Vyama vya Siasa mmeathiriwa na utumwa - mtatumika sana

Vyama vya Siasa mmeathiriwa na utumwa - mtatumika sana

Huna akili Wala huna hoja kifupi unabwabwaja! Nikuachie tu swali dogo, je, Ni wawekezaji na watoa misaada wangapi wanaoipa tz pesa ambazo toka Uhuru tunasikiaga DENI LA TAIFA je unajua mikataba iliyopo? Vita dhidi ya ushoga inatakiwa ipigwe kuanzia individual level lakini sauti ya mwisho Ni sauti ya serikali ambayo Ni CCM
Kuna mahala hujamuelewa mtoa mada...
 
Kila walichonacho CCM wamekichota ndani ya Serekali.
 
Back
Top Bottom