Tetesi: Vyombo vya Usalama vilivyojipanga kumpokea Tundu Lissu

Tetesi: Vyombo vya Usalama vilivyojipanga kumpokea Tundu Lissu

Uhamiaji hawawezi kupoteza muda wao kuangalia "madhumuni ya safari" kwa MTANZANIA anayerudi Nchini. Usipotoshe. Au na Uraia mlishamvua?

Unaelewaje ikisemwa mtu fulani yuko "flagged"?
 
Yaani amekuja wakati mbaya sana. Namuhurumia sana TL

Naona kwenye barua yao hata jina hawataki kumtaja ila nawaomba CDM tu watumie busara akapokelewe na familia yake aende zake kwake tukutane kwenye kampeni
Na kama akikamatwa taarifa zitajulikana tu ila sio waende wakajazane pale halafu Polis watapata upenyo wa kufanya watakvyo

Sijui ni kwanini Siku zote Mbwa hupenda sana Kujipeleka kwa Nyoka aina ya Chatu ili akamezwe na Kuuwawa nae hata kama ukijitahidi Kumzuia.
 
Unaelewaje ikisemwa mtu fulani yuko "flagged"?
Kila anayekuwa "flagged" kunakuwa na potential cause iliyoraise hiyo alarm. My point is Uhamiaji hawawezi kumuhoji Karumanzila madhumuni ya safari yake kurudi Tanzania. Kama ameshakuwa flagged, watamuhoji vitu vingine concerned na related suspicions.
 
Sijui ni kwanini Siku zote Mbwa hupenda sana Kujipeleka kwa Nyoka aina ya Chatu ili akamezwe na Kuuwawa nae hata kama ukijitahidi Kumzuia.
Swali zuri sana ndugu yangu, but umeliuliza rhetorically, je we unafikiri ni kwa nini basi? kama shule na wewe pia unayo na ni mchambuzi huru... nimesoma humu ndani kwenye moja ya articles unauliza shuleni watu wanaenda kufanya nini... nami nikuukize utupe maoni yako kuhusu swali la Mbwa na Chatu kama ulionavyo....
 
Swali zuri sana ndugu yangu, but umeliuliza rhetorically, je we unafikiri ni kwa nini basi? kama shule na wewe pia unayo na ni mchambuzi huru... nimesoma humu ndani kwenye moja ya articles unauliza shuleni watu wanaenda kufanya nini... nami nikuukize utupe maoni yako kuhusu swali la Mbwa na Chatu kama ulionavyo....

Sijui ni kwanini Siku zote Mbwa hupenda sana Kujipeleka kwa Nyoka aina ya Chatu ili akamezwe na Kuuwawa nae hata kama ukijitahidi Kumzuia.
 
Watamzuia tu kama kuna active warrant ya kukamatwa kwake - warrant ya mahakama-
Kama ni police, itabidi wamkamate kwa kosa watakalomuambia amefanya ndani ya mipaka ya Tanzania... maana kwingineko huko, sheria za Tanzania hazina jurisdiction... sheria zetu zinauma tu kwa makosa yaliyofanyika ndani ya mipaka ya Tanzania- nikosoeni kama nimekosea
 
Tundu Lissu ameripotiwa kuwa ameaga rasmi huko Ubelgiji na ataunganisha ndege jijini Dubai kabla ya kutua JNIA.

Maofisa wa Uhamiaji pamoja na wale wa Usalama (wapya) waliopo JNIA wapo wanaendelea na shughuli zao.

Kuna mawili matatu hivi kutoka kwa maofisa uhamiaji na usalama.

1. Mgeni huyu (Tundu Lissu anatumia pasi ipi ya kusafiria)

Hivyo utaratibu wa kumpokea Tundu Lissu waweza kuchukua muda mrefu.

Kitakachopatikana kwenye mahojiano ndicho kitakachoelekeza hatua zitakazofuata.

2. Angalia madhumuni ya safari na sababu za kurudi.

3. Afisa uhamiaji kuridhika na majibu kulingana na sheria ya uhamiaji na kama kuna "ya ziada"

4. Idhinisha kuingia kwa kugonga muhuri wa kuingia au toa muda maalum ikiwa ni pasi ya kigeni.

5. Kama ni Tundu Lissu zuia "self check- in" na muongoze chumba cha mahojiano.

Hizi ni za hapa na pale.

JNIA imebadilika sana kuna watu wapya na wengi mno ambao wanahakikisha usalama wa uwanja, udhibiti wa kitokacho na kiingiacho na mazagazaga mengine.

Kuna kijana wa Nigeria alishindwa kueleza kwa ufasaha amepataje pasi ya kusafiria ya kitanzania ilhali hafahamu lugha ya kiswahili.

Wakamchukua kuingia kwenye vyumba vyao maalum kwa mahojiano maalum.

Msinitupie mawe mazee haya nimeyapata na mengine kuyaona hapo JNIA nilipotua mchana leo.

Hivyo ulivyoweka mbona vichache sana? Ungeweka na vingine vingi viongeze vikwazo. Ila tunajua Lisu ni raia halali wa nchi hii na anarudi nyumbani, baada ya shambulio la kinyama la kutaka kupora uhai wake. Mengine yote ni mbwembwe tu.
 
Sijui ni kwanini Siku zote Mbwa hupenda sana Kujipeleka kwa Nyoka aina ya Chatu ili akamezwe na Kuuwawa nae hata kama ukijitahidi Kumzuia.
GENTAMYCINE,hivi jana ulilala upande gani wa kitanda na umeamukia upande gani ndugu yangu? si angalu tu ujibu hilo swali mwenyewe au unataka kuwapa Moderators kazi ya ziada... wewe ni mtu ambaye huwa nasoma sana post zako humu, ila na leo ulitoa maneno makali sana kwa member mmoja aliyekuita Gent badala ya GENTAMYCINE. Si siku yako kwa kweli. ni swali hilo hilo umeshikilia...
 
Tundu Lissu ameripotiwa kuwa ameaga rasmi huko Ubelgiji na ataunganisha ndege jijini Dubai kabla ya kutua JNIA.

Maofisa wa Uhamiaji pamoja na wale wa Usalama (wapya) waliopo JNIA wapo wanaendelea na shughuli zao.

Kuna mawili matatu hivi kutoka kwa maofisa uhamiaji na usalama.

1. Mgeni huyu (Tundu Lissu anatumia pasi ipi ya kusafiria)

Hivyo utaratibu wa kumpokea Tundu Lissu waweza kuchukua muda mrefu.

Kitakachopatikana kwenye mahojiano ndicho kitakachoelekeza hatua zitakazofuata.

2. Angalia madhumuni ya safari na sababu za kurudi.

3. Afisa uhamiaji kuridhika na majibu kulingana na sheria ya uhamiaji na kama kuna "ya ziada"

4. Idhinisha kuingia kwa kugonga muhuri wa kuingia au toa muda maalum ikiwa ni pasi ya kigeni.

5. Kama ni Tundu Lissu zuia "self check- in" na muongoze chumba cha mahojiano.

Hizi ni za hapa na pale.

JNIA imebadilika sana kuna watu wapya na wengi mno ambao wanahakikisha usalama wa uwanja, udhibiti wa kitokacho na kiingiacho na mazagazaga mengine.

Kuna kijana wa Nigeria alishindwa kueleza kwa ufasaha amepataje pasi ya kusafiria ya kitanzania ilhali hafahamu lugha ya kiswahili.

Wakamchukua kuingia kwenye vyumba vyao maalum kwa mahojiano maalum.

Msinitupie mawe mazee haya nimeyapata na mengine kuyaona hapo JNIA nilipotua mchana leo.
Aliyekuambia Lissu ni mgeni nchi hii ni nani? Mods hebu punguzeni hizi mada za kisengerema tumechoka nazo.
 
Unaelewaje ikisemwa mtu fulani yuko "flagged"?

Tunajua vizuri, na hiyo itatumika kwa Lisu kwa nia ovu tu. Lissu sio mkimbizi wa kisiasa bali ametoka kwenye matibabu, na anarudi nyumbani. Na sio kurudi tu, anarudi na anataka kugombea urais. Na rais aliyepo hana uwezo wa kushindana naye kwenye uwanja wa kisiasa, hivyo atatumia madaraka yake vibaya kuzuia mshindani asiyemmudu. Hayo matisho mengine yote, yapo juu ya hofu ya ushindani wa box la kura kwa rais aliye madarakani, ndio maana mamlaka zinatumika kwa maslahi binafsi ya rais aliye madarakani. Kwahiyo vikwazo vyote kwa Lisu ni kwa ajili ya kiburi na ulevi wa madaraka, as simple as that.
 
Lissu anafahamika Ni mtanzania halis, labda angekuwa mgeni.ushauri wangu uhamiaji hamuhitaji kupoteza muda na lissu Huyo Ni RAIA halali kabisa.wasituwekee foleni pale uwanja Wa ndege
 
Yaani umzuie Mtanzania kurudi nchini?

Kama ana makosa, mkamateni pelekeni polisi akashitakiwe lakini huwezi kumzuia kurudi nchini mwake.
 
Sijui ni kwanini Siku zote Mbwa hupenda sana Kujipeleka kwa Nyoka aina ya Chatu ili akamezwe na Kuuwawa nae hata kama ukijitahidi Kumzuia.
alivyoumbwa anapenda kuminywaminywa bila kujua ndio anakufa hivyo
 
Hivi hawa ikitokea Lisu amekuwa Rais wataweka wapi malio yao?

Maisha yanakwenda kasi sana, ni kama kibao cha guest house saa yoyote kinageuzwa "vyumba vimejaa"

Tuombe Mungu atupe uhai tuje tushuhudie siku hiyo Chama Tawala kimekua Chama Pinzani(Au kimesambaratika) je itakuwaje??

Japokua kwa upinzani huu wa sasa sidhani kama tutashuhudia sie "in our lifetime"

Labda wajukuu/vitukuu zetu
 
Kuna wajinga huku mtaani wanaendelea na vikao na mikutano ya kupiga kura asa CCM huku wakijua tupo kwenye kuomboleza aiseee...
Hivi hii sini laana kwa chama? Kwani wangesogeza mbele kuna tatizo gani

Kila mtu atawajibika kwa matendo yake

Usiumize kichwa sana siasa za Bongo utaumwa bure
 
Back
Top Bottom