Vyama vya Siasa 8 nchini China

Vyama vya Siasa 8 nchini China

Kufuatilia siasa za uchina bora ufuatilie siasa za Korea kaskazini, hizi ni nchi za kidikteta by nature, haziruhusu mawazo mbadala sasa pumbavu mmoja anakuja humu kutuletea ujinga wake

Njia bora inayoruhusu ustawi wa jamii ni demokrasia pekee yake, huko china kila mtu ni CPC kwa lazima, Xi ndie kiongozi wako wabunge wote hadi takataka za nyumba kumi ni CPC

USA wamefika hapo walipo coz of their democracy, na nahisi hawa USA wataenda mbali zaidi ya hapo walipo, coz nchi kama China ni rahisi hali yao kisiasa kubadilika pale ambapo raia watachoka utawala wa kidikteta

Ndio maana USSR, Iran, China, North Korea, etc, ikitokea tu raia kudai haki fulani lazima usikie wakisingizia kwamba wanadanganywa na USA or Western, kitu ambacho uwezi kusikia USA wala katika nchi za demokrasia
Ok upo huru kufungua mada ya U.S.A na kuelezea uzuri wa mifumo yake hakuna anaye kuzuia lakini kuniita mpumbavu sioni kama ni busara wewe kufanya hivyo

Just be a good guy
 
Kikawaida ni miaka kumi. Nijibu kwa ni Xi hajastaafu?
Mbona nimekujibu kuwa hakuna term limit kwa cheo chake au unataka jibu gani zaidi ya hilo ?
 
Kumbuka Kuna umri huchaguliwi maana unatakiwa kutumika vipindi vya miaka 5 mara mbili. Premier 2032 atakua na 76. How??????
Hakuna ulazima wa kuchaguliwa miaka miwili kikatiba
 
Achana hata na Hu Jintao Rais mstaafu, njoo kwa Waziri wa Sheria aliyetaka Xi asiongezewe muhura kafungwa maisha.
Siku Xi akifariki nchi itapata msukosuko, anajikuza kuliko taasisi za nchi
View attachment 2575434
Alipinga lini ? Na je unafahamu kosa la Fu Zhenghua mpaka kufika mahakamani na kuhukumiwa ?
 
We bwana mdogo tafuta wa kuwashika akili hapa ulishafeli, Tuko makini sana na propaganda zenu.

Nimefanya kazi na wachina nyinyi mna roho mbaya na niwasengenyaji wakubwa.

Najifanyaga sijui wala sielewi kichina nawaskilizaga tu mnavyotusengenya na kutudharau.

Tafuta CCP wenzio mdanganyane sio hapa
Ok
 
Hivi ni kwann nyinyi ni wabaguzi na wasengenyaji sana?

Kwann mwafrica akiwa China haruhusiwi kuingia hospitali muhimu na baadhi ya super market.

Na kwann selikari yenu haichukui hatua zozote kuzuia ubaguzi huu?

Utatuambia nn ili tuamini na ww si mmoja wa hao wachina wabaguzi wa watu kulingana na rangi za ngozi zao?
Umeishiwa hoja ?
 
Hakuna ulazima wa kuchaguliwa miaka miwili kikatiba
Kwenye congress iliyopita hakuna mtu yeyote aliyeingizwa ili kupata uzoefu wa uongozi. 2028 hakuwezi kuwa na mabadiliko maana lazima mtu akae kwenye Politburo ajifunze namna ya kuongoza. Kwenye wale memba mia mbili na ushee sikumbuki kuona mtu aliyozaliwa mwaka 1970 na kuendelea. Hapo mna 1950 na 60. Hawa ni wazee tayari. Kwa kweli inabidi tuwaondoe baby boomer kwenye uongozi duniani. Wanakaba mno hawataki kuamini wamezeeka.
 
Kwenye congress iliyopita hakuna mtu yeyote aliyeingizwa ili kupata uzoefu wa uongozi.
Uzoefu wa uongozi China unaanzia level ya chini mpaka level ya juu hauanzii juu tu
 
Hongkong wana mfumo wao usio ingiliwa na mainland
Niambie ilikuaje wanachama wa chama Cha demokrsia walifungwa? Kwa Nini lazima Politburo ipitishe jina l mgombea?
 
Alipinga lini ? Na je unafahamu kosa la Fu Zhenghua mpaka kufika mahakamani na kuhukumiwa ?
Umejiunga lini JF? Unadhani humu ni chuo utakuwa unauliza maswali unavyojisikia mtu anaanza kukufundisha?
Hujui elimu ni gharama. Nimekuquote ili ujue, sina muda wa kuwa nakujibu na commands zako za kijinga za hebu nieleze, unajua kuhusu hiki, una kitu fulani. Mwenyewe nikianza kukuuliza maswali hapa muda hamna. Kuwa GT
 
Bro kwa heri. Bahati nzuri nimesoma mabadiliko ya 1968, kifo Cha Mao na gang of five, mandamano ya 1989, utetezi wa Deng wa 1992, nimeishi wakati wa Hu na Wen Jiabao. Pia nimeona Xi na Li na Sasa Xi. Asipokua makini kufikiri kesho ataiangusha China kwa tamaa na hofu ya kupatwa na vilivyompata baba yake.
 
Kwenye congress iliyopita hakuna mtu yeyote aliyeingizwa ili kupata uzoefu wa uongozi. 2028 hakuwezi kuwa na mabadiliko maana lazima mtu akae kwenye Politburo ajifunze namna ya kuongoza. Kwenye wale memba mia mbili na ushee sikumbuki kuona mtu aliyozaliwa mwaka 1970 na kuendelea. Hapo mna 1950 na 60. Hawa ni wazee tayari. Kwa kweli inabidi tuwaondoe baby boomer kwenye uongozi duniani. Wanakaba mno hawataki kuamini wamezeeka.
Members wote una wafahamu ? Ok
 
Back
Top Bottom