Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaani amekuja wakati mbaya sana. Namuhurumia sana TL
Naona kwenye barua yao hata jina hawataki kumtaja ila nawaomba CDM tu watumie busara akapokelewe na familia yake aende zake kwake tukutane kwenye kampeni
Na kama akikamatwa taarifa zitajulikana tu ila sio waende wakajazane pale halafu Polis watapata upenyo wa kufanya watakvyo
Kila anayekuwa "flagged" kunakuwa na potential cause iliyoraise hiyo alarm. My point is Uhamiaji hawawezi kumuhoji Karumanzila madhumuni ya safari yake kurudi Tanzania. Kama ameshakuwa flagged, watamuhoji vitu vingine concerned na related suspicions.Unaelewaje ikisemwa mtu fulani yuko "flagged"?
Swali zuri sana ndugu yangu, but umeliuliza rhetorically, je we unafikiri ni kwa nini basi? kama shule na wewe pia unayo na ni mchambuzi huru... nimesoma humu ndani kwenye moja ya articles unauliza shuleni watu wanaenda kufanya nini... nami nikuukize utupe maoni yako kuhusu swali la Mbwa na Chatu kama ulionavyo....Sijui ni kwanini Siku zote Mbwa hupenda sana Kujipeleka kwa Nyoka aina ya Chatu ili akamezwe na Kuuwawa nae hata kama ukijitahidi Kumzuia.
Swali zuri sana ndugu yangu, but umeliuliza rhetorically, je we unafikiri ni kwa nini basi? kama shule na wewe pia unayo na ni mchambuzi huru... nimesoma humu ndani kwenye moja ya articles unauliza shuleni watu wanaenda kufanya nini... nami nikuukize utupe maoni yako kuhusu swali la Mbwa na Chatu kama ulionavyo....
Bila mbwa hata chatu atakosa kazi ya kufanya.Sijui ni kwanini Siku zote Mbwa hupenda sana Kujipeleka kwa Nyoka aina ya Chatu ili akamezwe na Kuuwawa nae hata kama ukijitahidi Kumzuia.
Tundu Lissu ameripotiwa kuwa ameaga rasmi huko Ubelgiji na ataunganisha ndege jijini Dubai kabla ya kutua JNIA.
Maofisa wa Uhamiaji pamoja na wale wa Usalama (wapya) waliopo JNIA wapo wanaendelea na shughuli zao.
Kuna mawili matatu hivi kutoka kwa maofisa uhamiaji na usalama.
1. Mgeni huyu (Tundu Lissu anatumia pasi ipi ya kusafiria)
Hivyo utaratibu wa kumpokea Tundu Lissu waweza kuchukua muda mrefu.
Kitakachopatikana kwenye mahojiano ndicho kitakachoelekeza hatua zitakazofuata.
2. Angalia madhumuni ya safari na sababu za kurudi.
3. Afisa uhamiaji kuridhika na majibu kulingana na sheria ya uhamiaji na kama kuna "ya ziada"
4. Idhinisha kuingia kwa kugonga muhuri wa kuingia au toa muda maalum ikiwa ni pasi ya kigeni.
5. Kama ni Tundu Lissu zuia "self check- in" na muongoze chumba cha mahojiano.
Hizi ni za hapa na pale.
JNIA imebadilika sana kuna watu wapya na wengi mno ambao wanahakikisha usalama wa uwanja, udhibiti wa kitokacho na kiingiacho na mazagazaga mengine.
Kuna kijana wa Nigeria alishindwa kueleza kwa ufasaha amepataje pasi ya kusafiria ya kitanzania ilhali hafahamu lugha ya kiswahili.
Wakamchukua kuingia kwenye vyumba vyao maalum kwa mahojiano maalum.
Msinitupie mawe mazee haya nimeyapata na mengine kuyaona hapo JNIA nilipotua mchana leo.
GENTAMYCINE,hivi jana ulilala upande gani wa kitanda na umeamukia upande gani ndugu yangu? si angalu tu ujibu hilo swali mwenyewe au unataka kuwapa Moderators kazi ya ziada... wewe ni mtu ambaye huwa nasoma sana post zako humu, ila na leo ulitoa maneno makali sana kwa member mmoja aliyekuita Gent badala ya GENTAMYCINE. Si siku yako kwa kweli. ni swali hilo hilo umeshikilia...Sijui ni kwanini Siku zote Mbwa hupenda sana Kujipeleka kwa Nyoka aina ya Chatu ili akamezwe na Kuuwawa nae hata kama ukijitahidi Kumzuia.
Kama hana nguvu tena huu upuuzi mnaondelea nao kupost threads zinazomhusu yeye ni wa nini? Tundu Lissu ameshakutieni dole nguruwe wa Lumumba mnajamba jamba tu malaya wabovu nyie.Tundu Lisu hana nguvu tena
Aliyekuambia Lissu ni mgeni nchi hii ni nani? Mods hebu punguzeni hizi mada za kisengerema tumechoka nazo.Tundu Lissu ameripotiwa kuwa ameaga rasmi huko Ubelgiji na ataunganisha ndege jijini Dubai kabla ya kutua JNIA.
Maofisa wa Uhamiaji pamoja na wale wa Usalama (wapya) waliopo JNIA wapo wanaendelea na shughuli zao.
Kuna mawili matatu hivi kutoka kwa maofisa uhamiaji na usalama.
1. Mgeni huyu (Tundu Lissu anatumia pasi ipi ya kusafiria)
Hivyo utaratibu wa kumpokea Tundu Lissu waweza kuchukua muda mrefu.
Kitakachopatikana kwenye mahojiano ndicho kitakachoelekeza hatua zitakazofuata.
2. Angalia madhumuni ya safari na sababu za kurudi.
3. Afisa uhamiaji kuridhika na majibu kulingana na sheria ya uhamiaji na kama kuna "ya ziada"
4. Idhinisha kuingia kwa kugonga muhuri wa kuingia au toa muda maalum ikiwa ni pasi ya kigeni.
5. Kama ni Tundu Lissu zuia "self check- in" na muongoze chumba cha mahojiano.
Hizi ni za hapa na pale.
JNIA imebadilika sana kuna watu wapya na wengi mno ambao wanahakikisha usalama wa uwanja, udhibiti wa kitokacho na kiingiacho na mazagazaga mengine.
Kuna kijana wa Nigeria alishindwa kueleza kwa ufasaha amepataje pasi ya kusafiria ya kitanzania ilhali hafahamu lugha ya kiswahili.
Wakamchukua kuingia kwenye vyumba vyao maalum kwa mahojiano maalum.
Msinitupie mawe mazee haya nimeyapata na mengine kuyaona hapo JNIA nilipotua mchana leo.
Kuna wajinga huku mtaani wanaendelea na vikao na mikutano ya kupiga kura asa CCM huku wakijua tupo kwenye kuomboleza aiseee...
Hivi hawa ikitokea Lisu amekuwa Rais wataweka wapi malio yao?
Unaelewaje ikisemwa mtu fulani yuko "flagged"?
alivyoumbwa anapenda kuminywaminywa bila kujua ndio anakufa hivyoSijui ni kwanini Siku zote Mbwa hupenda sana Kujipeleka kwa Nyoka aina ya Chatu ili akamezwe na Kuuwawa nae hata kama ukijitahidi Kumzuia.
Tundu Lissu is just a normal Tanzania citizen why you're bothering like that?
Hivi hawa ikitokea Lisu amekuwa Rais wataweka wapi malio yao?
Kuna wajinga huku mtaani wanaendelea na vikao na mikutano ya kupiga kura asa CCM huku wakijua tupo kwenye kuomboleza aiseee...
Hivi hii sini laana kwa chama? Kwani wangesogeza mbele kuna tatizo gani