Vyama vya Upinzani toeni kauli juu ya tozo hizi

Vyama vya Upinzani toeni kauli juu ya tozo hizi

Acha uzandiki mkuu, wakati wapinzani wanasema ccm na mwendakuzimu hawafai wewe uliwahi kutoa bandiko lolote? Nyie ni sukuma gang tu
Kwa sasa hakuna chama cha upinzani Tz , mimi mwenyewe nina plan kurudisha kadi yao huko UFIPA .
 
Tunapopinga tozo tuje na njia mbadala wa kuongeza mapato ya serikali! Hii ni kwa sababu serikali ina mipango mingi ya maendeleo kwa sasa na yote ni ya muhimu. Labda tuishauri serikali iangalie kama kuna miradi ambayo inaweza kusubiri kidogo maana hili pigo sio la kawaida. Wananchi tuna njaa kali ukiweka tena tozo ni kunyemelea kifo moja kwa moja.

Tumesema matumizi ya VX/R kwa viongozi yawe marufuku, walioko kwenye miji mikubwa yenye barabara nzuri watumie Noah, Escudo nk, walioko kwenye miundombinu korofi mkonge inatosha. Hili lianze sasa, na msafara wa rais usijae wapambe bila sababu ya msingi. Hakuna sitting allowance kwa mbunge asiyetaka aache ubunge.
 
Hakuna haja ya kujiita wapinzani, kama ni moja kati ya waoiangusha hii nchi

Magufuli aliwaita wapigania tumbo
Hakuna chama kinachobeba agenda nzito yenye kubeba matarajio wananchi walio wengi , Taifa halinufaiki na Rasilimali zake pamoja na wananchi wenywewe......
 
Kwa sasa Taifa la Tanzania linapitia wakati mgumu sana, kila kona mjadala ni Tozo.

Mpaka mda huu hakuna chama chochote ambacho kimeita media kwa ajili kukemea unyanganyi huu unaofanywa...
Kumtetea mtanzania ni kupoteza muda.
 
Unasubiri wanasiasa wakusaidie kuamua keshonl yako aisee mbona mnatuchelewesha sana
 
Tanzania hakuna vyama vya upinzani,kuna vikundi vya kimaslahi tu ndio maana viongozi wake ni walewale tu
 
Tunapopinga tozo tuje na njia mbadala wa kuongeza mapato ya serikali! Hii ni kwa sababu serikali ina mipango mingi ya maendeleo kwa sasa na yote ni ya muhimu. Labda tuishauri serikali iangalie kama kuna miradi ambayo inaweza kusubiri kidogo maana hili pigo sio la kawaida. Wananchi tuna njaa kali ukiweka tena tozo ni kunyemelea kifo moja kwa moja.
Magari ya Kifahari ya nn?? Msafara wa magari ya Kifahari eti kumsindikiza naibu spika ya kazi gani?? Sitaki kuandika mengi kwani unayafahamu.
 
hao viongozi wa upinzani washarushiwa 'asali' kiduchu nao wanalamba
wewe utajijua mwenyewe
 
Basi kama ni hivyo wafute hicho chama ,
Kwa sababu unataka upewe serikali ili umetetee nani?

Hii inaonyesha nyie ni watetea tumbo
Unalalamika nini wakati CCM tayari inakutetea wewe dhidi ya tozo, kula bata kijana.
 
... ukiona gharama za mamisafara ya viongozi; maisha ya anasa wanyoishi; ndipo utagundua ccm ni zaidi ya mashetani.
Boss nilikuwa Iringa juzi, nimesimama petrol station kwenye mgahawa wa ASAS kama unapajua iringa, msafara wa Mheshimiwa ulikuwa unapita kila mtu anasikitika kivyake, ule msafara ni balaaaaaa.
 
Unalalamika nini wakati CCM tayari inakutetea wewe dhidi ya tozo, kula bata kijana.
Nacho lalamika ni Chadema kujiita Chama Cha Upinzani

Cha pili mimi siko Tanzania, tozo inahusiana nini na mimi.
 
Wakishasema itakusaidia nini? Mbana na maisha yako mzee,wakisema muandamane hamtaki,mnataka wawasemee kwenye tozo? Acha zije tu.
 
Basi kama ni hivyo wafute hicho chama ,
Kwa sababu unataka upewe serikali ili umetetee nani?

Hii inaonyesha nyie ni watetea tumbo
CCM tayari inakutetea bado unataka na cha kingine kishirikiane na CCM kukutetea! Ridhika na mtetezi mmoja.
 
CCM tayari inakutetea bado unataka na cha kingine kishirikiane na CCM kukutetea! Ridhika na mtetezi mmoja.
Ok, Wapambania tumbo,

Kumbe makelele yote yale yalikuwa ya njaa
Njaa mbaya sana
 
Vyama vya upinzani nyamazeni hivyo hivyo, maana mara zote mlipotoa kauli wananchi walijifanya mazuzu Sasa acheni watunyooshe.
 
Back
Top Bottom