we kua tu mpare maana unafit kwenye mazingira yao😂😂😂😂Ugali na picha ya samaki huko upareni, nilishiba kabisa.
Nilishahama upareni mkuu na siwezi kujichanganya huko tena kamwe.we kua tu mpare maana unafit kwenye mazingira yao😂😂😂😂
Nalo ni tatizo kubwa sanaTatizo kubwa unabeti hata kidogo ulichopata
Maji ya mchele huwa yananukia,na nyumba wakiyopika mchele harufu huwepo,angeshindwaje kujua kua haya ni maji ya mchele,mkuu...?Ulikuwa unajua ni maji ya mchele au ulifikiri ni aina fulani ya chakula?
hahahaha haya bhanaNilishahama upareni mkuu na siwezi kujichanganya huko tena kamwe.
Mkuu uongo gani Sasa 🤔🙄🤒Intelli acha Uongo 🤓🤓
Maji ya mcheleMkuu uongo gani Sasa 🤔🙄🤒
Mkuu, njaa isikie tu. Ikikukolea, hata chakula ambacho ulikuwa ukiisikia harufu yake unahisi kutapika, ukikutana nacho, unaweza usiisikie ile harufu iliyokuwa ikikukera, badala yake ikawa inanukia harufu ya chakula ukipendacho.Maji ya mchele huwa yananukia,na nyumba wakiyopika mchele harufu huwepo,angeshindwaje kujua kua haya ni maji ya mchele,mkuu...?
Mkuu sikia kwaa mwenzio, ila ukweli ndo huoMaji ya mchele
aiseeMbona Kawaida mkuu....
Nishakula ugali na sukari dadeki, kuna kipindi miaka hiyo andazi mmoja tunagwana wawili halafu kimyaaa hakuna kulalamika like nothing happened ....Mungu ashukuriwe Kwa kweli wanaJFNilishawahi kula ugali na tomato ila ilikuwa ni kwasababu nilichelewa kutafuta chakula na nilikuwa mkoani( mbeya). Lile baridi lilijua kunifunza adabu ule usiku.
Maana sehemu nilipokuwa kutoka hadi kwenda town kulipochangamka ilikuwa mtihani na Mbeya unajua balaa lake usiku baridi kali la mwezi wa sita.
Hotpot ilikuwa na ugali wa mchana, aiseee niliruka nao na tomato ile njaa ilikuwa inauma hadi kwenye mifupa.
Daddy!aisee
😂 bora nilale njaaNili kunywa maji ya mchele mzee, wali osha mchele Waka yaacha Nika pita nayo.
We hukijui njaa bado😂 bora nilale njaa
Njaa naijua vizuri sana nimewahi tafuna makaratasi.We hukijui njaa bado