VVU na UKIMWI: Historia yeke, chanzo cha maambukizi, dalili, kinga na juhudi za kupambana na ugonjwa huu

Hiyo CCRK5 inapimwa maabara kujua kama mtu anayo au lah?!!!!
Ndiyo inaweza kuwa detected kwa njia ya PCR ingawa ni highly expensive

Ila hamna mtu ambaye hana hii receptor ya CCR5 ila tu kuna kundi dogo la watu less than 1% amboa wao wanakua nayo ila inakua imebadilika (mutation)na inakuwa ni CCR5 Delta 32 watu hawa wanakua na kinga dhidi ya baazi ya virusi vya ukimwi ingawa sio vyote.
 
Dig the EA,
Mzee wa Longitudinal usimind ndugu yangu..Tatizo lako bado una mawazo ya miaka ya 80 kuhusu HIV na UKIMWI.
 
Ukimwi ni ukisefu wa kinga mwilini.
Je Nani mtu wa kwanza kubainika kuwa ni muasilika wa ugonjwa huo na ilikuwa mwaka gani na ktk Nchi gani. Naomba pia kumjua mgunduzi alikua ni nani?
 
Ukimwi ni ukisefu wa kinga mwilini.
Je Nani mtu wa kwanza kubainika kuwa ni muasilika wa ugonjwa huo na ilikuwa mwaka gani na ktk Nchi gani. Naomba pia kumjua mgunduzi alikua ni nani?
Historia inasema hivi janga la sasa la HIV inawezekana lilianza miaka ya 1930, hata hivyo ugonjwa ulianza kuenea kwa kasi sana miaka ya 1970. Hata hivyo Kwa Mara ya kwanza UKIMWI ULILIPOTIWA TRH 5JUNE 1981
 
Sio aina damu .. Lakini ni ukosefu wa vitu ambavyo tunaweza kuviita kama mlango wa viruses kuingia kwenye seli za mtu. Kuna watu hawana hivyo vitu(CCRK5) kwenye seli zao za damu hivyo hawapati maambukizi
Mimeanza late kusoma post yako kwahiyo ikitokea nimeuliza swami lililojibiwa unisamehe. Naomba kufahamu kama MTU anaweza kupima uwepo wa CCRK5 kwenye damu, na je, ni ngazi gani ya huduma ya afya inaweza kupima CCRK5?
 
UKWELI MCHUNGU:
Kwa vipimo vyetu vya 3rd generation, usishangae kupima na ukawa positive hata pasipokukutana kimwili na aliyeathirika wala kutoka vyanzo vingine vya maambukizi ya HIV. Mtu mwenye afya mgogoro akiwa exposed kwa mkupuo kwenye mazingira yenye utitiri wa magonjwa mfano TB, mkanda wa jeshi, malaria, homa, kipindupindu etc, na kisha akafanya kipimo cha HIV/AIDS ni rahisi sana kusomeka HIV+ kwasababu kinga yake itakuwa ipo chini sana kutokana na antibodies activities ndani ya mwili wake dhidi ya maradhi aliyonayo kwani haijathibitika kama HIV pekee ndiye anayeshambulia T-cells au zinzwezakuwa dhaifu hata pasipokuwepo na HIV katika damu.

Kipimo cha kinachotumika katika nchi zetu hizi kinadanganya sana(there's business and hidden policy behind this). Kipimo cha (HIV RNA) ndichokipimo accurate ambacho nchi zilizoendelea hukitumia na ndiyomaana takwimu zetu zinaonesha kuwa tupo juu sana katika viwango vya maambukizi.

Mbaya zaidi ni trauma anayoipata mtu baada kuambiwa kuwa ni positive na kisha kuanzishiwa ARV ambayo hummaliza kabisa kwani dawa yoyote mwilini ni sumu hasa pale inapotumika muda mrefu.
 
Papa Mobimba,
Huyu uliyemtaja kama long term progresser (mwenye HIV) ukimpima hali ya maambukizi ya HIV, kipimo kitaonesha mambukizi ndani ya muda sawa na watu wengine wanaoweza kuwa tested +ve?
 
Mimeanza late kusoma post yako kwahiyo ikitokea nimeuliza swami lililojibiwa unisamehe. Naomba kufahamu kama MTU anaweza kupima uwepo wa CCRK5 kwenye damu, na je, ni ngazi gani ya huduma ya afya inaweza kupima CCRK5?
CCRK5 haipo kwa ajili ya mass consumption. Ipo kwa ajili ya research katika nchi zilizoendelea
 
Huyu uliyemtaja kama long term progresser (mwenye HIV) ukimpima hali ya maambukizi ya HIV, kipimo kitaonesha mambukizi ndani ya muda sawa na watu wengine wanaoweza kuwa tested +ve?
Kipimo kitaonyesha kama ana HIV
 
Kwa nini muathirika aliyeacha dawa(ARV) akizirudia tena LAZIMA achane msamba?
 
1)mkuu hizi dawa za (PrePep) kwaajili ya kinga ya HIV kwa sasa zimeshaanza kutolewa hapa bongo?
Na je matumizi yake yakoje ni kwamba mtu atameza kila siku katika maisha yake kama zilivyo arvs za kawaida au anameza tu pale atakapo kuwa anahitaji kukutana na mwenza mwenye HIV +?

2)Naweza kupata maelezo njia za kufata ili kuishi na mwenza mwenye HIV+ na kupata watoto wazima bila yule mwenza mwenye HIV- kupata HIV?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…