Vyombo vya habari vya Israel: Hamas imechagua mtu hatari zaidi kuongoza harakati hiyo baada ya Haniyeh

Vyombo vya habari vya Israel: Hamas imechagua mtu hatari zaidi kuongoza harakati hiyo baada ya Haniyeh

Kama waliweza kumuua mkuu wa majeshi Mohammed Deif sembuse huyo Manara wa Gaza?

Kwanza hizi harakati atazifanyia wapi maana anaishi kama digidigi kwenye mashimo Bora Haniyeh alikuwa anazunguka nchi tofauti tofauti kuomba uungwaji mkono
kichwa chake kipo kwenye top list toka oct 7th,eti wanasema a dead man walking!Mwezi wa 10 yupo hapo hapo Gaza anaendesha operation,uwezo wa intelligence ya Israel,tulipigwa pakubwa!
 
Hiyo inaitwa bandika bandua kaondoka moto kaja moto mara mbili mazayuni watakoma
 
kichwa chake kipo kwenye top list toka oct 7th,eti wanasema a dead man walking!Mwezi wa 10 yupo hapo hapo Gaza anaendesha operation,uwezo wa intelligence ya Israel,tulipigwa pakubwa!
Neno operation hapo umelitumia vibaya.
 
akiuwawa kamanda sinwar gharama zake ujue lazima migambo na sungusungu wa idf 1000 nao wafe. ukiua kwa upanga utakufa kwa upanga.

kanda maulumu tarime.
Wananchi wa Gaza wao ndio wanamtoa jana niikuwa naona wameitoa Video yake akiwa ndani ya Tunnels muda si mrefu tutasikia habari njema.
 
Mchuma janga hula na wa kwao.

Without doubt, Yajayo yanatisha.

Mayahudi yajiandae
 
Huwa mnanufaika vipi na hizo vita watu wakiuwawa?

Na huyo jamaa naona tena in a span of less than 2 months naye kauwawa!
 
Back
Top Bottom