VVU na UKIMWI: Historia yeke, chanzo cha maambukizi, dalili, kinga na juhudi za kupambana na ugonjwa huu

Kuna dhana kwamba muathirika akienda kupima huku akiwa na kiasi kikubwa cha pombe mwilini/tungi! Vipimo havisomi sawasawa,Je kuna ukweli wowote na je kuna namna yoyote inayoathiri uonekanaji wa VVU kwa muathirika/figisu/fitina za kuwaficha HIV kwenye vipimo?
 
Virusi navyo vinakuwa vimeenda kufyonza mvinyo (vinapenda sana Balimi nasikia),,,,sasa vikizima huko obvious majibu yatakuwa negative...sasa ngoja vizinduke vikiwa na njaa na mlevi wewe hujavinywesha supu asubuhi...balaah lao lazima ukaadisie.
 
Virusi navyo vinakuwa vimeenda kufyonza mvinyo (vinapenda sana Balimi nasikia),,,,sasa vikizima huko obvious majibu yatakuwa negative...sasa ngoja vizinduke vikiwa na njaa na mlevi wewe hujavinywesha supu asubuhi...balaah lao lazima ukaadisie.
We jamaa mkuda sana wewe🤣🤣🤣🤣
 
Zinatolewa kitambo sana. Unatumia kwa muda wa mwezi mmoja
Lazima uhakikishe ana tumia ARV, LAZIMA KUTUMIA KONDOM
KUHUSU KUZAA SISHAURI KUKUTANA BILA KUTUMIA KONDOM
 
Hiyo dhana sio kweli
 
Sasa Mimi nimegegeda vyangudoa wengi bila kinga inakuaje hapo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…