Vyama vya Siasa mmeathiriwa na utumwa - mtatumika sana

Vyama vya Siasa mmeathiriwa na utumwa - mtatumika sana

Kabende Msakila

JF-Expert Member
Joined
Oct 7, 2020
Posts
1,809
Reaction score
1,692
Nazungumza na Wana wa CDM, ACT, NCCR, CUF nk pamoja na kwamba mmesajili vyama vyenu ili kuja kukiangusha chama tawala cha CCM lkn uhalisia unaonesha mmeathiliwa sana mifumo ya kikoloni na utumwa.

(a). Kwa nini vyama hamuanzishi miradi mipya ya vitegeuchumi ili pasipo kutegemea ruzuku fedha hizi ziwasaidie kuendesha shughuli za chama?

(b). Kwa nini mnaamni ktk kuomba omba toka nchi za magharibi - hivi hamfikirii kwamba wao hupataje fedha na resources zingine za kuendesha shughuli za vyama vyao - Je, wakianza kuwapa fedha kwa masharti kwamba mpk mruhusu ushoga, usagaji nk mtakataa kwa hizo njaa zenu?

(c). Nawashari:-
Anzisheni miradi ya vitegeuchumi;

Kama CCM ilivyo jifunzeni kujitegemea pasi tembeza kopo la msaada;

Zindukeni!
Msakila Kabende
Kakonko.
 
Huna akili Wala huna hoja kifupi unabwabwaja! Nikuachie tu swali dogo, je, Ni wawekezaji na watoa misaada wangapi wanaoipa tz pesa ambazo toka Uhuru tunasikiaga DENI LA TAIFA je unajua mikataba iliyopo? Vita dhidi ya ushoga inatakiwa ipigwe kuanzia individual level lakini sauti ya mwisho Ni sauti ya serikali ambayo Ni CCM
 
Nazungumza na Wana wa CDM, ACT, NCCR, CUF nk pamoja na kwamba mmesajili vyama vyenu ili kuja kukiangusha chama tawala cha CCM lkn uhalisia unaonesha mmeathiliwa sana mifumo ya kikoloni na utumwa.

(a). Kwa nini vyama hamuanzishi miradi mipya ya vitegeuchumi ili pasipo kutegemea ruzuku fedha hizi ziwasaidie kuendesha shughuli za chama?

(b). Kwa nini mnaamni ktk kuomba omba toka nchi za magharibi - hivi hamfikirii kwamba wao hupataje fedha na resources zingine za kuendesha shughuli za vyama vyao - Je, wakianza kuwapa fedha kwa masharti kwamba mpk mruhusu ushoga, usagaji nk mtakataa kwa hizo njaa zenu?

(c). Nawashari:-
Anzisheni miradi ya vitegeuchumi;

Kama CCM ilivyo jifunzeni kujitegemea pasi tembeza kopo la msaada;

Zindukeni!
Msakila Kabende
Kakonko.
Ni kweli, vyama vya upinzani havina malengo, vipo vipo tu. Tumeona ufisadi wa kutisha katika ripoti ya CAG hawajatoa tamko lolote.
 
Nazungumza na Wana wa CDM, ACT, NCCR, CUF nk pamoja na kwamba mmesajili vyama vyenu ili kuja kukiangusha chama tawala cha CCM lkn uhalisia unaonesha mmeathiliwa sana mifumo ya kikoloni na utumwa.

(a). Kwa nini vyama hamuanzishi miradi mipya ya vitegeuchumi ili pasipo kutegemea ruzuku fedha hizi ziwasaidie kuendesha shughuli za chama?

(b). Kwa nini mnaamni ktk kuomba omba toka nchi za magharibi - hivi hamfikirii kwamba wao hupataje fedha na resources zingine za kuendesha shughuli za vyama vyao - Je, wakianza kuwapa fedha kwa masharti kwamba mpk mruhusu ushoga, usagaji nk mtakataa kwa hizo njaa zenu?

(c). Nawashari:-
Anzisheni miradi ya vitegeuchumi;

Kama CCM ilivyo jifunzeni kujitegemea pasi tembeza kopo la msaada;

Zindukeni!
Msakila Kabende
Kakonko.
shoga lililoachwa na kamala harris pale ikulu.
 
035ce4d3-e4b6-4b6a-958b-1aebf5630071.jpg
 
Ni kweli, vyama vya upinzani havina malengo, vipo vipo tu. Tumeona ufisadi wa kutisha katika ripoti ya CAG hawajatoa tamko lolote.
Nilitaka kumjibu mtoa hoja lakini nimeona nimpuuze maana wengine wamemjibu vyema kuwa hatumii akili katika hoja zake nimeamua kukujibu wewe maana hili ni jipya.
Unaelewa kuwa ripoti ya CAG haijawa rasmi open to public kama sheria zinavyo elekeza?
Hiyo ripoti mpaka Rais aikabidhi bungeni ndio wote tunaweza kuisoma na kuitolea mawazo yetu ikiwemo vyama vya siasa.
Hivyo kabla ya kutoa tuhuma zako ulipaswa kutafiti mbona wako kimya hawa watu makini kwa mfano Chadema?
 
Nazungumza na Wana wa CDM, ACT, NCCR, CUF nk pamoja na kwamba mmesajili vyama vyenu ili kuja kukiangusha chama tawala cha CCM lkn uhalisia unaonesha mmeathiliwa sana mifumo ya kikoloni na utumwa.

(a). Kwa nini vyama hamuanzishi miradi mipya ya vitegeuchumi ili pasipo kutegemea ruzuku fedha hizi ziwasaidie kuendesha shughuli za chama?

(b). Kwa nini mnaamni ktk kuomba omba toka nchi za magharibi - hivi hamfikirii kwamba wao hupataje fedha na resources zingine za kuendesha shughuli za vyama vyao - Je, wakianza kuwapa fedha kwa masharti kwamba mpk mruhusu ushoga, usagaji nk mtakataa kwa hizo njaa zenu?

(c). Nawashari:-
Anzisheni miradi ya vitegeuchumi;

Kama CCM ilivyo jifunzeni kujitegemea pasi tembeza kopo la msaada;

Zindukeni!
Msakila Kabende
Kakonko.
Kwa akili zako unaona upinzani unaweza kuanzisha miradi na serekali yetu ikatizama tu mpate fedha ili watolewe madarakani?
 
Nazungumza na Wana wa CDM, ACT, NCCR, CUF nk pamoja na kwamba mmesajili vyama vyenu ili kuja kukiangusha chama tawala cha CCM lkn uhalisia unaonesha mmeathiliwa sana mifumo ya kikoloni na utumwa.

(a). Kwa nini vyama hamuanzishi miradi mipya ya vitegeuchumi ili pasipo kutegemea ruzuku fedha hizi ziwasaidie kuendesha shughuli za chama?

(b). Kwa nini mnaamni ktk kuomba omba toka nchi za magharibi - hivi hamfikirii kwamba wao hupataje fedha na resources zingine za kuendesha shughuli za vyama vyao - Je, wakianza kuwapa fedha kwa masharti kwamba mpk mruhusu ushoga, usagaji nk mtakataa kwa hizo njaa zenu?

(c). Nawashari:-
Anzisheni miradi ya vitegeuchumi;

Kama CCM ilivyo jifunzeni kujitegemea pasi tembeza kopo la msaada;

Zindukeni!
Msakila Kabende
Kakonko.

CCM ana washauri wapinzani. Kuna shida mahali. Ungeanza kwa kuwashauri CCM warudishe Mali zote za serikali waanze kutafuta za kwao.
 
Ni kweli, vyama vya upinzani havina malengo, vipo vipo tu. Tumeona ufisadi wa kutisha katika ripoti ya CAG hawajatoa tamko lolote.

Na wewe nawe usiwe mjinga kiasi hicho. Ripoti ya CAG haijawa for public consumption. Jana hujasikia mwongozo wa spika kwamba ripoti ya CAG itaanza kujadiliwa bungeni baada ya CAG kuisoma na Bunge litatoa mape dekezo na kuwaita wahusika wotr kuwahoji.

Jifunze mambo usiwe mtu wa kulaaumu. Waibe CCM lakini mmebaki kuilaumu CHADEMA na upinzani. Mwizi mnamchekea halafu mnataka CHADEMA ipige kelele. Tuache unafiki.
 
Nazungumza na Wana wa CDM, ACT, NCCR, CUF nk pamoja na kwamba mmesajili vyama vyenu ili kuja kukiangusha chama tawala cha CCM lkn uhalisia unaonesha mmeathiliwa sana mifumo ya kikoloni na utumwa.

(a). Kwa nini vyama hamuanzishi miradi mipya ya vitegeuchumi ili pasipo kutegemea ruzuku fedha hizi ziwasaidie kuendesha shughuli za chama?

(b). Kwa nini mnaamni ktk kuomba omba toka nchi za magharibi - hivi hamfikirii kwamba wao hupataje fedha na resources zingine za kuendesha shughuli za vyama vyao - Je, wakianza kuwapa fedha kwa masharti kwamba mpk mruhusu ushoga, usagaji nk mtakataa kwa hizo njaa zenu?

(c). Nawashari:-
Anzisheni miradi ya vitegeuchumi;

Kama CCM ilivyo jifunzeni kujitegemea pasi tembeza kopo la msaada;

Zindukeni!
Msakila Kabende
Kakonko.

Zinduka mwenyewe. Baadala ya kushauri maendeleo ya kakonko umekalia umbea.
 
Nazungumza na Wana wa CDM, ACT, NCCR, CUF nk pamoja na kwamba mmesajili vyama vyenu ili kuja kukiangusha chama tawala cha CCM lkn uhalisia unaonesha mmeathiliwa sana mifumo ya kikoloni na utumwa.

(a). Kwa nini vyama hamuanzishi miradi mipya ya vitegeuchumi ili pasipo kutegemea ruzuku fedha hizi ziwasaidie kuendesha shughuli za chama?

(b). Kwa nini mnaamni ktk kuomba omba toka nchi za magharibi - hivi hamfikirii kwamba wao hupataje fedha na resources zingine za kuendesha shughuli za vyama vyao - Je, wakianza kuwapa fedha kwa masharti kwamba mpk mruhusu ushoga, usagaji nk mtakataa kwa hizo njaa zenu?

(c). Nawashari:-
Anzisheni miradi ya vitegeuchumi;

Kama CCM ilivyo jifunzeni kujitegemea pasi tembeza kopo la msaada;

Zindukeni!
Msakila Kabende
Kakonko.

..mbona huilaumu serikali ya Ccm na Rais Ssh kwa kuomba-omba misaada na mikopo toka ktk nchi zilizokubuhu kwa ushoga?

..pia vyama vya siasa havipaswi kufanya biashara au kumiliki vitega uchumi.

..Jambo hilo ni hatari ikiwa vyama hivyo vitashika madaraka na kuyatumia kukandamiza washindani wao wa kibiashara.
 
Huna akili Wala huna hoja kifupi unabwabwaja! Nikuachie tu swali dogo, je, Ni wawekezaji na watoa misaada wangapi wanaoipa tz pesa ambazo toka Uhuru tunasikiaga DENI LA TAIFA je unajua mikataba iliyopo? Vita dhidi ya ushoga inatakiwa ipigwe kuanzia individual level lakini sauti ya mwisho Ni sauti ya serikali ambayo Ni CCM
Hama kuna asie na akili na yeye basi ni wewe. Nani alikwambia deni ni msaada?
 
Nilitaka kumjibu mtoa hoja lakini nimeona nimpuuze maana wengine wamemjibu vyema kuwa hatumii akili katika hoja zake nimeamua kukujibu wewe maana hili ni jipya.
Unaelewa kuwa ripoti ya CAG haijawa rasmi open to public kama sheria zinavyo elekeza?
Hiyo ripoti mpaka Rais aikabidhi bungeni ndio wote tunaweza kuisoma na kuitolea mawazo yetu ikiwemo vyama vya siasa.
Hivyo kabla ya kutoa tuhuma zako ulipaswa kutafiti mbona wako kimya hawa watu makini kwa mfano Chadema?
CHADEMA wana umakini upi? Au ndiyo wale wale?
 
Nazungumza na Wana wa CDM, ACT, NCCR, CUF nk pamoja na kwamba mmesajili vyama vyenu ili kuja kukiangusha chama tawala cha CCM lkn uhalisia unaonesha mmeathiliwa sana mifumo ya kikoloni na utumwa.

(a). Kwa nini vyama hamuanzishi miradi mipya ya vitegeuchumi ili pasipo kutegemea ruzuku fedha hizi ziwasaidie kuendesha shughuli za chama?

(b). Kwa nini mnaamni ktk kuomba omba toka nchi za magharibi - hivi hamfikirii kwamba wao hupataje fedha na resources zingine za kuendesha shughuli za vyama vyao - Je, wakianza kuwapa fedha kwa masharti kwamba mpk mruhusu ushoga, usagaji nk mtakataa kwa hizo njaa zenu?

(c). Nawashari:-
Anzisheni miradi ya vitegeuchumi;

Kama CCM ilivyo jifunzeni kujitegemea pasi tembeza kopo la msaada;

Zindukeni!
Msakila Kabende
Kakonko.
Mjumbe hujui usemalo no bora ungekaa kimya, kama unataka biashara nenda soko la hisa. Siasa ni kitu kitukufu, utumishi. Anza na TANU, ikatugomboa ukoloni. Kaja Karume, katugomboa utumwa wa Waarabu. 1977 wakaungana CCM, ilatugomboa vita vya nduli Idi Amin. Vikagomboa Namibia, na Zimbabwe, na South Africa. Muda wote huu Tanzania ni Nji moja, Taifa moja, waliobaki ni vimkusanyiko vya makabila mbalimbali au koo maarufu, au temi: hakuna mshikamano. Embo jiulize, Samia angeweza kutawala Kenya? Unaweza ukatembea Rwanda usiku? Ukitaka mshikaji Bunyoro na wewe ni Muganda unaweza? Au dholuo awe mkuu wa Wilaya ya Eldoret kwa kina arap Ruto? Hiyo ndiyo kazi ya Chama.
 
Back
Top Bottom