao madawa yaani wanejiajir kwenye maduka na restaurant watu wanakimbia hizo biashara
Wafanyabiashara wapo ila wabongo wengi wanajihusisha na Narcotics
 
Man to man
 
Kkoo wale jamaa wa calculator wanasumbua sana heri vita[emoji2960]

Kariakoo sehemu nzuri sana ya biashara mkuu yaani sehemu nzuri snaa , napafikiria sanaa tatzo ni mtaji tu maana unatakiwa uwe na mtaji mzuri kidogo
 
Wafanyabiashara wapo ila wabongo wengi wanajihusisha na Narcotics

Nilikataa maisha ya kuuza dawa tangu nipo Tanzania na sijasafiri na kitu ambacho naishi mpaka sasa

Siamini et ili nifanikiwe mwenzangu aharibikiwe, siamini kabsa yaani
 
Huko kuna tofauti gani na Tz, hasa kwa shughuli mnazofanya?
 
Huko kuna tofauti gani na Tz, hasa kwa shughuli mnazofanya?

Tofauti ni pesa thamani ya pesa ya tanzania ni tofauti Na ya South Africa Kwa ukubwa mkubwa sana

Usi complain hakikisha unashauri au kuelekeza na kukosoa pia ruksa
 
[emoji7]
 
[emoji1787]

Jamaa ni "primitive" sana...
 
Ni vilee bint tu ila ungejua vilee mwanaume anatakiwa force mpaka afanikiwe ungenipa moyo tu

Nna vingi sanaa vya kulipa ikiwepo mahari ambayo wewe hautoisikia wala kuilipa kipindi unaolewa au ulichoolewa
[emoji1787]
 
STORY HAIENDELEI- hii ni kajikituko tu kalichotokea hasubuhi hii

Nimefungua goli saa 6:30 kwa ajili ya huduma kama kawaida, huwa hasubuhi wateja wengi ni wafanya kazi wanaoenda makazini na wanafunzi wanaoenda mashuleni

Huwa sana sana wananunua matunda na biscut kwa ajili ya break fast- kama nusu saa hivi nimefungua duka natoa huduma- kamekuja katoto kateja kinaishi hapa hapa mtaani kwetu

Kameleta baadhi ya vitu kanasema kanauza nikakaambia mimi sina kitu akanambia hautaki bastola ninayo hapa, akaitoa akafanya kama anaikoki na kujaribu kuishoot ili kunionyesha kama ipo poa huku akiwa kanielekezea mimi


Nikamwambia usiniielekezee hiyo mzee, akacheka na akanambia aina risasi akaishusha kilee kidude cha kuwekea risasi na kunihakikishia kama haina kitu

Nikamuuliza umevipata wapi? Hivi vitu; akanambia tumevunja na kuingia hapo N2 kwa mzungu tumeviiba na kwa maelezo yake kuna wenzake bado wapo kawaacha kwenye hiyo nyumba wanaendelea kuchukua vitu

Fasta tu ; nikamwambia mzee hapa fanya uende banah hapakufai kabsa akawa anacheka ka kunambia AIZN muoga sana wewe

Akaweka vitu vyake Sawa akaondoka- mtoto kavu kweli yulee
 
Pambano linalofata wakianza kujipanga nishtue mapema nije kufanya mafunzo kwa vitendo ya Kombat kila yangu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…