TPP
JF-Expert Member
- Mar 18, 2023
- 650
- 783
- Thread starter
- #21
Hapakuwahi kuwa na term limits katika kiti cha general Secretary within the partyBraza consensus ilikua kwa Deng, Jiang na Hu. Sasa hivi Xi alitaka wasilale hawalali. 2018 alibadilo katiba kumruhusu kuendelea kuwa katibu mkuu wa chama na Raisi wa nchi.