baba-mwajuma
JF-Expert Member
- Feb 1, 2014
- 4,178
- 7,591
Kuna mda hapo juu Katoa wazo la Qatar hao ndio marafiki wa Hamas,Haina shida umoja wa Mataifa na Tanzania tunambua nchi ya Palestina ambayo ndio ina ubalozi Tanzania
Maandamano twende kwao wao ndio watawafikishia hao Hamas wa Gaza walioteka watu wetu kuwa hizi ndio sakamu zenu toka kwa watanzania wanataka muachie watu wao mliowateka
Watazifikishaje hayatuhusu Hamas hawana ubalozi Tanzania
Palestina kama nchi ndio wana ubalozi hapa
Wao ndio wapokee hizo taarifa kuwa tunataka watanzania wetu waliotekwa na Hamas Waachiliwe
Wao ni Hamas tu wala.watanzania.hawana thamani kwao.Vyama vya siasa Tanzania viitishe maandamano kwenda ubalozi wa Palestina uliopo nchin kudai watanzania wenzetu wanaoshikiliwa mateka na Hamas waachwe huru
huo ni uchochezi unaolenga mateka wachinjwe.Vyama vya siasa Tanzania viitishe maandamano kwenda ubalozi wa Palestina uliopo nchin kudai watanzania wenzetu wanaoshikiliwa mateka na Hamas waachwe huru
Raia wa nchi nyingine mbona mateka wa Marekani Hamas wanewaachia baada ya Marekani kuwaambia Hamas achieni watu wetu kwa strong voicehuo ni uchochezi unaolenga mateka wachinjwe.
Yaani mtu wa Fatah awaambie watu wa Hamasi wawaachie mateka?
Ni sawa na Chadema kwenda kuwaambia ACT wasishiriki uchaguzi.....
Hatua hii haitoshi, maandamano yawe ni kushinikiza Serikali iamuru maafisa wa ubalozi wa Palestina wasitishe shughuli zao hapa nchini mpaka Watanzania hao waachiwe.
Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
Muislam aende Isreal? Kapotea njia?Aiseee, watanzania waliotekwa wanaweza kuwa waislam pia. Sasa wao wanapigana na nani?
Strong voice? Dah wee jama kumbe pwaguRaia wa nchi nyingine mbona mateka wa Marekani Hamas wanewaachia baada ya Marekani kuwaambia Hamas achieni watu wetu kwa strong voice
Sisi tukiwachekea Hamas watakuwa wanateka watu wetu watanzania kila wakati
Israel kuna Watanzania kibao wanasoma kule vyuo kibao
Huu mchezo wa kuteka watu wetu lazima tuwaambia no please wakiua madhara watakayopata hawatakuja kusahau maishani sababu Tanzania hatuji watetea hata mara moja Palestina na tutaomba maandamano mengine ubalozi wa Palestina ufungwe nchini sababu wauaji waliowaua ni wapalestina waliomo nchini mwao
Tutataka wafunge virago kama serikali yao haiwezi hakikisha usalama wa Watanzania kwao waondoke nchini
Kazi ya serikali ni pamoja na kulinda raia wa nje waliomo nchini kwao
๐๐ mkuu ulichokiandika mwenyw umekisoma au ukiandika kwenda mbele tuKwa hiyo Marekani na wengine kuita wao ni International terrorists kama Alshabab au Alkaeda wako sahihi Kwa hiyo wateke watu wetu halafu tukiwataka watutishie nyau? Haiwezekani
Kuwa unateka raia wa nchi zingine halafu unawatishia nyau wakitaka watu wao waliowateka? Nyoko haiwezekani
Uzuri Tanzania tulishapigana vita na wapalestina tukawateka wengi tu
Walimuunga mkono Idd Amin kwenye vita yetu na Uganda
Idd Amin akaomba msaada Palestina wakaja na silaha zao na wapiganaji wao tuliwateka kibao .Ghadafi akataka waachiwe huru kwa kulipa mamilioni ya Dola hao wapalestina kwa niaba yao waachiwe
Nyerere alitaka kukubali kuwa sawa ni sehemu ya kulipa gharama za vita kaitia hasara Tanzania kanisa katoliki wakamzuia akipowaomba ushauri kuwa hiyo ni biashara ya utumwa asifanye hivyo akasema watakaa wapi wakati vita inaendelea na wao hao wapalestina wanaendelea kupigana vitani?
Kanisa katoliki likakubali kuwachukua hao mateka wa kivita wa kipalestina wakaenda kuhifadhiwa kwenye majengo ya kanisa katoliki nyanda za juu kusini wakila vure na kutunzwa vizuri mno hadi vita ilipoisha wakarudishwa makwao
Hivyo wapalestina sio watu wa kubabaisha Tanzania na makundi yao gaidi
Alkaeda walishajaribu,Tanga,Mwanza, mkuranga ,kibiti Rufiji nk wakiua viongozi wa siasa na polisi ,kusini na pwani nk waliishia kuchinjwa kama kuku wakatorokea Msumbiji na walichijwa kweli kweli bila huruma na vikosi vyetu
Tuandamane tudai watu wetu waachiwe na Hamas bila woga
Hao Hamas wasitubabaishe waachie watu wetu
Kuna watu wanajitia wajuzi ila hawafuatilii mambo ni ushabiki tu mkuu.Serikali ya Palestina Chini ya Mahmoud Abas ipo located western bank na Hamas wapo Gaza kama Hufahamu hawa ni Mahasimu. Viongozi wa Palestina ambao wapo Western Bank hawana nguvu yoyote Gaza.
Mihemko isiyo na faida, hao israil wenye vifaa na makombora mazito wenywe watu wao weng waliotekwa pamoja na kushambulia Ghazza Jamaa hawajaachia mateka, ndy waachie kisa YEHODAYA kaandamana na chadem huko TZ kwenda ubalozi wa palestin tena ambao mahasim zao ๐๐ acha bandari tuwape waarabu kama akili zetu ndio hiziHaina shida umoja wa Mataifa na Tanzania tunambua nchi ya Palestina ambayo ndio ina ubalozi Tanzania
Maandamano twende kwao wao ndio watawafikishia hao Hamas wa Gaza walioteka watu wetu kuwa hizi ndio sakamu zenu toka kwa watanzania wanataka muachie watu wao mliowateka
Watazifikishaje hayatuhusu Hamas hawana ubalozi Tanzania
Palestina kama nchi ndio wana ubalozi hapa
Wao ndio wapokee hizo taarifa kuwa tunataka watanzania wetu waliotekwa na Hamas Waachiliwe
Allah yuko wapi mbona hawasaidii
Tunadai watu wetu watanzania wenzetu hayo mambo yao ya Israel na Hamas hayatuhusu kwenye hili la mateka washikiliwa na Hamas .Tunataka Hamas wawaachie watanzania wenzetu waliowateka na wanaowashikiliaMihemko isiyo na faida, hao israil wenye vifaa na makombora mazito wenywe watu wao weng waliotekwa pamoja na kushambulia Ghazza Jamaa hawajaachia mateka, ndy waachie kisa YEHODAYA kaandamana na chadem huko TZ kwenda ubalozi wa palestin tena ambao mahasim zao ๐๐ acha bandari tuwape waarabu kama akili zetu ndio hizi
Chama kipi kwa mfano, nyie mnajua kuandamana kusifia na kutoa pongezi na kuunga mkono mambo ya hovyo, ishu za msingi hamuwezi andamanaVyama vya siasa Tanzania viitishe maandamano kwenda ubalozi wa Palestina uliopo nchin kudai watanzania wenzetu wanaoshikiliwa mateka na Hamas waachwe huru
sawaRaia wa nchi nyingine mbona mateka wa Marekani Hamas wanewaachia baada ya Marekani kuwaambia Hamas achieni watu wetu kwa strong voice
Sisi tukiwachekea Hamas watakuwa wanateka watu wetu watanzania kila wakati
Israel kuna Watanzania kibao wanasoma kule vyuo kibao
Huu mchezo wa kuteka watu wetu lazima tuwaambia no please wakiua madhara watakayopata hawatakuja kusahau maishani sababu Tanzania hatuji watetea hata mara moja Palestina na tutaomba maandamano mengine ubalozi wa Palestina ufungwe nchini sababu wauaji waliowaua ni wapalestina waliomo nchini mwao
Tutataka wafunge virago kama serikali yao haiwezi hakikisha usalama wa Watanzania kwao waondoke nchini
Kazi ya serikali ni pamoja na kulinda raia wa nje waliomo nchini kwao
Uhakika.Humu kuna Wabongo wanasapoti harakati za Hamas, lakini uwezi kusikia wakipinga kitendo cha HAMAS kuteka watanzania. Ukiteka Ndugu zetu tayari wewe ni adui kwetu
Nakazia๐Vyama vya siasa Tanzania viitishe maandamano kwenda ubalozi wa Palestina uliopo nchin kudai watanzania wenzetu wanaoshikiliwa mateka na Hamas waachwe huru