Vyombo vya habari vya Israel: Hamas imechagua mtu hatari zaidi kuongoza harakati hiyo baada ya Haniyeh

Vyombo vya habari vya Israel: Hamas imechagua mtu hatari zaidi kuongoza harakati hiyo baada ya Haniyeh

Malaria 2

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2023
Posts
6,846
Reaction score
10,288
Shirika la Utangazaji la Israel lisema kuwa uteuzi wa Sinwar unashangaza na ni ujumbe kwa Israel kwamba yu hai na kwamba uongozi wa Hamas huko Gaza uko imara, upo na utabaki.

Kwa upande wake, mchambuzi wa masuala ya Mashariki ya Kati wa gazeti la Times of Israel, Avi Iskharov, amesema kuwa harakati ya Hamas imechagua "mtu hatari zaidi kuiongoza," hasa kwa vile Israel inamtambua Sinwar kuwa mhandisi wa Operesheni ya Kimbunga cha Al-Aqsa Oktoba 7 mwaka jana, ambayo ilitoa kipigo kikubwa kwa jeshi la utawala huo, na kuchafua taswira ya idara zake za kijasusi na kiusalama mbele ya walimwengu.

Kwa upande wake televisheni rasmi ya Israel, Kan, imesema kuwa uteuzi wa Sinwar kushika nafasi ya Ismail Haniyeh unaonyesha kuwa Hamas bado ina nguvu na ni imara huko Gaza.

Kwa upande wake televisheni rasmi ya Israel, Kan, imesema kuwa uteuzi wa Sinwar kushika nafasi ya Ismail Haniyeh unaonyesha kuwa Hamas bado ina nguvu na ni imara huko Gaza.

1723058609779.jpeg


Yahya Sinwar aliachiwa huru pamoja na Wapalestina wengine 1,000 mwaka 2011, katika mabadilishano baina ya mateka wa Kipalestina na wanajeshi wa Israel, baada ya kuwa gerezani kwa miaka 22.


Baada ya kutoka gerezani, Sinwar alichaguliwa kuwa mjumbe wa Ofisi ya Kisiasa ya Hamas wakati wa uchaguzi wa ndani wa harakati hiyo mwaka 2012. Pia alichukua uongozi la tawi la kijeshi la Hamas, Brigedi za Izzuddin al-Qassam na kupewa jukumu la kuratibu kati ya Ofisi ya Kisiasa ya harakati hiyo na uongozi tawi lake la kijeshi.

1723058755262.jpeg
 
Shirika la Utangazaji la Israel lisema kuwa uteuzi wa Sinwar unashangaza na ni ujumbe kwa Israel kwamba yu hai na kwamba uongozi wa Hamas huko Gaza uko imara, upo na utabaki.


Kwa upande wake, mchambuzi wa masuala ya Mashariki ya Kati wa gazeti la Times of Israel, Avi Iskharov, amesema kuwa harakati ya Hamas imechagua "mtu hatari zaidi kuiongoza," hasa kwa vile Israel inamtambua Sinwar kuwa mhandisi wa Operesheni ya Kimbunga cha Al-Aqsa Oktoba 7 mwaka jana, ambayo ilitoa kipigo kikubwa kwa jeshi la utawala huo, na kuchafua taswira ya idara zake za kijasusi na kiusalama mbele ya walimwengu.
Kwa upande wake televisheni rasmi ya Israel, Kan, imesema kuwa uteuzi wa Sinwar kushika nafasi ya Ismail Haniyeh unaonyesha kuwa Hamas bado ina nguvu na ni imara huko Gaza.
Kwa upande wake televisheni rasmi ya Israel, Kan, imesema kuwa uteuzi wa Sinwar kushika nafasi ya Ismail Haniyeh unaonyesha kuwa Hamas bado ina nguvu na ni imara huko Gaza.

View attachment 3064142

Yahya Sinwar aliachiwa huru pamoja na Wapalestina wengine 1,000 mwaka 2011, katika mabadilishano baina ya mateka wa Kipalestina na wanajeshi wa Israel, baada ya kuwa gerezani kwa miaka 22.


Baada ya kutoka gerezani, Sinwar alichaguliwa kuwa mjumbe wa Ofisi ya Kisiasa ya Hamas wakati wa uchaguzi wa ndani wa harakati hiyo mwaka 2012. Pia alichukua uongozi la tawi la kijeshi la Hamas, Brigedi za Izzuddin al-Qassam na kupewa jukumu la kuratibu kati ya Ofisi ya Kisiasa ya harakati hiyo na uongozi tawi lake la kijeshi.

View attachment 3064144
Hiyo imeumiza mazayuni.

Wameshatangaza kumuuwa zaidi ya mara tatu, mara moja juzi juzi tu.
 
Shirika la Utangazaji la Israel lisema kuwa uteuzi wa Sinwar unashangaza na ni ujumbe kwa Israel kwamba yu hai na kwamba uongozi wa Hamas huko Gaza uko imara, upo na utabaki.


Kwa upande wake, mchambuzi wa masuala ya Mashariki ya Kati wa gazeti la Times of Israel, Avi Iskharov, amesema kuwa harakati ya Hamas imechagua "mtu hatari zaidi kuiongoza," hasa kwa vile Israel inamtambua Sinwar kuwa mhandisi wa Operesheni ya Kimbunga cha Al-Aqsa Oktoba 7 mwaka jana, ambayo ilitoa kipigo kikubwa kwa jeshi la utawala huo, na kuchafua taswira ya idara zake za kijasusi na kiusalama mbele ya walimwengu.
Kwa upande wake televisheni rasmi ya Israel, Kan, imesema kuwa uteuzi wa Sinwar kushika nafasi ya Ismail Haniyeh unaonyesha kuwa Hamas bado ina nguvu na ni imara huko Gaza.
Kwa upande wake televisheni rasmi ya Israel, Kan, imesema kuwa uteuzi wa Sinwar kushika nafasi ya Ismail Haniyeh unaonyesha kuwa Hamas bado ina nguvu na ni imara huko Gaza.

View attachment 3064142

Yahya Sinwar aliachiwa huru pamoja na Wapalestina wengine 1,000 mwaka 2011, katika mabadilishano baina ya mateka wa Kipalestina na wanajeshi wa Israel, baada ya kuwa gerezani kwa miaka 22.


Baada ya kutoka gerezani, Sinwar alichaguliwa kuwa mjumbe wa Ofisi ya Kisiasa ya Hamas wakati wa uchaguzi wa ndani wa harakati hiyo mwaka 2012. Pia alichukua uongozi la tawi la kijeshi la Hamas, Brigedi za Izzuddin al-Qassam na kupewa jukumu la kuratibu kati ya Ofisi ya Kisiasa ya harakati hiyo na uongozi tawi lake la kijeshi.

View attachment 3064144
Wanawaingiza kingi na nyie mmeingia. Wanataka wamtungue naye
 
Kama waliweza kumuua mkuu wa majeshi Mohammed Deif sembuse huyo Manara wa Gaza?

Kwanza hizi harakati atazifanyia wapi maana anaishi kama digidigi kwenye mashimo Bora Haniyeh alikuwa anazunguka nchi tofauti tofauti kuomba uungwaji mkono
 
Wamwonyeshe tuone hizo ni siasa walivyo na sifa hamas wasingekuwa ameonekana siku zote ,ndivyo ilivyokuwa hata kwa Osama bin laden
Wakuoneshe wewe kama nani si uende ukamuone kama unataka uhakikishe
 
Back
Top Bottom