Vyama vya siasa viitishe maandamano kwenda ubalozi wa Palestina kudai watanzania wanaoshikiliwa mateka na Hamas Waachiliwe huru

Vyama vya siasa viitishe maandamano kwenda ubalozi wa Palestina kudai watanzania wanaoshikiliwa mateka na Hamas Waachiliwe huru

Haina shida umoja wa Mataifa na Tanzania tunambua nchi ya Palestina ambayo ndio ina ubalozi Tanzania

Maandamano twende kwao wao ndio watawafikishia hao Hamas wa Gaza walioteka watu wetu kuwa hizi ndio sakamu zenu toka kwa watanzania wanataka muachie watu wao mliowateka

Watazifikishaje hayatuhusu Hamas hawana ubalozi Tanzania

Palestina kama nchi ndio wana ubalozi hapa

Wao ndio wapokee hizo taarifa kuwa tunataka watanzania wetu waliotekwa na Hamas Waachiliwe
Kuna mda hapo juu Katoa wazo la Qatar hao ndio marafiki wa Hamas,
 
Vyama vya siasa Tanzania viitishe maandamano kwenda ubalozi wa Palestina uliopo nchin kudai watanzania wenzetu wanaoshikiliwa mateka na Hamas waachwe huru
Wao ni Hamas tu wala.watanzania.hawana thamani kwao.
 
Watetezi wa haki za Binadamu na wabaharakati Tanzania mko wapi kudai Hamas waachie Watanzania wenzetu mayowe yenu yako wapi,? Waandishi wa habari mko wapi kuandika kurasa za mbele za magazeti na taarifa za habari kuwa jukwaa la wahariri au vyama vya wanahabari taarifa ya habari ya kwanza kuwa mwatoa wito kwa Hamas waachie Watanzania wetu waliotekwa na Hamas?

Mbona mko kimya kwenye swala zito kama hiki la Watanzania wenzetu?

Tunapiga yowe Jamii Forums peke yetu nyie wengine mko kimya Hebu amkeni.Kila eneo lipige yowe tunataka Watanzania wenzetu waachiwe huru na Hamas

Kila mwenye sauti Tanzania apige yowe Hamas waachie watu wetu iwe mitandao ya kijamii aina zote waungane na Jamii Forums tupige yowe
 
Vyama vya siasa Tanzania viitishe maandamano kwenda ubalozi wa Palestina uliopo nchin kudai watanzania wenzetu wanaoshikiliwa mateka na Hamas waachwe huru
huo ni uchochezi unaolenga mateka wachinjwe.

Yaani mtu wa Fatah awaambie watu wa Hamasi wawaachie mateka?

Ni sawa na Chadema kwenda kuwaambia ACT wasishiriki uchaguzi.....
 
huo ni uchochezi unaolenga mateka wachinjwe.

Yaani mtu wa Fatah awaambie watu wa Hamasi wawaachie mateka?

Ni sawa na Chadema kwenda kuwaambia ACT wasishiriki uchaguzi.....
Raia wa nchi nyingine mbona mateka wa Marekani Hamas wanewaachia baada ya Marekani kuwaambia Hamas achieni watu wetu kwa strong voice

Sisi tukiwachekea Hamas watakuwa wanateka watu wetu watanzania kila wakati

Israel kuna Watanzania kibao wanasoma kule vyuo kibao

Huu mchezo wa kuteka watu wetu lazima tuwaambia no please wakiua madhara watakayopata hawatakuja kusahau maishani sababu Tanzania hatuji watetea hata mara moja Palestina na tutaomba maandamano mengine ubalozi wa Palestina ufungwe nchini sababu wauaji waliowaua ni wapalestina waliomo nchini mwao

Tutataka wafunge virago kama serikali yao haiwezi hakikisha usalama wa Watanzania kwao waondoke nchini

Kazi ya serikali ni pamoja na kulinda raia wa nje waliomo nchini kwao
 
Raia wa nchi nyingine mbona mateka wa Marekani Hamas wanewaachia baada ya Marekani kuwaambia Hamas achieni watu wetu kwa strong voice

Sisi tukiwachekea Hamas watakuwa wanateka watu wetu watanzania kila wakati

Israel kuna Watanzania kibao wanasoma kule vyuo kibao

Huu mchezo wa kuteka watu wetu lazima tuwaambia no please wakiua madhara watakayopata hawatakuja kusahau maishani sababu Tanzania hatuji watetea hata mara moja Palestina na tutaomba maandamano mengine ubalozi wa Palestina ufungwe nchini sababu wauaji waliowaua ni wapalestina waliomo nchini mwao

Tutataka wafunge virago kama serikali yao haiwezi hakikisha usalama wa Watanzania kwao waondoke nchini

Kazi ya serikali ni pamoja na kulinda raia wa nje waliomo nchini kwao
Strong voice? Dah wee jama kumbe pwagu
 
1698418305320.png
 
Kwa hiyo Marekani na wengine kuita wao ni International terrorists kama Alshabab au Alkaeda wako sahihi Kwa hiyo wateke watu wetu halafu tukiwataka watutishie nyau? Haiwezekani

Kuwa unateka raia wa nchi zingine halafu unawatishia nyau wakitaka watu wao waliowateka? Nyoko haiwezekani

Uzuri Tanzania tulishapigana vita na wapalestina tukawateka wengi tu

Walimuunga mkono Idd Amin kwenye vita yetu na Uganda

Idd Amin akaomba msaada Palestina wakaja na silaha zao na wapiganaji wao tuliwateka kibao .Ghadafi akataka waachiwe huru kwa kulipa mamilioni ya Dola hao wapalestina kwa niaba yao waachiwe

Nyerere alitaka kukubali kuwa sawa ni sehemu ya kulipa gharama za vita kaitia hasara Tanzania kanisa katoliki wakamzuia akipowaomba ushauri kuwa hiyo ni biashara ya utumwa asifanye hivyo akasema watakaa wapi wakati vita inaendelea na wao hao wapalestina wanaendelea kupigana vitani?

Kanisa katoliki likakubali kuwachukua hao mateka wa kivita wa kipalestina wakaenda kuhifadhiwa kwenye majengo ya kanisa katoliki nyanda za juu kusini wakila vure na kutunzwa vizuri mno hadi vita ilipoisha wakarudishwa makwao

Hivyo wapalestina sio watu wa kubabaisha Tanzania na makundi yao gaidi

Alkaeda walishajaribu,Tanga,Mwanza, mkuranga ,kibiti Rufiji nk wakiua viongozi wa siasa na polisi ,kusini na pwani nk waliishia kuchinjwa kama kuku wakatorokea Msumbiji na walichijwa kweli kweli bila huruma na vikosi vyetu

Tuandamane tudai watu wetu waachiwe na Hamas bila woga

Hao Hamas wasitubabaishe waachie watu wetu
😂😂 mkuu ulichokiandika mwenyw umekisoma au ukiandika kwenda mbele tu
 
Serikali ya Palestina Chini ya Mahmoud Abas ipo located western bank na Hamas wapo Gaza kama Hufahamu hawa ni Mahasimu. Viongozi wa Palestina ambao wapo Western Bank hawana nguvu yoyote Gaza.
Kuna watu wanajitia wajuzi ila hawafuatilii mambo ni ushabiki tu mkuu.
 
Haina shida umoja wa Mataifa na Tanzania tunambua nchi ya Palestina ambayo ndio ina ubalozi Tanzania

Maandamano twende kwao wao ndio watawafikishia hao Hamas wa Gaza walioteka watu wetu kuwa hizi ndio sakamu zenu toka kwa watanzania wanataka muachie watu wao mliowateka

Watazifikishaje hayatuhusu Hamas hawana ubalozi Tanzania

Palestina kama nchi ndio wana ubalozi hapa

Wao ndio wapokee hizo taarifa kuwa tunataka watanzania wetu waliotekwa na Hamas Waachiliwe
Mihemko isiyo na faida, hao israil wenye vifaa na makombora mazito wenywe watu wao weng waliotekwa pamoja na kushambulia Ghazza Jamaa hawajaachia mateka, ndy waachie kisa YEHODAYA kaandamana na chadem huko TZ kwenda ubalozi wa palestin tena ambao mahasim zao 😂😂 acha bandari tuwape waarabu kama akili zetu ndio hizi
 
Mihemko isiyo na faida, hao israil wenye vifaa na makombora mazito wenywe watu wao weng waliotekwa pamoja na kushambulia Ghazza Jamaa hawajaachia mateka, ndy waachie kisa YEHODAYA kaandamana na chadem huko TZ kwenda ubalozi wa palestin tena ambao mahasim zao 😂😂 acha bandari tuwape waarabu kama akili zetu ndio hizi
Tunadai watu wetu watanzania wenzetu hayo mambo yao ya Israel na Hamas hayatuhusu kwenye hili la mateka washikiliwa na Hamas .Tunataka Hamas wawaachie watanzania wenzetu waliowateka na wanaowashikilia

Mambo yao ya Hamas na Israel yao tunataka Hamas waachie Watanzania wenzetu nani ana vifaa nani hana hayatuhusu


Hamas ndio wanasshikilia watanzania wenzetu mateka wawaachie
 
Vyama vya siasa Tanzania viitishe maandamano kwenda ubalozi wa Palestina uliopo nchin kudai watanzania wenzetu wanaoshikiliwa mateka na Hamas waachwe huru
Chama kipi kwa mfano, nyie mnajua kuandamana kusifia na kutoa pongezi na kuunga mkono mambo ya hovyo, ishu za msingi hamuwezi andamana
 
Raia wa nchi nyingine mbona mateka wa Marekani Hamas wanewaachia baada ya Marekani kuwaambia Hamas achieni watu wetu kwa strong voice

Sisi tukiwachekea Hamas watakuwa wanateka watu wetu watanzania kila wakati

Israel kuna Watanzania kibao wanasoma kule vyuo kibao

Huu mchezo wa kuteka watu wetu lazima tuwaambia no please wakiua madhara watakayopata hawatakuja kusahau maishani sababu Tanzania hatuji watetea hata mara moja Palestina na tutaomba maandamano mengine ubalozi wa Palestina ufungwe nchini sababu wauaji waliowaua ni wapalestina waliomo nchini mwao

Tutataka wafunge virago kama serikali yao haiwezi hakikisha usalama wa Watanzania kwao waondoke nchini

Kazi ya serikali ni pamoja na kulinda raia wa nje waliomo nchini kwao
sawa
 
Humu kuna Wabongo wanasapoti harakati za Hamas, lakini uwezi kusikia wakipinga kitendo cha HAMAS kuteka watanzania. Ukiteka Ndugu zetu tayari wewe ni adui kwetu
Uhakika.
 
Vyama vya siasa Tanzania viitishe maandamano kwenda ubalozi wa Palestina uliopo nchin kudai watanzania wenzetu wanaoshikiliwa mateka na Hamas waachwe huru
Nakazia📌
Ingawa ingefaa kusema watanzania waandamane (siyo vyama tu)
 
Back
Top Bottom