Uchaguzi 2020 Vyama vya Upinzani Tanzania ni dhaifu sana! Havina mikakati na watu makini wanaojua siasa!

Uchaguzi 2020 Vyama vya Upinzani Tanzania ni dhaifu sana! Havina mikakati na watu makini wanaojua siasa!

Ukiona mnawajadili sana wapinzani ujue wapo na inaonekana wanawapa tabu sanaaa.Wasingekuwepo msinge wajadili kamwe.
Vyama vya upinzani karibia vyote na hasa CHADEMA havina mikakati na watu makini wanaoweza kuendesha siasa ya kuing'oa CCM madarakani.

Ni vyama ambavyo vimejaa mamluki na wachumia tumbo wanaotafuta umaarufu na kuendesha siasa za mihemuko.

Vyama havina organization na vinaendeshwa siyo kitaasisi na vimetawaliwa na mediocres ambao hawana vision yoyote zaidi ya kulalamika na kutafuta huruma ya jamii ndani na nje ya Nchi.

Vyama hivi havina ubunifu,hata miradi midogo midogo hawana ambayo ingewasaidia kuendesha vyama na kuwafikia wananchi wengi mno hasa wa ngazi ya chini.

Vyama ambavyo havijui vina wanachama wangapi, wako wapi, wanafikiria nini na wanafanya nini haviwezi kupambana na CCM hata kidogo.

Hivi vyama viache kuwapotezea watu muda kwani nje ya mikutano ya hadhara na maandamano havina lolote kabisa.

Vyama hivi sasa vimebaki kuendeshwa kishabiki na kwa hisia kwa kuzingatia jamii iliyoko kwenye mitandao ya kijamii kama Twitter, Instagram, Facebook n.k.

Vimebaki kutegemea mawazo ya akina kigogo2014 kuendesha siasa zao.

Vimeshindwa kutambua kuwa jamii ya wanamitandao hapa Tanzania hawazidi laki 6 kati ya Wapiga kura takribani milioni 20.

Na hawa wanamitandao wengi wao ni wasomi uchwara ambao hawajui umuhimu wa siasa na ndio walio- create hii mentality ya kususia chaguzi na hata ku-discourage watu kujiandikisha kushiriki michakato ya kisiasa!
 
Vyama vya upinzani karibia vyote na hasa CHADEMA havina mikakati na watu makini wanaoweza kuendesha siasa ya kuing'oa CCM madarakani.

Ni vyama ambavyo vimejaa mamluki na wachumia tumbo wanaotafuta umaarufu na kuendesha siasa za mihemuko.

Vyama havina organization na vinaendeshwa siyo kitaasisi na vimetawaliwa na mediocres ambao hawana vision yoyote zaidi ya kulalamika na kutafuta huruma ya jamii ndani na nje ya Nchi.

Vyama hivi havina ubunifu,hata miradi midogo midogo hawana ambayo ingewasaidia kuendesha vyama na kuwafikia wananchi wengi mno hasa wa ngazi ya chini.

Vyama ambavyo havijui vina wanachama wangapi, wako wapi, wanafikiria nini na wanafanya nini haviwezi kupambana na CCM hata kidogo.

Hivi vyama viache kuwapotezea watu muda kwani nje ya mikutano ya hadhara na maandamano havina lolote kabisa.

Vyama hivi sasa vimebaki kuendeshwa kishabiki na kwa hisia kwa kuzingatia jamii iliyoko kwenye mitandao ya kijamii kama Twitter, Instagram, Facebook n.k.

Vimebaki kutegemea mawazo ya akina kigogo2014 kuendesha siasa zao.

Vimeshindwa kutambua kuwa jamii ya wanamitandao hapa Tanzania hawazidi laki 6 kati ya Wapiga kura takribani milioni 20.

Na hawa wanamitandao wengi wao ni wasomi uchwara ambao hawajui umuhimu wa siasa na ndio walio- create hii mentality ya kususia chaguzi na hata ku-discourage watu kujiandikisha kushiriki michakato ya kisiasa!
Hili ni zao sahihi la chama tawala. Mwenyekiti wa kwanza alinukuliwa akisema kwamba upinzani imara utatokana na CCM. Viongozi wa sasa wa upinzani, kwa asimia kubwa, wanatoka CCM. Ukipanda mahindi usitarajie kuvuna mtama.
 
Mkuu umenena vizuri sana. Na ikitokea Bunge likabadili sheria ya kutoa ruzuku kwa vyama, si Chadema wala ACT-Wazalendo, wala CUF kitakachobaki hai. Yaani wamebweteka tu kusubiria ruzuku ya serikali. Halafu wanawahadaa 'wasomi wao uchwara' wa mitandaoni eti watachukua nchi!! Labda wakachukue sungwi porini!!
Mkuu kwa hili CCM pia imo.
 
Kama vyama ni dhaifu uharamia huu ktk uchaguzi ni wa nini?? Tuanzie hapo.
 
Vyama vya upinzani karibia vyote na hasa CHADEMA havina mikakati na watu makini wanaoweza kuendesha siasa ya kuing'oa CCM madarakani.

Ni vyama ambavyo vimejaa mamluki na wachumia tumbo wanaotafuta umaarufu na kuendesha siasa za mihemuko.

Vyama havina organization na vinaendeshwa siyo kitaasisi na vimetawaliwa na mediocres ambao hawana vision yoyote zaidi ya kulalamika na kutafuta huruma ya jamii ndani na nje ya Nchi.

Vyama hivi havina ubunifu,hata miradi midogo midogo hawana ambayo ingewasaidia kuendesha vyama na kuwafikia wananchi wengi mno hasa wa ngazi ya chini.

Vyama ambavyo havijui vina wanachama wangapi, wako wapi, wanafikiria nini na wanafanya nini haviwezi kupambana na CCM hata kidogo.

Hivi vyama viache kuwapotezea watu muda kwani nje ya mikutano ya hadhara na maandamano havina lolote kabisa.

Vyama hivi sasa vimebaki kuendeshwa kishabiki na kwa hisia kwa kuzingatia jamii iliyoko kwenye mitandao ya kijamii kama Twitter, Instagram, Facebook n.k.

Vimebaki kutegemea mawazo ya akina kigogo2014 kuendesha siasa zao.

Vimeshindwa kutambua kuwa jamii ya wanamitandao hapa Tanzania hawazidi laki 6 kati ya Wapiga kura takribani milioni 20.

Na hawa wanamitandao wengi wao ni wasomi uchwara ambao hawajui umuhimu wa siasa na ndio walio- create hii mentality ya kususia chaguzi na hata ku-discourage watu kujiandikisha kushiriki michakato ya kisiasa!

Wasukuma mna matatizo kweli kweli kwakuwa mkuu ni kabila yenu ni kusifia sifia tuu. CCM ndiyo ina udhaifu mkubwa ni chama kinachoongozwa na watu waoga na ndiyo maana hakuna maendeleo. Utaibaje na kudhulumu haki kipumbavu namna hiyo huku una chama makini.

Una jeshi la polisi una tume ya uchaguzi tena umenunua madege unajenga madaraja unaunganisha mabarabara nchi nzima ni mpumbavu tu atakaye sema chadema haina watendaji makini.

Ushamba wenu sasa unaenda mbali zaidi mpk kwenye siasa. Ushamba wa madaraka sasa tunauona mnaogopa nini
 
Kweli. Lakini CCM ina miradi. Inaweza ikajiendesha kwa kutumia mapato kutoka huko. Vipi Chadema. Hata duka hawana. Wafuasi wao, wamebaki kusifia mali binafsi za Mwenyekiti Mbowe!
 
Mnavizuia vyama hivi kufanya siasa then mnageuka kuvilaani kwamba ni dhaifu- angalieni msije ukajilaani ninyi wenyewe!! hivi vyama vipo kwenye KATIBA na SHERIA za nchi - mnavyofanya nyie CCM si sawa kabisa...mnajilaani bila kujua.
 
Vyama vya upinzani karibia vyote na hasa CHADEMA havina mikakati na watu makini wanaoweza kuendesha siasa ya kuing'oa CCM madarakani.

Ni vyama ambavyo vimejaa mamluki na wachumia tumbo wanaotafuta umaarufu na kuendesha siasa za mihemuko.

Vyama havina organization na vinaendeshwa siyo kitaasisi na vimetawaliwa na mediocres ambao hawana vision yoyote zaidi ya kulalamika na kutafuta huruma ya jamii ndani na nje ya Nchi.

Vyama hivi havina ubunifu,hata miradi midogo midogo hawana ambayo ingewasaidia kuendesha vyama na kuwafikia wananchi wengi mno hasa wa ngazi ya chini.

Vyama ambavyo havijui vina wanachama wangapi, wako wapi, wanafikiria nini na wanafanya nini haviwezi kupambana na CCM hata kidogo.

Hivi vyama viache kuwapotezea watu muda kwani nje ya mikutano ya hadhara na maandamano havina lolote kabisa.

Vyama hivi sasa vimebaki kuendeshwa kishabiki na kwa hisia kwa kuzingatia jamii iliyoko kwenye mitandao ya kijamii kama Twitter, Instagram, Facebook n.k.

Vimebaki kutegemea mawazo ya akina kigogo2014 kuendesha siasa zao.

Vimeshindwa kutambua kuwa jamii ya wanamitandao hapa Tanzania hawazidi laki 6 kati ya Wapiga kura takribani milioni 20.

Na hawa wanamitandao wengi wao ni wasomi uchwara ambao hawajui umuhimu wa siasa na ndio walio- create hii mentality ya kususia chaguzi na hata ku-discourage watu kujiandikisha kushiriki michakato ya kisiasa!
Kwa mazingira ya sasa ulitaka waingie msituni? Mkishavimbiwa viporo vyenu na kulewa mataputapu mnajitungia tu tungo zenu za kipumbavu.
 
Mkuu umenena vizuri sana. Na ikitokea Bunge likabadili sheria ya kutoa ruzuku kwa vyama, si Chadema wala ACT-Wazalendo, wala CUF kitakachobaki hai. Yaani wamebweteka tu kusubiria ruzuku ya serikali. Halafu wanawahadaa 'wasomi wao uchwara' wa mitandaoni eti watachukua nchi!! Labda wakachukue sungwi porini!!
Mazwazwa mnapongezana kwa mashuduu haya
 
Vyama vya upinzani karibia vyote na hasa CHADEMA havina mikakati na watu makini wanaoweza kuendesha siasa ya kuing'oa CCM madarakani.

Ni vyama ambavyo vimejaa mamluki na wachumia tumbo wanaotafuta umaarufu na kuendesha siasa za mihemuko.

Vyama havina organization na vinaendeshwa siyo kitaasisi na vimetawaliwa na mediocres ambao hawana vision yoyote zaidi ya kulalamika na kutafuta huruma ya jamii ndani na nje ya Nchi.

Vyama hivi havina ubunifu,hata miradi midogo midogo hawana ambayo ingewasaidia kuendesha vyama na kuwafikia wananchi wengi mno hasa wa ngazi ya chini.

Vyama ambavyo havijui vina wanachama wangapi, wako wapi, wanafikiria nini na wanafanya nini haviwezi kupambana na CCM hata kidogo.

Hivi vyama viache kuwapotezea watu muda kwani nje ya mikutano ya hadhara na maandamano havina lolote kabisa.

Vyama hivi sasa vimebaki kuendeshwa kishabiki na kwa hisia kwa kuzingatia jamii iliyoko kwenye mitandao ya kijamii kama Twitter, Instagram, Facebook n.k.

Vimebaki kutegemea mawazo ya akina kigogo2014 kuendesha siasa zao.

Vimeshindwa kutambua kuwa jamii ya wanamitandao hapa Tanzania hawazidi laki 6 kati ya Wapiga kura takribani milioni 20.

Na hawa wanamitandao wengi wao ni wasomi uchwara ambao hawajui umuhimu wa siasa na ndio walio- create hii mentality ya kususia chaguzi na hata ku-discourage watu kujiandikisha kushiriki michakato ya kisiasa!
Binafsi kwa mtazamo wangu hoja zako zina uwalakini kwa sababu zifuatazo;

1. Kama wapinzani wangelikuwa hawana uzito wowote linganifu na ccm kiushindani basi wasingelikuwa na kulazimisha wabebwe na mamlaka za chaguzi

2. Miaka mingi sasa ccm wamekuwa wakishinda katika chaguzi zilizojaa bias nyingi zinazowapendelea.

Mf. Angalia uchaguzi nyingi hasa miji ambayo upinzani umekuwa ukishinda matokeo hayajawahi kutangazwa kwa amani mpaka damu imwagwe na mamlaka za serikali dhalimu ya ccm
Rejea Arusha
Mwanza
Sehemu za Dar na
Mbeya
 
Vyama vya upinzani karibia vyote na hasa CHADEMA havina mikakati na watu makini wanaoweza kuendesha siasa ya kuing'oa CCM madarakani.

Ni vyama ambavyo vimejaa mamluki na wachumia tumbo wanaotafuta umaarufu na kuendesha siasa za mihemuko.

Vyama havina organization na vinaendeshwa siyo kitaasisi na vimetawaliwa na mediocres ambao hawana vision yoyote zaidi ya kulalamika na kutafuta huruma ya jamii ndani na nje ya Nchi.

Vyama hivi havina ubunifu,hata miradi midogo midogo hawana ambayo ingewasaidia kuendesha vyama na kuwafikia wananchi wengi mno hasa wa ngazi ya chini.

Vyama ambavyo havijui vina wanachama wangapi, wako wapi, wanafikiria nini na wanafanya nini haviwezi kupambana na CCM hata kidogo.

Hivi vyama viache kuwapotezea watu muda kwani nje ya mikutano ya hadhara na maandamano havina lolote kabisa.

Vyama hivi sasa vimebaki kuendeshwa kishabiki na kwa hisia kwa kuzingatia jamii iliyoko kwenye mitandao ya kijamii kama Twitter, Instagram, Facebook n.k.

Vimebaki kutegemea mawazo ya akina kigogo2014 kuendesha siasa zao.

Vimeshindwa kutambua kuwa jamii ya wanamitandao hapa Tanzania hawazidi laki 6 kati ya Wapiga kura takribani milioni 20.

Na hawa wanamitandao wengi wao ni wasomi uchwara ambao hawajui umuhimu wa siasa na ndio walio- create hii mentality ya kususia chaguzi na hata ku-discourage watu kujiandikisha kushiriki michakato ya kisiasa!
Toa ushauri sasa vifanye nini ili vifanye siasa zenye mlengo unaoupenda? , la sivyo inaonyesha hata wewe unalalamika tu.
 
Vyama vya upinzani karibia vyote na hasa CHADEMA havina mikakati na watu makini wanaoweza kuendesha siasa ya kuing'oa CCM madarakani.

Ni vyama ambavyo vimejaa mamluki na wachumia tumbo wanaotafuta umaarufu na kuendesha siasa za mihemuko.

Vyama havina organization na vinaendeshwa siyo kitaasisi na vimetawaliwa na mediocres ambao hawana vision yoyote zaidi ya kulalamika na kutafuta huruma ya jamii ndani na nje ya Nchi.

Vyama hivi havina ubunifu,hata miradi midogo midogo hawana ambayo ingewasaidia kuendesha vyama na kuwafikia wananchi wengi mno hasa wa ngazi ya chini.

Vyama ambavyo havijui vina wanachama wangapi, wako wapi, wanafikiria nini na wanafanya nini haviwezi kupambana na CCM hata kidogo.

Hivi vyama viache kuwapotezea watu muda kwani nje ya mikutano ya hadhara na maandamano havina lolote kabisa.

Vyama hivi sasa vimebaki kuendeshwa kishabiki na kwa hisia kwa kuzingatia jamii iliyoko kwenye mitandao ya kijamii kama Twitter, Instagram, Facebook n.k.

Vimebaki kutegemea mawazo ya akina kigogo2014 kuendesha siasa zao.

Vimeshindwa kutambua kuwa jamii ya wanamitandao hapa Tanzania hawazidi laki 6 kati ya Wapiga kura takribani milioni 20.

Na hawa wanamitandao wengi wao ni wasomi uchwara ambao hawajui umuhimu wa siasa na ndio walio- create hii mentality ya kususia chaguzi na hata ku-discourage watu kujiandikisha kushiriki michakato ya kisiasa!
Hata wewe ni mmoja wapo
 
Mkuu umenena vizuri sana. Na ikitokea Bunge likabadili sheria ya kutoa ruzuku kwa vyama, si Chadema wala ACT-Wazalendo, wala CUF kitakachobaki hai. Yaani wamebweteka tu kusubiria ruzuku ya serikali. Halafu wanawahadaa 'wasomi wao uchwara' wa mitandaoni eti watachukua nchi!! Labda wakachukue sungwi porini!!
Mbali na hoja yako ya msingi lakini Usisahau kuwa mtaji wa vyama ni watu.

Na watu wa vyama vya upinzani ni wale waliochoshwa na siasa kale za chama tawala.

Sasa unapowaza hiyo hoja yako pia jiulize ni watu wangapi wanaochoshwa na siasa kale za chama tawala kila siku maana hata viongozi wenu wastaafu baadhi yao wako wapi?

Washachoka, wanaobaki kwa sasa ni ccm maslahi, wakiguswa wanahama.
 
Umesema vyama vyote lakini ukakazia hasa CHADEMA ndio hakina mikakati kabisa ukilinganisha na vyama vingine vyote kama UPDP, CUF, UDP, TLP nk. Swali langu ni hili, ilikuwaje mlileta madiwani hadi wa Comoro kuja kuchagua Meya wa DSM na bado mka angukia pua kama CDM inapitwa na SAU kimikakati? Sawa tumekuelewa kwamba bila kutaja CHADEMA post yako haulipwi Lumumba. Nyambafu wewe ulitungwa mimba siku ya mbio za mwenge.


!
!
Subiri Kwanza Mkuu Na Samahani, Umesema je Kuhusu Mimba? Kwamba Jamaa Alipatikana Katika Mkesha Wa Mwenge! 🙌 😂 😂 😂 😂 😂
 
Back
Top Bottom