Vyama vya Upinzani toeni kauli juu ya tozo hizi

Vyama vya Upinzani toeni kauli juu ya tozo hizi

mavya

Member
Joined
Dec 24, 2021
Posts
31
Reaction score
58
Kwa sasa Taifa la Tanzania linapitia wakati mgumu sana, kila kona mjadala ni Tozo.

Mpaka mda huu hakuna chama chochote ambacho kimeita media kwa ajili kukemea unyanganyi huu unaofanywa na mama Mwakatozo akishirikiana na Baba Mwakatozo. Na isitoshe haya matozo yako Bara tu Visiwani hakuna haya Matozo.

Niwaombe upinzani toeni kauli la kukemea unyanganyi huu unaofanywa na Serikali ya na waziri wake Mwigulu. 2025 tuko nyuma yenu mpaka sasa tumetambua umuhimu wenu bungeni.
 
Kwa sasa Taifa la Tanzania linapitia wakati mgumu sana, kila kona mjadala ni Tozo, TOZO, TOZO. Mpaka mda huu hakuna...
Pole sana kama unategemea kutetewa na vyama vya Siasa, wao wenyewe kufanya mikutano ya hadhara wanaogopa wanasubili mpaka waruhusiwe.

Watanzania tuache umbulula tuamke Sasa tupambanie haki zetu na siyo kutegemea vyama.
 
Ni kweli ukimuamini sana mwanasiasa ipo siku tutap8gwa za uso mchana kweupe. Wananchi tuamue sasa.
 
Mimi nacheka kama mazuri kumbe naumia pia, leo tunaomba wapinzani watuteee/kutusemea, hawa jamaa wamesema miaka zaidi ya 20 kwamba CCM haifai, imechoka kuongoza hatujawahi kuwaelewa japo tunawasikia, nafikiri waendelee kunyamaza ili tuminywe vizuri labda akili zitakaa sawa, tutajua thamani ya kura, kanga na kofia.
 
Nani kakwambia kua wanaweza kuja hadharani na kukemea Tozo? Labda Shibuda nawale wenzake wasio na uwakilishi mjengoni.

Hao waliobaki niwanufaika wa hizo Tozo kwa njia ya Ruzuku.
 
Tuanze tu , haiwezekani watuibie hela yetu kwa nguvu.
 
Kwa sasa Taifa la Tanzania linapitia wakati mgumu sana, kila kona mjadala ni Tozo...
... wanapovamiwa, kuumizwa, kutekwa, kushtakiwa, na hata kudhalilishwa na vyombo vya dola mara ngapi ulishapaza sauti kuwatetea?

Saa hizi umeumizwa na tozo ndio unataka wakutete? Waache wapinzani wapumzike maana watanzania hawana akili.
 
Wapinzani kaeni kimya mpaka hawa nyumbu akili ziwa kae sawa,maana wakitoka kusema jambo wanaitwa pinga pinga na wasio taka maendeleo.

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Uko sahihi! Viongozi wa dini ni zamu yao sasa kusimama kuwatetea watanzania maana mara zote hupenda kuwadhihaki wapinzani pale wanaposimama kutetea wananchi hata kwa mambo yaliyo wazi kabisa. Zitto, Mbowe, Mnyika, Lissu, n.k. zamu yenu kukaa kimya maana mnaowatetea hawajielewi.
 
Kwa sasa Taifa la Tanzania linapitia wakati mgumu sana, kila kona mjadala ni Tozo.

Mpaka mda huu hakuna chama chochote ambacho kimeita media kwa ajili kukemea unyanganyi huu unaofanywa na mama Mwakatozo akishirikiana na Baba Mwakatozo. Na isitoshe haya matozo yako Bara tu Visiwani hakuna haya Matozo.

Niwaombe upinzani toeni kauli la kukemea unyanganyi huu unaofanywa na Serikali ya na waziri wake Mwigulu. 2025 tuko nyuma yenu mpaka sasa tumetambua umuhimu wenu bungeni.
Acha uzandiki mkuu, wakati wapinzani wanasema ccm na mwendakuzimu hawafai wewe uliwahi kutoa bandiko lolote? Nyie ni sukuma gang tu
 
Mimi nacheka kama mazuri kumbe naumia pia, leo tunaomba wapinzani watuteee/kutusemea, hawa jamaa wamesema miaka zaidi ya 20 kwamba CCM haifai, imechoka kuongoza hatujawahi kuwaelewa japo tunawasikia, nafikiri waendelee kunyamaza ili tuminywe vizuri labda akili zitakaa sawa, tutajua thamani ya kura, kanga na kofia.
... ukiona gharama za mamisafara ya viongozi; maisha ya anasa wanyoishi; ndipo utagundua ccm ni zaidi ya mashetani.
 
Wapinzani kaeni kimya mpaka hawa nyumbu akili ziwa kae sawa,maana wakitoka kusema jambo wanaitwa pinga pinga na wasio taka maendeleo.

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Uko sahihi mkuu wakina lissu wamewatetea sana watanzania wapumbavu mpaka wakapigwa risasi kina mbowe wamewatetea sana watanzania majuha mpaka wamefilisiwa na kuharibiwa mali sasa kaeni kimya hawa wapuuzi watanzania wakielewa umuhimu wenu watajifunza ya frenchi revolution.
 
Unamtegemea mwanasiasa akutete
Sahau hiyo

Ova
 
Tunapopinga tozo tuje na njia mbadala wa kuongeza mapato ya serikali! Hii ni kwa sababu serikali ina mipango mingi ya maendeleo kwa sasa na yote ni ya muhimu.

Labda tuishauri serikali iangalie kama kuna miradi ambayo inaweza kusubiri kidogo maana hili pigo sio la kawaida.

Wananchi tuna njaa kali ukiweka tena tozo ni kunyemelea kifo moja kwa moja.
 
Tanzania kuna upunzani au ni takataka tu!!!??
 
Back
Top Bottom