NALIA NGWENA
JF-Expert Member
- Oct 6, 2016
- 10,587
- 13,425
Naandika kama mzalendo na mwenye upendo wa dhati na taifa langu Tanzania.
kuna mazunumzo niliyasikia yanayohusu Teknolojia kutoka kwa watu nisiowafahamu maana nilikutana nao stendi ya basi wote tukiwa kama wasafiri tu wao walikua wawili walikua wakipiga story za hapa na pale kutokana na mazungumzo yao inaonekana wao ni madereva na wanamiliki vyombo vya usafiri
''kiongozi sahivi kuna app (software) inayozuia tochi za traffic yaani hiyo mkuu ukiiwepo nayo kwenye usafiri wako ukiwasha ndinga traffic wakipiga hawawezi kujua kama ulitembea mwndo kasi"
"nitakuunganisha na jamaa anaeiuza hii lakini anafanya siri kweli kweli yaani hii inatusaidia sana madereva tuanopenda kukimbia Road"'
mwisho wa kunukuu na hayo ndiyo yalikua mazungumzo yao maana mimi nilitoka stendi na kudandia gari na kuondoka lakini lilinifikirisha sana hili suala
na kuibuka maswali mengi kichwani mwangu
je jeshi la usalama barabarani wanalijua hili?? na kama hawalijui basi Mzalendo nimefikisha habari hii ifanyiwe uchunguzi wa kina ili kuzuia ajali barabarani
Nawasilisha taarifa
kuna mazunumzo niliyasikia yanayohusu Teknolojia kutoka kwa watu nisiowafahamu maana nilikutana nao stendi ya basi wote tukiwa kama wasafiri tu wao walikua wawili walikua wakipiga story za hapa na pale kutokana na mazungumzo yao inaonekana wao ni madereva na wanamiliki vyombo vya usafiri
''kiongozi sahivi kuna app (software) inayozuia tochi za traffic yaani hiyo mkuu ukiiwepo nayo kwenye usafiri wako ukiwasha ndinga traffic wakipiga hawawezi kujua kama ulitembea mwndo kasi"
"nitakuunganisha na jamaa anaeiuza hii lakini anafanya siri kweli kweli yaani hii inatusaidia sana madereva tuanopenda kukimbia Road"'
mwisho wa kunukuu na hayo ndiyo yalikua mazungumzo yao maana mimi nilitoka stendi na kudandia gari na kuondoka lakini lilinifikirisha sana hili suala
na kuibuka maswali mengi kichwani mwangu
je jeshi la usalama barabarani wanalijua hili?? na kama hawalijui basi Mzalendo nimefikisha habari hii ifanyiwe uchunguzi wa kina ili kuzuia ajali barabarani
Nawasilisha taarifa