DOKEZO Vyombo vya ulinzi na Usalama taarifa hii naomba muichukulie kwa uzito mkubwa

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Kagame aliwahi kuahidi kumpiga Kikwete. Sina hakika kama aliwahi kufuta Kauli hii.

Anyway, Rwanda sio majirani kwa kujisahaulisha sana.
Nilikua Kigali wakati anatoa hiyo hotuba kwa vijana wa chama chake.
I was like""Damn what's wrong with you Uncle""
 
Japo mi siipend ccm, ila kwa hili nakuunga mkono chief. Kwakifup nchi hii nje ya ccm hakuna taasisi yoyote ya kisiasa iliojiandaa kulitawala kwa weled taifa hili.
Vvyama vyooote vya siasa nje ya ccm ni tuvikundi tuu ambati hatuna mbele wa nyuma.
Mkuu CCM tumetoka nayo mbali sana
 
upo sawa mkuu tunaweza kua na maoni tofauti katika hili my point ilikua hii

why waha..?na sio wengine.?
je nikuwafanya wajione ni sehemu ya wanyarwanda?

my views ilikua sehemu za mipaka Kuna muingiliano mkubwa wa nchi mbili lakn kwanini huyu mtu ambae kwa cv zake lazma ni mtu wa usalama pia katika nchi yake kwenda specific kwa waha?

answer was planting more sleeper Agents. why.?

ukijiuliza whats is happening in Congo eneo LA kivu unakuta Kuna watu wanaitwa BANYAMULENGE hawa watu ni raia official wa Congo lakn lugha na tamaduni zao ni za tutsi na mpaka Leo tunaona machafuko ya kila siku eneo la kivu lakn nn sababu?
ni hili kabila LA BANYAMULENGE ambao kiasili ni wanyarwanda lakn waliweza kujipenyeza na kua kabila kubwa pale Congo but now wanatumiwa kwenye vita kwa sababu ndani yao kulikua na sleeper agents wengi ambao walikua wanafanya ujasusi ndani ya nchi nyingine lakn wakitambulika kama Raia wa Congo

so my view was Lengo la hawa watu ni kufanya muingiliano mkubwa ambao utawafanya maybe waha kujiona waRwanda kwa msaada wa sleeper Agents waliowapandikiza kwa muda mrefu

lakn hayo ni maoni tu ndio maana kwenye comment yangu nikaeleza kua vyombo husika wataliona kwa ukubwa wake ila kwangu mimi sioni kama ni threat kwa usalama wetu

nimefika kigoma Mara moja kwanza ni sehemu yenye kamba nyingi za Jeshi kujumlisha zile za mafumzo (malezi)ambazo najua (MI)wanafanya kazi usiku na mchana pia tuna usalama wa nchi wanajua kazi zao lakn MA afisa uhamiaji wapo active sana hasa ukiwa unatoka kigoma Kuja mikoa mingine unaweza kuona mpaka kero ukaguzi uliopo

Ndio maana nikasema hili haliwezi kua threat kwetu
tuna vyombo imara Zaid ya watu wanavyo fikiri
 
Mkuu CCM tumetoka nayo mbali sana
I dont care mmetoka nayo wapi lakin kama taifa, ccm ni a very powerful machine, na ndio maana kuna time nasikitika napoona kama wanakosa plan hiv kwenye succession kwapika vijana wao angalu kuje kuwepo replica za akina Mahiga, akina Salim A Salim, akina kikwete akina mkapa. Na ukiacha hao frontliners, ccm ina behind the scene machinery ambazo hutakaa uwajue ila ndio waa push mambo yanakua yanaenda.

Upinzani tuna la kujifunza hapa.
 
Nimeishi kule ujanani, serikali nzima ni ya Watutsi na nawafaham mpaka wenye ID za Rwanda ila wanaajiriwa serikali ya Uganda. Hata main opposition ilikua Besigye ili hata Museveni akidondoka cheo kibaki western Uganda.
Lakin inafahamika hakuna nchi iliobeba wakimbiz wengi wa kinyarwanda kama Uganda, na wengi walipokelewa na uraia wakapewa ndio maana hata kagamae kiuhalisia ni Raia wa Uganda .. hajakulia Rwanda yule maishabyake yote.labda hii yaweza kuwa sababu kwamba hakkkua na namna lazima wawepo tu serikalin
 
Afrika tuwaze kuungana
Woga na usinambe nyuma vyaturudisha.
 
Waha tuna comment wapi maana Naona mnaanza kutugombani
Hilo jina KOBO-G ni moja kati ya majina ambayo yamechafua Ukuta mkoani kigoma kama ilivyo chata ya WAPHIBA

Je wewe ndio huyo Kobo G (jamaa mmoja mweusi saana muhitimu wa Katubuka secondary)
 
Waha wenyewe wanasemajee?
Waha sasa wanagombewa kama mpira wa kona? ...mbona miaka yote wanaambiwa na maafisa uhamiaji kuwa ni warundi? ....
Kauli za kunyanyapaa raia hasa wa Kigoma, matokeo yake ndio haya ya wajanja kuitumia fursa!.

Waha ni moja kati ya makabila 120 ya Tanzania. wana eneo lao, utamaduni na mila zao. Hata kama lugha ya kiha inafanana na Kirundi au Kinyarwanda haiwezi kuwa sababu ya kuwabatiza waha urundi au unyarwanda.
 
Hilo jina KOBO-G ni moja kati ya majina ambayo yamechafua Ukuta mkoani kigoma kama ilivyo chata ya WAPHIBA

Je wewe ndio huyo Kobo G (jamaa mmoja mweusi saana muhitimu wa Katubuka secondary)
😃😃da we jamaa umesoma cuba
 
Wabongo tunapenda Sana kujifariji laiti tungejua,hao miamb wanawatu wao Hadi wa kufoji vyeti na kuingizwa jeshini rasmi

Siibez nchi yangu,ila hakuna muda wa kua makini hivi sasa na baadae
Na walishaingiaaaa

Acha wabongo waendelee kukatika

Miziki ehh selemani ehh na wakina zuchu

Ova
 


Shughulika na changamoto zako za Uchumi, itakusaidia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…