Nashangaa mpaka leo hujamjua JPM vizuri. Hizo chanjo nakuhakikishia haziletwi bongo maana zinauzwa na Magu hatoi pesa, hata zikiletwa bure zitachomwa Kama zilivyochomwa test kits za Corona pale Temeke hospitali last year. Bado nasisitiza wewe kichwani ni mweupe huna akili.Wacha kujidanganya hapa Tanzania chanjo haiwezi kuepukika na mkubali msukubali lazima itakuja na watu watachanjwa tu,
Hakuna masikini anayeweza kumbishia tajiri tena kwenye jambo la kunusuru maisha ya watu
Wacha kuteseka dogo, chanjo italetwa na watanzania watachanjwa tu,hii nchi ni mali ya watanzania siyo ya muhutu kama weweNashangaa mpaka leo hujamjua JPM vizuri. Hizo chanjo nakuhakikishia haziletwi bongo maana zinauzwa na Magu hatoi pesa, hata zikiletwa bure zitachomwa Kama zilivyochomwa test kits za Corona pale Temeke hospitali last year. Bado nasisitiza wewe kichwani ni mweupe huna akili.
Mlisemaje kuhusu vipimo vya Corona!??.. na kuacha kutoa data za wagonjwa!?, Au umeshasahau mara hii sababu memory yako ndogo!?... Hujui lolote, hiyo chanjo hata Uk, EU na USA na duniani kote sio lazima. Halazimishwi mwananchi yeyote ni hiari yake. Wapo wazungu kibao hawaziamini hizo chanjo na video zipo YouTube. Ila wewe endelea kuamini eti zitaletwa kwa lazima, unafikiri zinatolewa bure?, Nchi ngapi Africa zimenunua?.. nakukumbusha mara nyingine tena HUNA AKILI.Wacha kuteseka dogo, chanjo italetwa na watanzania watachanjwa tu,hii nchi ni mali ya watanzania siyo ya muhutu kama wewe
Usisahau na ile ya Madagascar, iliishia kwao, waligawana mpaka le hatujui nani alikunywa na nani hakunywa
Wewe ni mzigo na Ubongo wako haukupi Uhuru kufanya unachotaka, komamanga wewe!Wewe ndiye mpumbavu unaye danganywa kuiita rangi nyeupe kuwa ni nyeusi,wacha kuwa mtumwa wa wanasiasa
HatupangiwiNa misaada yao msiende kuwaomba
Nakukumbusha wewe mkimbizi kutoka Burundi, hiyo chanjo italetwa hapa nchini na ndugu zetu wasiyo na uwezo wa kwenda nje kupata hiyo chanjo watapatiwa chanjo na nyinyi kina kibwetere mtaishia kusononeka.Mlisemaje kuhusu vipimo vya Corona!??.. na kuacha kutoa data za wagonjwa!?, Au umeshasahau mara hii sababu memory yako ndogo!?... Hujui lolote, hiyo chanjo hata Uk, EU na USA na duniani kote sio lazima. Halazimishwi mwananchi yeyote ni hiari yake. Wapo wazungu kibao hawaziamini hizo chanjo na video zipo YouTube. Ila wewe endelea kuamini eti zitaletwa kwa lazima, unafikiri zinatolewa bure?, Nchi ngapi Africa zimenunua?.. nakukumbusha mara nyingine tena HUNA AKILI.
Chadema naona hiyo mimba iliyo kupachika lazima ujifungue mapachaChadema kilikuwa Chama moja makini Sana! Ila Kwa sasa kimebadirika na kuwa watu wa hovyo Sana, watu wasioupenda Uhuru wetu, watu wasiopenda vya kwetu, watu wanaoabudu wathungu na kutukuza vyao
Vijana wa Chadema mnakwama wapi kudharau tiba zetu na kutukuza vya kigeni ambavyo hata hivyo havitibu Wala kuwakinga wazungu wasiambukizwe tena?
Tuliza mshono wako ili kidonda kiponeMlisemaje kuhusu vipimo vya Corona!??.. na kuacha kutoa data za wagonjwa!?, Au umeshasahau mara hii sababu memory yako ndogo!?... Hujui lolote, hiyo chanjo hata Uk, EU na USA na duniani kote sio lazima. Halazimishwi mwananchi yeyote ni hiari yake. Wapo wazungu kibao hawaziamini hizo chanjo na video zipo YouTube. Ila wewe endelea kuamini eti zitaletwa kwa lazima, unafikiri zinatolewa bure?, Nchi ngapi Africa zimenunua?.. nakukumbusha mara nyingine tena HUNA AKILI.
Sana!!Aibu kubwa sana
Kwani hukusikia kuhusu maskini Jeuri?Masikini hana jeuri
Wabunge na viongozi wangapi wa CCM wana UKIMWI ikiwemo Ndugai na wanaishi kwa ARVs toka kwao??? Unakataa dawa ya COVID 19 ila ARV sawa???? Kataeni na ARVS TuoneHivyo vyombo tumieni hapo ufipani. Sisi tulianza na nyungu, na tutaendeleza nyunguu
Wewe ndio hujaelewa kwa maana nyingine chanjo inafanya kazi. Kupata chanjo sio kwamba hupati corona ni kwamba utapata corona ila hautaumwa inakuwa kama mafua kawaida tu. Ingekuwa hawa wamepata chanjo halafu wakaumwa hapo ndio tatizo. kwa maana hii chanjo inafanya kazi. sasa kwanini wanajitenga? ni kwa sababu watu wengi hawajapata chanjo anaweza kuwapa corona wakaumwa. kwa hii chanjo iko fine. UK wamesema mpaka mwisho wa mwezi wa 2 watakuwa wamewapa chanjo watu wengi kipimo itakuwa wakiona wagonjwa wanapungua kulazwa ni mafaniko ila sio chanjo kutopata corona.Wazungu wameshaanza kukutwa na Corona hata baada ya kupigwa chanjo mbili mbili huko USA, tena ni wakubwa. Jiulize huko mtaani wapo wangapi ambao hawajaripotiwa. Hizo chanjo ni miradi ya watu. Enyi BAVICHA amkeni usingizini.View attachment 1692371View attachment 1692372
Massachusetts Democratic congressman, vaccinated for Covid-19, tests positive for virus
Democratic Rep. Stephen Lynch of Massachusetts, who has been vaccinated for Covid-19, tested positive for the virus on Friday afternoon and remains asymptomatic, according to his spokeswoman.www.google.com
Soma hizo link halafu mpunguze utumwa wa akili na UPUMBAVU vichwani mwenu.
Kama kawaida yako nilijua utaishiwa majibu ya maana. Uzuri umeshajijua kuwa mweupe kichwani.Tuliza mshono wako ili kidonda kipone