Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Video hii ni mpango wa Mungu mwenyewe kuitumia ili kuwafundishia waandishi na wamiliki wa Vyombo vya Habari wenye vichwa vigumu kuelewa, endeleeni kuwatenga wengine na kumfagilia mtu mmoja.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mods wasipong'aa na hii post basi "where we dare to talk openly" ndi mpango mzimaVideo hii ni mpango wa Mungu mwenyewe kuitumia ili kuwafundishia waandishi na wamiliki wa vyombo vya habari wenye vichwa vigumu kuelewa
Mipaka ipi? Utawala wa sasa unaweka mipaka mpaka uvunguni mwa MwandishiKila uhuru una mipaka
Kampeni zikianza ndipo atayajua mapungufu yake mengi atafahamu kuwa wananchi hawapendezwi na mbinu zakeAisee..
Watu mnajua kufukunyua, siyo mchezo...
Na Jiwe sijui atajitetea kwa mangapi. Maana akigeuka kushoto anakula mkwaju, ajaribu kugeukia kulia anakula mpini, na akigeuka nyuma anakula nyundo na mbele anakutana na moto wa gesi...!
Mwaka huu ni lazima na ni zamu kuisoma Namba na kuuona upande mwingine wa shilingi...!!
Jiwe aliahidi vingi kipindi cha kampeni aliposhinda kuingia ikulu akageuka na kuwa mkuda wa kutishaVideo hii ni mpango wa Mungu mwenyewe kuitumia ili kuwafundishia waandishi na wamiliki wa vyombo vya habari wenye vichwa vigumu kuelewa
Kwenye kampeni kila kitu huwekwa wazi , Halafu hii video imesambaa dunia nzima.Mods wasipong'aa na hii post basi "where we dare to talk openly" ndi mpango mzima
Baada ya hio onyo, vyombo almost vyote huru vya habari vikaanza kuilamba sirikali viatu ili viendelee ku exist. Waliogoma kama Mwanahalisi na Tanzania Daima wkafungiwa mazima. Kazi ya Hassan Abbas hio.Kwenye kampeni kila kitu huwekwa wazi , Halafu hii video imesambaa dunia nzima.
Utatafuta viclip mpaka utakuwa kibibi!! Hapa Kazk Tu!!Video hii ni mpango wa Mungu mwenyewe kuitumia ili kuwafundishia waandishi na wamiliki wa vyombo vya habari wenye vichwa vigumu kuelewa , endeleeni kuwatenga wengine na kumfagilia mtu mmoja
Atawanyoosha tu!Dah! Huyu mzee sio kabisa
Hotuba za viongozi hazifichiki.Utatafuta viclip mpaka utakuwa kibibi!! Hapa Kazk Tu!!
Sasa mbona unalialia tuuu!!Hotuba za viongozi hazifichiki .
shetani hana rafikiAtawanyoosha tu!
Kampeni zikianza ndipo atayajua mapungufu yake mengi atafahamu kuwa wananchi hawapendezwi na mbinu zake
Kweli ndiyo maana huna rafiki.shetani hana rafiki
Msaliti wa nchi yetu hapati kitu tunawasubiri barabarani si amesema akishindwa atawaingiza barabarani ili mgongwe na bodaboda?Hakika, na iwe hivyo...
Kiboko yake ni Tundu Lissu...
Mpaka dakika hii inaonekana kila mbinu ya kisheria ya kumuengua asigombee imegonga mwamba...
100% uchaguzi huu ni Tundu Lissu vs Magufuli "mwoga" asiyejiamini...